Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Al Jazeera yaihusisha Kenya na mauaji

Shirika la habari la Al Jazeera limepeperusha ripoti ambayo imehusisha maafisa wa usalama wa Kenya na mauaji ya viongozi wa kidini

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBC

Kenya orders Al-Jazeera investigation

Kenya calls an Al-Jazeera report alleging the use of extrajudicial killings "scandalous" and says it will investigate its makers.

 

10 years ago

TheCitizen

Al Jazeera exposé shows police death squads in Kenya

A damning programme exposing police death squads in Kenya was aired by an international television network Monday.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mshukiwa wa mauaji Kenya na TZ afariki

Mmoja wa watu waliopanga mashambuliz ya kigaidi kwenye balozi za marekani nchini Kenya na Tanzania mwaka 1998 ameaga dunia

 

10 years ago

Mtanzania

Al-Shabaab wafanya mauaji ya kutisha Kenya

Kundi la Al-shabaab

Kundi la Al-shabaab

MANDELA, Kenya

MAUAJI ya kutisha yameendelea kutikisa nchini Kenya baada ya jana asubuhi kundi la wanamgambo la Al-Shabaab kuua watu 36 katika machimbo ya mawe huko Koromey, Kaunti ya Mandera.

Watu waliouawa wote hawakuwa Waislamu na wengi wao wanatoka eneo la Chaka, Kiganjo katika Kaunti ya Nyeri.

Shambulio hilo baya lililotokea karibu na mpaka wa Somalia limekuja ikiwa ni wiki moja tu baada ya kundi hilo kuua watu wengine 28 kwenye kaunti hiyo.

Watu hao waliuawa baada...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mauaji mengine Kenya, 20 wauawa Wajir

Kuna taarifa kuwa watu ishirini wameuawa katika shambulio kwenye kijiji Mashariki Kaskazini mwa Kenya siku ya jumapili.

 

11 years ago

BBCSwahili

Gavana akabiliwa na kesi ya mauaji Kenya

Gavana wa kaunti ya Lamu Pwani ya Kenya amefikishwa mahakamani na kushtakiwa kwa mauaji ya zaidi ya watu 60 mjini mpeketoni.

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi walaumiwa kwa mauaji Kenya

Shirika la kutetea haki za binadamu,Human Rights Watch limewalaumu polisi wa kupambana na ugaidi nchini Kenya kwa mauaji ya kiholela.

 

10 years ago

Habarileo

Raia wa Kenya afanya mauaji baa Tarime

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Tarime/Rorya, Lazaro MambosasaMTUHUMIWA wa vitendo vya ujambazi kutoka Kijiji cha Masangura, Wilaya ya Kurya West nchi jirani ya Kenya, Chacha Marwa Gibai maarufu kama Mapengo anashikiliwa na polisi katika Kanda Maalumu ya Tarime/Rorya akituhumiwa kuua mtu kwa kumchoma kisu na kujeruhi mwingine kwa kisu katika vurugu aliyoianzisha baa mjini hapa.

 

10 years ago

Vijimambo

MAUAJI YA KENYA YANALENGA KUZUA UHASAMA WA KIDINI

MSHAURI wa Rais Uhuru Kenyatta wa nchini Kenya, Abdikadir Mohammed amesema kuwa mauaji ya watu 28 waliokuwa wakisafiri kwenye basi nchini humo jana yalilenga kusababisha vita vya kidini.

Kwenye mahojiano na BBC Abdikadir Mohammed alitoa wito kwa Wakenya kutoka madhehebu yote kuungana pamoja dhidi ya kile alichokitaja kuwa vitendo vya uhalifu.

Wapiganaji wa kundi la Al-Shabaab waliwapiga risasi wasafiri ambao walishindwa kukariri Koran.

Al-Shabaab ilisema kuwa shambulizi hilo lilikuwa la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani