Hofu ya shambulizi yazua mauti Kenya
Mwanafunzi mmoja amefariki na wengine zaidi ya mia moja kujeruhiwa baada ya kukanyagana katika chuo kimoja kikuu nchini Kenya.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili07 Aug
Ebola yazua hofu Nigeria
11 years ago
Habarileo11 Jun
Ndege ya Malawi yazua hofu Ileje
MBUNGE wa Ileje, Aliko Kibona (CCM) ameomba Serikali ieleze juu ya ndege kutoka Malawi, ambayo imekuwa ikitia hofu wananchi wa Ileje, kwa kuzunguka angani kila mara.
10 years ago
GPL
BASTOLA YA RAY YAZUA HOFU UKUMBINI
10 years ago
BBCSwahili09 Sep
Mafuriko yazua Hofu ya njaa Sierra Leone
11 years ago
CloudsFM11 Jun
NDEGE YA MALAWI YAZUA HOFU MPAKANI MWA TANZANIA
“Kwa kuzingatia uhusiano uliopo kati ya Tanzania na Malawi, naomba mwongozo wako maana ndege za nchi hii sasa zinaingia hadi Tanzania na kuwatia hofu wananchi,” alisema Mbunge wa Ileje,Aliko Kibona.
Kauli ya mbunge huyo imekuja wakati msimamo rais wa Malawi, Profesa Peter Mutharika kuhusu mzozo uliopo kati ya nchi hiyo na Tanzania kuhusu Ziwa Nyasa ukiwekwa bayana hatakuwa na mjadala kuhusu mpaka wa nchi hizo akidai kuwa Ziwa Nyasa ni la Malawi pekee.Kibona alisema kwa takriban wiki mbili...
10 years ago
Bongo Movies27 Mar
Riyama Awataja Mawakala wa Mauti,Wewe Je ni ‘Wakala wa Mauti’?
Staa wa Bongo Movies aliejijengea heshma kwa mashabiki kwa kazi zake, Riyama Ally anakuja na filamu mpya, kupinga mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi‘Albinos’inayokwenda kwa jina la Wakala wa Mauti.
“Hii ni kazi ya mikono yangu namuomba mungu anijalie iwe miongoni mwa kazi bora inshallah amin.....”Riyama alidokeza.
Akionyesha baadhi ya picha za filamu hiyo mtandaoni Riyama alisema “Hivi ni baadhi ya kipindekipinde cha filamu yangu mpya " Wakala wa Mauti " anae wadhulumu ndugu zetu ma...
10 years ago
BBCSwahili08 Jul
Matimbo yenye Mauti pwani ya Kenya
5 years ago
BBCSwahili27 Apr
Makabiliano kati ya Iran na Marekani yazua hofu ya kuzuka kwa vita Ghuba
11 years ago
BBCSwahili22 Sep
Shambulizi lililotikisa Kenya zaidi