Watu 16 wauawa mgahawani Misri
Watu 16 wameuawa katika mji mkuu wa Mirsi, Cairo, baada ya bomu kulipuliwa kwenye mgahawa mmoja, ripoti zinasema.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili26 Jan
18 wauawa Misri
Serikali ya Misri imesema watu kumi na wanane akiwemo Polisi mmoja wameuawa wakati wa maandamano nchini humo.
11 years ago
BBCSwahili23 Jan
Polisi 5 wauawa Misri
Maafisa 5 wa polisi wameuawa nchini Misri katika shambulizi katika izuizi kimoja cha polisi mjini Cairo.
10 years ago
BBCSwahili30 Jan
26 Wauawa Kigaidi,Misri
Takriban watu 26 wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika shambulio la kigaidi lililotekelezwa na Islamic State.
10 years ago
BBCSwahili07 Feb
Wapiganaji 27 wauawa Misri
Wanamgambo 27 wa kiislamu wameuawa kwenye oparesheni kubwa ilioendeshwa na jeshi la Misri katika eneo la Sinai Kaskazini.
11 years ago
BBCSwahili19 Mar
Maafisa wa jeshi wauawa Misri
Maafisa 2 wa jeshi na wapiganaji 5 wa kiisilamu, wameuawa katika makabiliano ya kufyatuliana risasi wakati jeshi lilipokuwa linafanya msako nchini Misri
11 years ago
BBCSwahili15 Mar
Wanajeshi sita wauawa Misri
Watu wasiojulikana wamewashambulia wanajeshi waliokuwa wanashika doria katika kizuizi cha barabarani viungani mwa mji mkuu Misri.
10 years ago
BBCSwahili02 Apr
Askari 15 wa Misri wauawa barabarani
Misri imesema kuwa mtu mmoja aliyekuwa na silaha amewaua askari kumi na watano katika shambulio la kizuizi cha barabarani.
11 years ago
BBCSwahili20 Jul
Walinzi 20 wa mpakani wauawa Misri
Maafisa nchini Misri wanasema kuwa takriban walinzi 20 wa mpakani wameuawa katika shambulizi la kizuizi huko libya.
9 years ago
BBCSwahili28 Nov
Maafisa 4 wa usalama wauawa Misri
Maafisa wanne wa usalama nchini Misri wameuawa katika shambulio la uendeshaji kulingana na maafisa wa usalama.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania