Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUZUKA KWA SURUA ( MEASLES) NCHINI MAREKANI

Habari za afya zinazozidi kuenea nchini Marekani ni kuzuka kwa  ugojwa wa surua toka mwezi Dec. 2014 jijini California. Habari kamili toka shirika la kudhibiti magojwa yenye  maambukiza nchini Marekani "CDC"  inaeleza kuwa,  tukio la kwanza la  ugojwa huo linasadikika kuanzia Disneyland Resort Park, iliyopo Orange County jijini California. Mbali na tukio hilo, idadi kamili ya waathirika kuanzia January Mosi hadi January 30,2015 yapata 102 katika majimbo 14 yaliyosambaa ugojwa huo.
RAMANI...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Makabiliano kati ya Iran na Marekani yazua hofu ya kuzuka kwa vita Ghuba

Sababu ya moja kwa moja ya rais Trump kutoa tishio hilo inatokana na matukio ya wiki moja iliopita

 

9 years ago

Vijimambo

BALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI AKABIDHI HATI ZA UTAMBULISHO KWA RAIS WA MAREKANI BARACK OBAMA.

 Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Wilson Masilingi akiwa na Rais wa Marekani Mhe. Barack Obama mara baada ya kukabidhi hati za utambumbulisho (White House). Washington DC. Mhe. Wilson Masilingi   Pamoja na Familia yake wakiwa Katika nyuso za furaha mara baada ya kukabidhi hati za utambulisho  Ikulu ya Marekani(White House).  Kutoka kushoto ni Mtoto wa Balozi ndugu Nelson Masilingi, Rais wa Marekani Barack Obama, Balozi Wilson Masilingi, pamoja na Marystella Masilingi. Mke wa Balozi.

 

9 years ago

StarTV

Kuzuka kwa Kipindupindu Kagera Idara ya afya yakanusha

Idara ya afya mkoani Kagera imekanusha kuwepo kwa ugonjwa wa kipindupindu mkoani humo baada ya taarifa za kupokelewa kwa wagonjwa kadhaa katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa huo.

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kagera Thomas Rutachunzibwa amekiri kuwepo na wagonjwa  kumi na wanne ambao hapo awali walikuwa na dalili za ugonjwa huo na kisha kuthibitika kutosumbuliwa na maradhi hayo baada ya kufanyiwa vipimo.

Maeneo ya biashara ya vyakula  yanayojumuisha watu wengi kwa pamoja kama vile stendi na masoko ni...

 

10 years ago

Mwananchi

Mjue mtu aliyechochea kuzuka kwa Vita ya Kwanza ya Dunia-2

Mwaka 1912, Gavrilo Princip alifukuzwa shule kwa sababu ya kushiriki maandamano ya kupinga utawala wa Austria-Hungary. Kwa mujibu wa mwanahistoria Malcom Noel, Princip aliondoka Sarajevo muda mfupi baada ya kutimuliwa shule na kuanza safari ya kilometa 280 kwa miguu kuelekea Belgrade

 

11 years ago

GPL

MARK CHILDRESS BALOZI MPYA WA MAREKANI NCHINI TANZANIA, ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI‏

Balozi mpya wa Marekani nchini Tanzania Mhe. Mark Childress akikaribishwa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani na Afisa Ubalozi Suleiman Saleh siku ya Alhamisi April 24, 2014 alipotembelea Ubalozi huo na kujitambulisha kwa Mhe. Balozi Liberata Mulamula (hayupo pichani) Balozi Liberata Mulamula akimtambulisha Balozi mpya wa Marekani nchini Tanzania Mhe. Mark Childress kwa Maafisa na wafanyakazi wa Ubalozi… ...

 

11 years ago

Michuzi

MARK CHILDRESS, BALOZI MPYA WA MAREKANI NCHINI TANZANIA, ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI

Balozi mpya wa Marekani nchini Tanzania Mhe. Mark Childress akikaribishwa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani na Afisa Ubalozi Suleiman Saleh siku ya Alhamisi April 24, 2014 alipotembelea Ubalozi huo na kujitambulisha kwa Mhe. Balozi Liberata Mulamula (hayupo pichani) Balozi Liberata Mulamula akimtambulisha Balozi mpya wa Marekani nchini Tanzania Mhe. Mark Childress kwa Maafisa na wafanyakazi wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani Balozi huyo alipotembelea Ubalozi huo siku ya Alhamisi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani