Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hili la kupigwa Warioba ni ishara mbaya nchini

Kwa aina hii ya siasa inayoendelea nchini, ni wazi kwamba tunaiharibu demokrasia yetu. Hakuna ubishi kwamba Tanzania inaelekea kubaya tena pabaya sana.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Vurugu hizi kwenye kampeni ni ishara mbaya

Wiki iliyopita tulitoa pongezi kwa vyama vya siasa kwa kuanza kampeni kistaarabu na mikutano mingi kutoingiliwa na vurugu, isipokuwa kwenye sehemu chache ambazo viongozi walidiriki kutoa maneno yasiyostahili dhidi ya wapinzani wao.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ujenzi maabara za Sekondari ni ishara mbaya ya uongozi

SI mara ya kwanza kwako wewe msomaji kusikia kwamba Tanzania kuna ombwe la uongozi. Imesemwa sana na watu wa kada na nyakati tofauti kwa mambo yanavyokwenda katika taifa letu si...

 

10 years ago

Mtanzania

Umma walaani Jaji Warioba kupigwa

Jaji Joseph Warioba

Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba

NA WAANDISHI WETU

SIKU moja baada ya watu wanaodhaniwa kuwa ni wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuvamia mdahalo uliokuwa umeandaliwa na Taasisi ya Mwalimu Nyerere kuhusu Katiba inayopendekezwa na kusababisha kuahirishwa, wadu wengi wamejitokeza na kulaani tukio hilo.

Katika mdahalo huo, aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba alipigwa makofi mawili mgongoni na viongozi wenzake walinusurika kupigwa baada ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Hili la Jaji Warioba polisi wanahusika?

SERIKALI ya Rais Jakaya Kikwete, imeonesha kutoguswa kabisa na tukio la fedheha alilofanyiwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba na wenzake, wakati wa mdahalo wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Hili la Jaji Warioba Polisi wamenywea?

KAMA kuna jambo ambalo Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linajaribu kujifedhehesha na hata kuiondolea imani Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa wananchi wake, ni hatua...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nyalandu: Ujangili nchini hali mbaya

WAKATI juhudi zikifanyika kupambana na ujangili nchini, Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu amesema hali ni mbaya. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, wakati wa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Marekani yaonya kupigwa raia wa kigeni nchini Ethiopia

Balozi wa Marekani nchini Ethiopia ameonya kuwa wageni wanashambuliwa katika miji kote nchini baada ya kutuhumiwa kuambukizwa Covid-19.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kinana, Nnauye, hawamjui mbaya wa maendeleo nchini?

KATIKA hali ya kusikitisha Chama Cha Mapinduzi (CCM), kupitia viongozi wake waandamizi, Abdulrahaman Kinana na Katibu wa Itikadi na Unezi Nape Nnauye, hawajui mbaya wa maendeleo ya nchi na ndiyo...

 

11 years ago

Dewji Blog

Nyalandu:Hali ya ujangili nchini bado ni mbaya

Lazaro-Nyalandu

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mh. Lazaro Nyalandu akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar.

Na Mwandishi wetu

WAKATI juhudi mbalimbali zikifanyika katika kupambana na ujangili nchini, Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema bado hali ni mbaya.

Akizungumza na waandishi wa habari leo, Jijini Dar es Salaam, katika mkutano wa wadau wa maendeleo katika kupambana na ujangili, Nyalandu alisema bado wanaendelea kubuni mbinu mbalimbali ili kukomesha vitendo hivyo.

Waziri huyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani