Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kodi ya matandao yatibua maandamano

Maandamano dhidi ya matumizi ya Mtandao Hungary na Google kujiunga na kampeini dhidi ya Saratani katika makala ya wiki hii ya Teknolojia

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KAMANDA KOVA APIGA ‘STOP’ MAANDAMANO YA UVCCM ILALA,MAANDAMANO YA BAVICHA YAACHWA KIPORO.

 Na Chalila Kibuda ,Globu ya Jamii
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam imezuia maandamano ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Wilaya Ilala (UVCCM) ya kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa chama hicho pamoja na kuacha kiporo  maandamano ya Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha).


Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam ,Kamishina wa Jeshi la Polisi ,Suleiman Kova ,amesema kuzuia kwa maandamano...

 

11 years ago

Mwananchi

Zesco yatibua sherehe Simba

Mabao matatu yaliyofungwa na Jackson Mwanza, Clatons Chama na Winston Kalenga, yamesababisha siku ya Simba ‘Simba Day’ kuwa chungu baada ya Zesco kuizamisha miamba hiyo kwa mabao 3-0.

 

10 years ago

BBCSwahili

Israel yatibua njama ya Hamas

Serikali ya Israel inasema kuwa maafisa wake wa usalama, wamegundua kuwa kundi la Hamas katika ukingo wa Magharibi lilikuwa linapanga kufanya mashambulizi kadhaa mjini Jerusalm.

 

10 years ago

Mwananchi

Mapinduzi yatibua ratiba ligi

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limepangua ratiba ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara ili kuziwezesha timu nne kushiriki Kombe la Mapinduzi linalotarajiwa kuanza kesho kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar.

 

10 years ago

BBCSwahili

FBI yatibua njama ya mashambulizi US

Shirika la ujasusi la Marekani FBI huko Ohio limemkamata mwanamume mmoja kwa kupanga njama ya kufanya shambulizi katika eneo la Capitaol ambako mako ya baraza la Congres yapo, mjini Washington

 

9 years ago

BBCSwahili

Tunisia yatibua shambulio la kigaidi

Mamlaka nchini Tunisia imesema kuwa imewakamata wapiganaji 16 na kutibua shambulio ambalo huenda lingekuwa kubwa kuwahi kutokea mwezi huu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Uganda yatibua shambulizi la kigaidi

Uganda imeimarisha usalama katika maeneo mengi ya uma katika mji mkuu wa kampala kufuatia kutibuliwa kwa shambulizi la kigaidi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Korea kusini yatibua hali ya hewa

Baadhi yao wamedai watu weusi wanaposimamisha TAXI hazisimami kutokana na hofu ya virusi hivyo vya Ebola

 

11 years ago

GPL

POMBE YATIBUA FUTARI KWA DIAMOND

Stori: Shakoor Jongo na Musa Mateja
NIkama jina la wimbo wake mpya wa Mdogo Mdogo ambao ndani yake kuna kikorombwezo ‘mwendawazimu kaingiaje’, ndiyo hali iliyotokea kwenye futari ya staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ alipofuturisha nyumbani kwake ambapo pombe zilitibua shughuli nzima. Wema akifungua shampeini. Pamoja na kufuturisha, pia Diamond alimwandalia pati mama yake mzazi,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani