Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MLIPUKO WA BOMU WATOKEA ENEO LA MKUNAZINI HUKO ZANZIBAR

 Eneo ambalo limeharibika kwa kuchimbika na kitu kinachozaniwa ni mlipuko wa bomu uliotokea Jumatatu mchana katika eneo la Mkunazini mjini Zanzibar. Hakuna mtu aliyepata maadhara na hakuna uharibifu wa majengo katika eneo hilo.   
 Mkuu wa Wilaya ya Mjini Unguja, Mhe. Abdi Mahmoud Mzee akizungumza naKiongozi wa Kanisa la Mkunazini, Ndg. Nuhu Salanya, na Maofisa wa JWTZ , katika eneo la tukio  alipofika katika eneo la tukio kuangalia athari na uharibifu uliotokea.
Mkuu wa Wilaya ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Mlipuko unaosadikiwa kuwa ni wa bomu watokea nyumbani kwa Afisa Mafunzo GGM

Watu wasiojulikana wamelipua kitu kinachosadikiwa kuwa ni bomu ambacho kilikuwa kimetegwa kwenye uzio wa tofali katika nyumba anayoishi Afisa Mafunzo wa Mgodi wa Dhahabu wa Geita Lucy Joseph.

Bomu hilo lililipuka Oktoba 28 majira ya saa tatu na nusu usiku baada ya Lucy kupokea ujumbe mfupi wa simu wa vitisho kutoka kwa mtu asiyemfahamu akidai ampatie fedha na vinginevyo atalipua nyumba yake kwa bomu.

Muda mfupi baada ya lucy kupokea ujumbe ndipo ulisikika mshindo mkubwa sana uliosikika eneo...

 

11 years ago

GPL

MLIPUKO WA BOMU ZANZIBAR

HABARI ambazo mtandao huu umezipata sasa hivi kutoka Zanzibar zinasema kuna mlipuko umetokea Zanzibar karibu na Kanisa la Anglikana. Polisi wameshafika eneo la tukio na madhara yake bado hayajajulikana. Taarifa zaidi zitawajia hivi punde!

 

11 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete amtumia salamu za pole Dkt. Shein kufuatia mlipuko wa bomu Zanzibar

Jakaya-Kikwete

Rais Jakaya Mrisho Kikwete.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za pole Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mheshimiwa Dkt. Ali Mohamed Shein  kufuatia kuuawa kwa mtu mmoja na wengine sita kujeruhiwa akiwemo mhubiri wa amani ajulikanaye kama Sheikh Ahmed Haidari Jabir wa Zanzibar, kutokana na kurushwa kwa Bomu  katika shughuli ya kidini iliyokuwa ikifanyika katika eneo la Darajani tarehe 13 Juni,2014,  mjini Unguja.

‘Hicho ni kitendo cha kulaaniwa kwa nguvu zote na watu wote...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mlipuko mkubwa watokea Nigeria

Mlipuko umetokea katika mji mkuu wa Nigeria, Abuja karibu na eneo ambako kulitokea shambulizi baya la bomu mwezi uliopita.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mlipuko mkubwa watokea Yola, Adamawa

Mlipuko mkubwa umetokea katika kambi moja ya wakimbizi wa ndani mjini Yola mji mkuu wa Jimbo la Kaskazini Mashariki la Adamawa

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuko watokea kambi ya Polisi Misri

Mtu mmoja ameuawa na wengine 24 wamejeruhiwa baada ya Mtu mmoja kujitoa muhanga akilenga Kambi ya Polisi, Maafisa wameeleza.

 

11 years ago

Habarileo

Kanisa la Mkunazini Zanzibar lalipuliwa

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, Mkadam Khamis MkadamMILIPUKO minne imelipuka mjini Zanzibar na kujeruhi watu wanne.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuko wa bomu wawaua 30 Yemen

Mlipuko mmoja umetokea katika gari nje ya chuo cha mafunzo ya Polisi katika mji mkuu wa Yemen-Sanaa.

 

10 years ago

GPL

MLIPUKO WA BOMU WAUA SOMALIA

WATU kadhaa wameripotiwa kupoteza maisha katika mlipuko mkubwa wa bomu la kujitoa muhanga katika mji wa Mogadishu nchini Somalia karibu na uwanja wa ndege. Mlipuko huo umesababiswa na mtu aliyejitoa muhanga kwa kujilipua akiwa ndani ya gari lililokuja na kuegesha katikati ya msafara wa magari ya Shirika la Umoja wa Mataifa na magari yaliyokuwa yakiusindikiza msafara huo. Kundi la wapiganaji wa kiislamu la Al- Shaabab mara kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani