Mlipuko unaosadikiwa kuwa ni wa bomu watokea nyumbani kwa Afisa Mafunzo GGM
Watu wasiojulikana wamelipua kitu kinachosadikiwa kuwa ni bomu ambacho kilikuwa kimetegwa kwenye uzio wa tofali katika nyumba anayoishi Afisa Mafunzo wa Mgodi wa Dhahabu wa Geita Lucy Joseph.
Bomu hilo lililipuka Oktoba 28 majira ya saa tatu na nusu usiku baada ya Lucy kupokea ujumbe mfupi wa simu wa vitisho kutoka kwa mtu asiyemfahamu akidai ampatie fedha na vinginevyo atalipua nyumba yake kwa bomu.
Muda mfupi baada ya lucy kupokea ujumbe ndipo ulisikika mshindo mkubwa sana uliosikika eneo...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi25 Feb
MLIPUKO WA BOMU WATOKEA ENEO LA MKUNAZINI HUKO ZANZIBAR
11 years ago
BBCSwahili02 May
Mlipuko mkubwa watokea Nigeria
10 years ago
BBCSwahili10 Mar
Mlipuko watokea kambi ya Polisi Misri
9 years ago
BBCSwahili11 Sep
Mlipuko mkubwa watokea Yola, Adamawa
10 years ago
MichuziJeshi la polisi nchini lathibitisha kuwa mlipuko uliowajeruhi askari polisi Songea ni bomu la kienyeji
JESHI la polisi chini limethibitisha kuwa kitu kilichokuwa kinadaiwa kuwa nio bomu lililorushwa mjini Songea mkoani Ruvum Septemba 16 mwaka huu majira ya saa 1.25 usiku katika eneo la Misufini na kuwajeruhi askari polisi watatu kati ya wanne waliokuwa doria kuwa ni bomu la kutupwa kwa mkono...
10 years ago
GPLASKARI WATATU WAJERUHIWA KWA MLIPUKO WA BOMU SONGEA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MLIPUKO WA BOMU ZANZIBAR
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R5SqbRTCmAHm7-1ddMTKEnSslVCnnB81WolM4ZF9dtLb6iFMk4IP7d*8Np7g0lpq8cW5p48A30Lpm*WyJcrIRrPpRLCTTMvc/mlipuko.jpg)
MLIPUKO WA BOMU WAUA SOMALIA
11 years ago
BBCSwahili03 Aug
Mlipuko wa bomu Mogadishu wawauwa 3