Makabiliano kati ya Iran na Marekani yazua hofu ya kuzuka kwa vita Ghuba
Sababu ya moja kwa moja ya rais Trump kutoa tishio hilo inatokana na matukio ya wiki moja iliopita
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili24 May
Jinsi meli tano za mafuta zilizokuwa zikielekea Venezuela zilivyozua hofu kati ya Marekani na Iran
Hali ya wasiwasi kati ya Marekani na Iran imechukua sura mpya nchini Venezuela.
10 years ago
Mwananchi16 Jun
Mjue mtu aliyechochea kuzuka kwa Vita ya Kwanza ya Dunia-2
Mwaka 1912, Gavrilo Princip alifukuzwa shule kwa sababu ya kushiriki maandamano ya kupinga utawala wa Austria-Hungary. Kwa mujibu wa mwanahistoria Malcom Noel, Princip aliondoka Sarajevo muda mfupi baada ya kutimuliwa shule na kuanza safari ya kilometa 280 kwa miguu kuelekea Belgrade
10 years ago
Vijimambo04 Feb
KUZUKA KWA SURUA ( MEASLES) NCHINI MAREKANI
Habari za afya zinazozidi kuenea nchini Marekani ni kuzuka kwa ugojwa wa surua toka mwezi Dec. 2014 jijini California. Habari kamili toka shirika la kudhibiti magojwa yenye maambukiza nchini Marekani "CDC" inaeleza kuwa, tukio la kwanza la ugojwa huo linasadikika kuanzia Disneyland Resort Park, iliyopo Orange County jijini California. Mbali na tukio hilo, idadi kamili ya waathirika kuanzia January Mosi hadi January 30,2015 yapata 102 katika majimbo 14 yaliyosambaa ugojwa huo.
RAMANI...
RAMANI...
5 years ago
BBCSwahili11 May
Jaribio la kombora jipya lawaua kimakosa wanajeshi 19 wa Iran Ghuba ya Oman
Wanamaji 19 walifariki wakati meli yao iliposhambuliwa wakati wa jaribio la kombora jipya
10 years ago
Mwananchi17 Dec
Serikali sasa kutafuta soko la Utalii nchi za Ghuba na Mashariki ya Kati
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amesema Serikali imeamua kutafuta soko la utalii kutoka nchi za Ghuba na Mashariki ya Kati ili kuongeza idadi ya watalii nchini na kukuza pato la Taifa kupitia sekta hiyo.
11 years ago
BBCSwahili07 Aug
Ebola yazua hofu Nigeria
Ugonjwa wa Ebola wazua hofu nchini Nigeria huku serikali ikipanga mikakati ya kukabiliana na homa hiyo.
10 years ago
BBCSwahili12 Apr
Hofu ya shambulizi yazua mauti Kenya
Mwanafunzi mmoja amefariki na wengine zaidi ya mia moja kujeruhiwa baada ya kukanyagana katika chuo kimoja kikuu nchini Kenya.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo447tcpxDcPbUNWmUCKEcK10QYbRnkqCnmqX2LaZc*hs9aHERT38D*UDPrKwwqQwi2ijR6-YCz5gheyu8uSPsQY/yuyuyu6767.gif?width=650)
BASTOLA YA RAY YAZUA HOFU UKUMBINI
Mwandishi Wetu
KATIKA hali ya kushangaza, muigizaji Vincent Kigosi ‘Ray’ alizua hofu ya aina yake baada ya kutinga fulana fupi iliyosababisha silaha yake aina ya bastola kuonekana na kuwafanya watu waliomzunguka kujawa na hofu.Tukio hilo la aina yake lilitokea Jumamosi iliyopita katika ufukwe wa Escape One, Mikocheni jijini Dar kulipokuwa na uzinduzi wa video ya wimbo wa Nashindwa wa mwanamuziki Christian Bella...
11 years ago
Habarileo11 Jun
Ndege ya Malawi yazua hofu Ileje
MBUNGE wa Ileje, Aliko Kibona (CCM) ameomba Serikali ieleze juu ya ndege kutoka Malawi, ambayo imekuwa ikitia hofu wananchi wa Ileje, kwa kuzunguka angani kila mara.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania