Mlipuko wa bomu Mogadishu wawauwa 3
Bomu moja lililokuwa limefichwa katika mfuko wa plastiki limelipuka katika mji mkuu wa Somali ,Mogadishu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili27 Feb
Mlipuko mkubwa watikisa Mogadishu
Mshambuliaji wa kujitoa muhanga amejilipua akiwa ndani ya gari na kuwauwa watu 12 na kujeruhi wengine wanane.
10 years ago
BBCSwahili03 Dec
Mlipuko mkubwa wakumba Mogadishu
Mlipuko mkubwa umetokea katika mji wa Mogadishu nchini Somalia karibu na uwanja mkuu wa ndege.
10 years ago
BBCSwahili04 Jan
Mlipuko mkubwa wasikika Mogadishu
Ripoti kutoka Somali zinasema kuwa mlipuko mkubwa umesikika karibu na uwanja wa ndege wa kimataifa mjini Mogadishu.
10 years ago
BBCSwahili24 Jun
Mlipuko wawaua watu 12 Mogadishu
Mlipuaji wa kujitolea muhanga ameligongesha gari lake na lile la kijeshi katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu na kusababisha mlipuko mkubwa.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MLIPUKO WA BOMU ZANZIBAR
HABARI ambazo mtandao huu umezipata sasa hivi kutoka Zanzibar zinasema kuna mlipuko umetokea Zanzibar karibu na Kanisa la Anglikana. Polisi wameshafika eneo la tukio na madhara yake bado hayajajulikana. Taarifa zaidi zitawajia hivi punde!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R5SqbRTCmAHm7-1ddMTKEnSslVCnnB81WolM4ZF9dtLb6iFMk4IP7d*8Np7g0lpq8cW5p48A30Lpm*WyJcrIRrPpRLCTTMvc/mlipuko.jpg)
MLIPUKO WA BOMU WAUA SOMALIA
WATU kadhaa wameripotiwa kupoteza maisha katika mlipuko mkubwa wa bomu la kujitoa muhanga katika mji wa Mogadishu nchini Somalia karibu na uwanja wa ndege. Mlipuko huo umesababiswa na mtu aliyejitoa muhanga kwa kujilipua akiwa ndani ya gari lililokuja na kuegesha katikati ya msafara wa magari ya Shirika la Umoja wa Mataifa na magari yaliyokuwa yakiusindikiza msafara huo. Kundi la wapiganaji wa kiislamu la Al- Shaabab mara kwa...
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Mlipuko wa bomu wawaua 30 Yemen
Mlipuko mmoja umetokea katika gari nje ya chuo cha mafunzo ya Polisi katika mji mkuu wa Yemen-Sanaa.
11 years ago
BBCSwahili14 Feb
Mlipuko wa bomu wasababisha vifo-Somalia
Watu 6 wameuawa baada ya bomu kulipuka karibu na uwanja wa kimataifa a ndege mjini Mogadishu
10 years ago
BBCSwahili02 Jun
Mlipuko wa bomu wawaua watu 20 Nigeria
Takriban watu 20 wamefariki kutokana na mlipuko wa bomu katika mji wa kaskazini mashariki wa Maiduguri nchini Nigeria.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania