Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hofu ya shambulizi yazua mauti Kenya

Mwanafunzi mmoja amefariki na wengine zaidi ya mia moja kujeruhiwa baada ya kukanyagana katika chuo kimoja kikuu nchini Kenya.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Ebola yazua hofu Nigeria

Ugonjwa wa Ebola wazua hofu nchini Nigeria huku serikali ikipanga mikakati ya kukabiliana na homa hiyo.

 

11 years ago

Habarileo

Ndege ya Malawi yazua hofu Ileje

MBUNGE wa Ileje, Aliko Kibona (CCM) ameomba Serikali ieleze juu ya ndege kutoka Malawi, ambayo imekuwa ikitia hofu wananchi wa Ileje, kwa kuzunguka angani kila mara.

 

10 years ago

GPL

BASTOLA YA RAY YAZUA HOFU UKUMBINI

Mwandishi Wetu
KATIKA hali ya kushangaza, muigizaji Vincent Kigosi ‘Ray’ alizua hofu ya aina yake baada ya kutinga fulana fupi iliyosababisha silaha yake aina ya bastola kuonekana na kuwafanya watu waliomzunguka kujawa na hofu.Tukio hilo la aina yake lilitokea Jumamosi iliyopita katika ufukwe wa Escape One, Mikocheni jijini Dar kulipokuwa na uzinduzi wa video ya wimbo wa Nashindwa wa mwanamuziki Christian Bella...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mafuriko yazua Hofu ya njaa Sierra Leone

Mafuriko yaliyotokea katika maeneo ya kusini mwa Sierra Leone yamezua hofu ya njaa na mlipuko wa maradhi yanayotokana na maji.

 

11 years ago

CloudsFM

NDEGE YA MALAWI YAZUA HOFU MPAKANI MWA TANZANIA

“Kwa kuzingatia uhusiano uliopo kati ya Tanzania na Malawi, naomba mwongozo wako maana ndege za nchi hii sasa zinaingia hadi Tanzania na kuwatia hofu wananchi,” alisema Mbunge wa Ileje,Aliko Kibona.Kauli ya mbunge huyo imekuja wakati msimamo rais wa Malawi, Profesa Peter Mutharika kuhusu mzozo uliopo kati ya nchi hiyo na Tanzania kuhusu Ziwa Nyasa ukiwekwa bayana hatakuwa na mjadala kuhusu mpaka wa nchi hizo akidai kuwa Ziwa Nyasa ni la Malawi pekee.Kibona alisema kwa takriban wiki mbili...

 

10 years ago

Bongo Movies

Riyama Awataja Mawakala wa Mauti,Wewe Je ni ‘Wakala wa Mauti’?

Staa wa Bongo Movies aliejijengea heshma kwa mashabiki kwa kazi zake, Riyama Ally anakuja na filamu mpya, kupinga mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi‘Albinos’inayokwenda kwa jina la Wakala wa Mauti.

“Hii ni kazi ya mikono yangu namuomba mungu anijalie iwe miongoni mwa kazi bora inshallah amin.....”Riyama alidokeza.

Akionyesha baadhi ya picha za filamu hiyo  mtandaoni Riyama alisema “Hivi ni baadhi ya kipindekipinde cha filamu yangu mpya " Wakala wa Mauti " anae wadhulumu ndugu zetu ma...

 

10 years ago

BBCSwahili

Matimbo yenye Mauti pwani ya Kenya

Watu saba wanaaminika kufa kutokana na maporomoko ya matimbo yaliyoko Pwani ya Kenya katika kipindi cha miezi miwili iliyopita.

 

5 years ago

BBCSwahili

Makabiliano kati ya Iran na Marekani yazua hofu ya kuzuka kwa vita Ghuba

Sababu ya moja kwa moja ya rais Trump kutoa tishio hilo inatokana na matukio ya wiki moja iliopita

 

11 years ago

BBCSwahili

Shambulizi lililotikisa Kenya zaidi

Jengo lenye maduka kadha ya biashara la WestGate lililojaa wateja lilishambuliwa na magaidi watu wakiwa katika starehe za wikendi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani