Mlipuko mkubwa wakumba Mogadishu
Mlipuko mkubwa umetokea katika mji wa Mogadishu nchini Somalia karibu na uwanja mkuu wa ndege.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili27 Feb
Mlipuko mkubwa watikisa Mogadishu
Mshambuliaji wa kujitoa muhanga amejilipua akiwa ndani ya gari na kuwauwa watu 12 na kujeruhi wengine wanane.
10 years ago
BBCSwahili04 Jan
Mlipuko mkubwa wasikika Mogadishu
Ripoti kutoka Somali zinasema kuwa mlipuko mkubwa umesikika karibu na uwanja wa ndege wa kimataifa mjini Mogadishu.
11 years ago
BBCSwahili03 Aug
Mlipuko wa bomu Mogadishu wawauwa 3
Bomu moja lililokuwa limefichwa katika mfuko wa plastiki limelipuka katika mji mkuu wa Somali ,Mogadishu.
10 years ago
BBCSwahili24 Jun
Mlipuko wawaua watu 12 Mogadishu
Mlipuaji wa kujitolea muhanga ameligongesha gari lake na lile la kijeshi katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu na kusababisha mlipuko mkubwa.
11 years ago
BBCSwahili02 May
Mlipuko mkubwa watokea Nigeria
Mlipuko umetokea katika mji mkuu wa Nigeria, Abuja karibu na eneo ambako kulitokea shambulizi baya la bomu mwezi uliopita.
11 years ago
BBCSwahili24 Jan
Mlipuko mkubwa watikisa Cairo
Maafisa wa Misri wanasema kuwa kumetokea mlipuko mkubwa wa bomu nje ya Makao makuu ya polisi jijini Cairo ambapo watu 4 wamefariki na wengine zaidi ya 70 kujeruhiwa.
10 years ago
BBCSwahili16 Oct
Mlipuko mkubwa wa Ebola hautarajiwi:WHO
Mlipuko mkubwa wa Ebola nchini Marekani na kwingineko nchi za magharibi hakukupewa mifumo imara ya afya kuudhibiti
10 years ago
BBCSwahili11 Jul
Mlipuko mkubwa waukumba mji wa Cairo
Kumetokea mlipuko mkubwa nje ya ubalozi wa Italia kwenye mji mkuu wa Misri Cairo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania