Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Takukuru yamsafisha Nape

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani hapa, imekanusha tuhuma za rushwa zilizoelezwa na baadhi ya vyombo vya habari dhidi ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC-CCM), Nape Nnauye.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Nape afafanua sakata lake na Takukuru Lindi

>Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye amefafanua sakata lake la kuchukuliwa na askari wa Takukuru kwa mahojiano muda mfupi baada ya kuchukua fedha benki, akisema alikuwa akielekea kulipa mawakala.

 

10 years ago

Mwananchi

NEC yamsafisha Dk Magufuli

>Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, (NEC) Jaji Damian Lubuva amesema mgombea urais mteule wa CCM, Dk John Magufuli hapigi kampeni bali kinachofanyika ni utambulisho wa mgombea wao kwa wananchi.

 

10 years ago

Habarileo

Wizara yamsafisha Nyalandu

WIZARA ya Maliasili na Utalii imekanusha tuhuma mbalimbali zilizoelekezwa katika wizara hiyo za Waziri Lazaro Nyalandu kutoa leseni ya Rais bure ya kuua wanyamapori. Imebainisha kuwa habari hizo siyo za kweli, bali zinalenga kuchafua jina la Wizara pamoja na Waziri husika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani