Wanaume watano wauwawa Moyale, Kenya
Wanaume watano wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa Al-Shabaab wapigwa risasi na kuuwawa nchini Kenya karibu na mpaka wa Ethiopia
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili22 Jun
Watu 20 wauwawa Wajir, Kenya
Kaskazini-mashariki mwa Kenya koo mbili zapambana na watu wengi wauwawa katika ugomvi kuhusu mpaka
10 years ago
BBCSwahili22 Nov
Zaidi 28 wauwawa na wanamgambo Kenya
Polisi nchini Kenya wanasema kuwa wanamgambo wanaoshukiwa kuwa wa kundi la Al Shabaab wamewauwa kwa kuwapiga risasi zaidi ya watu 28 waliokuwa wakisafiri kwenye basi moja karibu na mpaka wa Somalia.
10 years ago
BBCSwahili01 Nov
Polisi wauwawa Turkana, Kenya
Polisi wauwawa na kutoweka kaskazini mwa Kenya wakati wa operesheni za usalama
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-gl49bYfuLRU/VV4Ef12encI/AAAAAAAAuI4/VXWFgPJinb8/s72-c/07dcmbege.jpg)
Story ya wanawake wa Rombo kukodi wanaume Kenya kuwaridhisha kimapenzi yatinga bungeni, wanaume wataka waombwe radhi
![](http://4.bp.blogspot.com/-gl49bYfuLRU/VV4Ef12encI/AAAAAAAAuI4/VXWFgPJinb8/s640/07dcmbege.jpg)
Habari iliyoandikwa kwenye gazeti la Mwananchi juzi yenye kichwa cha habari ‘Wanawake wa Rombo wakodi wanaume kutoka Kenya’ imeibukia bungeni leo.Habari hiyo iliandikwa kutokana na kauli aliyoitoa mkuu wa wilaya ya Rombo, Lembris Kipuyo, aliyedai kuwa kutokana na wanaume wa wilaya hiyo kuwa walevi wa kutupa, wake zao wamekuwa wakikodi wanaume kutoka Kenya ili kuwaridhisha kimapenzi.
“Tatizo la ulevi wilayani Rombo na matumizi ya pombe zisizokuwa na viwango ni kubwa sana na linahitaji nguvu...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-X1Qwg2FhSBk/VVixxxmRMVI/AAAAAAAACH8/j5_TDZx7jug/s72-c/black-man-suit-smiling.jpg)
Wanaume “vicheko” Kenya
![](http://3.bp.blogspot.com/-X1Qwg2FhSBk/VVixxxmRMVI/AAAAAAAACH8/j5_TDZx7jug/s400/black-man-suit-smiling.jpg)
10 years ago
BBCSwahili16 Sep
Tahadhari kwa wanaume Kenya
Wanaume wanaowatelekeza watoto wao wakati wenyewe wana kazi za kuwawzesha kukimu maisha yao wawe macho maana wameanza kuanikwa
11 years ago
BBCSwahili11 Aug
Wanaume wakimbia tohara Kenya
Wanaume wanaokwepa kutahiriwa wajikuta taabani kwa kufanyiwa kitendo hicho kwa lazima Kenya
10 years ago
Mwananchi19 May
Wakodi wanaume kutoka Kenya
>Mkuu wa Wilaya ya Rombo, Lembris Kipuyo amesema tatizo la ulevi kupindukia wilayani humo, limewaathiri wanaume kiafya na kuwataka watendaji kulivalia njuga.
10 years ago
BBCSwahili10 Nov
Je wanaume watasusia ngono Kenya?
Wanaume nchini Kenya wameelezea hisia mseto kuhusu wito wa kiongozi wa shirika la maendeleo la wanaume nchini humo kwamba wasusie tendo la ndoa
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania