Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kinana, Nnauye, hawamjui mbaya wa maendeleo nchini?

KATIKA hali ya kusikitisha Chama Cha Mapinduzi (CCM), kupitia viongozi wake waandamizi, Abdulrahaman Kinana na Katibu wa Itikadi na Unezi Nape Nnauye, hawajui mbaya wa maendeleo ya nchi na ndiyo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kinana, Nape hawamjui mbaya wa nchi

KATIKA hali ya kusikitisha Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia viongozi wake waandamizi, Katibu Mkuu, Abdulrahman Kinana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, hawamjui mbaya wa maendeleo ya...

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NA NAPE NNAUYE WATIKISA JIJI LA MWANZA LEO

Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia katika mkutano wa hadhara wa kuhitimisha ziara ya miezi 26 katika mikoa 31 nchini, ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua, kuhimiza na kusimamia Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM, pamoja na kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi. 
Mkutano huo umefanyika kwenye viwanja vya Furahisha, Kirumba jijini Mwanza jioni ya leo. Ndugu Kinana ambaye katika ziara hiyo ameambatana na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nyalandu: Ujangili nchini hali mbaya

WAKATI juhudi zikifanyika kupambana na ujangili nchini, Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu amesema hali ni mbaya. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, wakati wa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Nyalandu:Hali ya ujangili nchini bado ni mbaya

Lazaro-Nyalandu

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mh. Lazaro Nyalandu akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar.

Na Mwandishi wetu

WAKATI juhudi mbalimbali zikifanyika katika kupambana na ujangili nchini, Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema bado hali ni mbaya.

Akizungumza na waandishi wa habari leo, Jijini Dar es Salaam, katika mkutano wa wadau wa maendeleo katika kupambana na ujangili, Nyalandu alisema bado wanaendelea kubuni mbinu mbalimbali ili kukomesha vitendo hivyo.

Waziri huyo...

 

10 years ago

Mwananchi

Hili la kupigwa Warioba ni ishara mbaya nchini

Kwa aina hii ya siasa inayoendelea nchini, ni wazi kwamba tunaiharibu demokrasia yetu. Hakuna ubishi kwamba Tanzania inaelekea kubaya tena pabaya sana.

 

11 years ago

Mwananchi

Viongozi acheni fitina, leteni maendeleo-Kinana

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amewashukia viongozi wa chama hicho wilayani hapa na kuwaelezea kuwa ndio chanzo cha kushuka kwa kasi ya maendeleo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kinana awataka Wana CCM kushiriki miradi ya maendeleo

WAFUASI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Pwani wametakiwa kuacha tabia ya kuwa watazamaji kwenye miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika maeneo yao. Wito huo ulitolewa mjini Mlandizi, Kibaha wakati...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kinana akagua miradi ya maendeleo na kuzungumza na Wananchi Nanyumbu leo

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara baada ya kupokea taarifa za chama na serikali juu ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM 2010

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kupasua mawe wakati wa ujenzi wa mradi wa maji Sengenya

 Ujenzi wa mradi wa maji wa Sengenya ukiwa unaendelea ambapo ukikamilika utasaidia vijiji vitatu wilayani Nanyumbu mkoa wa Mtwara.

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu...

 

11 years ago

Dewji Blog

Kinana atinga Kibaha mjini, akagua na kufungua miradi ya maendeleo

1. Kinana akifyeka msitu kuzindua kambi ya Vijana ya Boko timiza

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki kuvyeka miti wakati wa uzinduzi wa kambi ya Umoja wa Vijana wa CCM, ya mafunzo ya kilimo katika eneo la Boko Timiza, Kibaha mjini mkoa wa Pwani. Katika kambi hiyo vijana wanatarajiwa kufanya mafunzo ya kilimo kwenye shamba la ekari 25.

1b. Kijana akiwahamasisha kwa wimbo vijana walioko kambi ya Boko Timiza, Kibaha

 Kijana akihamasisha vijana wenzake, walioko kwenye kambi hiyo ya mafunzo ya kilimo, eneo la Boko Timiza wilaya ya Kibaha mjini.

2. Kinana akipanda mti bada ya kuzindua ujenzi Ofisi ya CCM Kibaha

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akipanda mti kwenye kiwanja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani