NDEGE YA MALAWI YAZUA HOFU MPAKANI MWA TANZANIA
“Kwa kuzingatia uhusiano uliopo kati ya Tanzania na Malawi, naomba mwongozo wako maana ndege za nchi hii sasa zinaingia hadi Tanzania na kuwatia hofu wananchi,” alisema Mbunge wa Ileje,Aliko Kibona.
Kauli ya mbunge huyo imekuja wakati msimamo rais wa Malawi, Profesa Peter Mutharika kuhusu mzozo uliopo kati ya nchi hiyo na Tanzania kuhusu Ziwa Nyasa ukiwekwa bayana hatakuwa na mjadala kuhusu mpaka wa nchi hizo akidai kuwa Ziwa Nyasa ni la Malawi pekee.Kibona alisema kwa takriban wiki mbili...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo11 Jun
Ndege ya Malawi yazua hofu Ileje
MBUNGE wa Ileje, Aliko Kibona (CCM) ameomba Serikali ieleze juu ya ndege kutoka Malawi, ambayo imekuwa ikitia hofu wananchi wa Ileje, kwa kuzunguka angani kila mara.
11 years ago
BBCSwahili11 Dec
Polisi 5 wauawa mpakani mwa Kenya na Somalia
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8fil5gmLgTbKmKlyoiPIuyfB28R15c5IAD3TAwTEGMoGtTzAOnBRRRXccS7lCcVKgG2fvE*FLbsUot1hukdmyoNNiIlFrRTY/IMG20141126WA0001.jpg)
AJALI MBAYA YA MOTO MPAKANI MWA ZAMBIA NA KONGO
11 years ago
BBCSwahili07 Aug
Ebola yazua hofu Nigeria
10 years ago
BBCSwahili12 Apr
Hofu ya shambulizi yazua mauti Kenya
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo447tcpxDcPbUNWmUCKEcK10QYbRnkqCnmqX2LaZc*hs9aHERT38D*UDPrKwwqQwi2ijR6-YCz5gheyu8uSPsQY/yuyuyu6767.gif?width=650)
BASTOLA YA RAY YAZUA HOFU UKUMBINI
9 years ago
BBCSwahili09 Sep
Mafuriko yazua Hofu ya njaa Sierra Leone
5 years ago
BBCSwahili27 Apr
Makabiliano kati ya Iran na Marekani yazua hofu ya kuzuka kwa vita Ghuba
11 years ago
Habarileo19 Dec
Ndege ya Ethiopia yazua tafrani Arusha
NDEGE ya Shirika la Ndege la Ethiopia, imetua kwa dharura katika uwanja mdogo wa Arusha baada ya kushindwa kutua katika uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) kutokana na ndege nyingine ya TFC kukwama kwenye njia ya kurukia.