Takukuru yamsafisha Nape
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani hapa, imekanusha tuhuma za rushwa zilizoelezwa na baadhi ya vyombo vya habari dhidi ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC-CCM), Nape Nnauye.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/ZleUors0eTY/default.jpg)
10 years ago
Mwananchi01 Aug
Nape afafanua sakata lake na Takukuru Lindi
10 years ago
Mwananchi18 Jul
NEC yamsafisha Dk Magufuli
10 years ago
Habarileo28 Oct
Wizara yamsafisha Nyalandu
WIZARA ya Maliasili na Utalii imekanusha tuhuma mbalimbali zilizoelekezwa katika wizara hiyo za Waziri Lazaro Nyalandu kutoa leseni ya Rais bure ya kuua wanyamapori. Imebainisha kuwa habari hizo siyo za kweli, bali zinalenga kuchafua jina la Wizara pamoja na Waziri husika.