Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AU yateka ngome ya mwisho ya Al shaabab

Baada ya vita vikali vikosi vya muungano wa Afrika vilivyoko Somalia vikishirikiana na vile vya serikali vimeuteka mji uliokua ngome ya mwisho ya Alshaabab wa Baardheere

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

filamu ya "I SHOT BI KIDUDE" ya mwisho itakayoonyeshwa tamasha la ZIFF usiku wa Jumapili Julai 26 Saa 1:15 NGOME KONGWE, ZANZIBAR

‘Makala ya Kusisimua yenye matukio yenye hisia nzito.’ 

Andy Markowitz, Tovuti ya Muziki wa Filamu Music Film Web

‘Tafakari ya kusisimua ya urafiki usio wa kawaida kati ya Kijana Mtengenezaji wa filamu na diva wa Zanzibar mzee wa miaka 100 Zanzibar diva’ Garth Cartwright - mwandishi, “More Miles Than Money”Umbali mkubwa kuliko fedha”

‘Uwasilishaji wa wa nyota …iliyofifia na kuifanya ing’are upya’ 

Martin Mhando, Mkurugenzi ZIFF

Nilimpiga Picha Bi Kidude “I Shot Bi Kidude”, ni makala mpya ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Nkurunziza aonya kuhusu Al Shaabab

Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi amejitokeza kwa mara ya kwanza tangu jaribio la mapinduzi na kuonya kuwa kuna tishio la shambulizi la Al shabaab

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenyatta: al Shaabab yaishiwa nguvu

Rais wa Kenya auambai mkutano wa usalama kwamba al-Shaabab haina tena nguvu na yatafuta njia tu ya kujinusuru

 

10 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya Kenya yawaua Al Shaabab 15

Jeshi la Kenya limewauwa wapiganaji 15 wa Al shabaab katika makabiliano ya hivi punde zaidi Kusini mwa Somalia

 

10 years ago

CloudsFM

A-Shaabab yavamia tena Kenya

Kundi la Alshabaab wamefanya mashambulizi katika chuo kikuu cha Garissa kasikazini mwa Kenya karibu na mpaka wa Somalia na maafisa usalama wa Kenya wamethibitisha kuwa watu wawili wamefariki Dunia na wanne kujeruhiwa katika mashambulizi hayo na wakazi wa eneo hilo wametakiwa kuaa mbali na eneo hilo

 

10 years ago

TheCitizen

‘Tanzanian’ al-Shaabab suspects seized in Kenya

Six people said to be Tanzanian nationals were arrested on Sunday and a cache of weapons seized from them by police in Garissa, Kenya.

 

10 years ago

GPL

AL SHAABAB YAVAMIA VIJIJI VITATU GARISSA, KENYA

Al Shaabab walivyoshambulia Chuo cha Garissa mwezi uliopita. Wapiganaji wa kundi la kigaidi la Al Shaabab. Jeshi la serikali nchini Kenya. Garissa, Kenya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Kenya imesema kuwa walinda usalama wamekabiliana na washukiwa wa kundi la wapiganaji wa kiislamu la Al-Shaabab, katika…

 

10 years ago

Mtanzania

Yanga yateka usajili

IMG_5436[1]NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

TIMU ya Yanga imeendelea kuteka soko la usajili nchini, baada ya jana mchana kuwanasa wachezaji wawili kwa mpigo, beki wa kushoto Mwinyi Haji Mngwali na kipa wa Kagera Sugar, Benedicto Tinocco.

Usajili wa wachezaji hao unaifanya timu hiyo kufikisha idadi ya wachezaji watatu iliyowasajili mpaka sasa baada ya Jumapili iliyopita kumsainisha winga Deus Kaseke aliyetoka Mbeya City.

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Yanga, Jerry Muro, alilithibitishia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani