Al Jazeera yaihusisha Kenya na mauaji
Shirika la habari la Al Jazeera limepeperusha ripoti ambayo imehusisha maafisa wa usalama wa Kenya na mauaji ya viongozi wa kidini
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/79625000/jpg/_79625338_kenya.jpg)
Kenya orders Al-Jazeera investigation
10 years ago
TheCitizen10 Dec
Al Jazeera exposé shows police death squads in Kenya
10 years ago
BBCSwahili03 Jan
Mshukiwa wa mauaji Kenya na TZ afariki
10 years ago
Mtanzania03 Dec
Al-Shabaab wafanya mauaji ya kutisha Kenya
![Kundi la Al-shabaab](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Kundi-la-Al-shabaab.jpg)
Kundi la Al-shabaab
MANDELA, Kenya
MAUAJI ya kutisha yameendelea kutikisa nchini Kenya baada ya jana asubuhi kundi la wanamgambo la Al-Shabaab kuua watu 36 katika machimbo ya mawe huko Koromey, Kaunti ya Mandera.
Watu waliouawa wote hawakuwa Waislamu na wengi wao wanatoka eneo la Chaka, Kiganjo katika Kaunti ya Nyeri.
Shambulio hilo baya lililotokea karibu na mpaka wa Somalia limekuja ikiwa ni wiki moja tu baada ya kundi hilo kuua watu wengine 28 kwenye kaunti hiyo.
Watu hao waliuawa baada...
11 years ago
BBCSwahili22 Jun
Mauaji mengine Kenya, 20 wauawa Wajir
11 years ago
BBCSwahili26 Jun
Gavana akabiliwa na kesi ya mauaji Kenya
10 years ago
BBCSwahili18 Aug
Polisi walaumiwa kwa mauaji Kenya
10 years ago
Habarileo20 Nov
Raia wa Kenya afanya mauaji baa Tarime
MTUHUMIWA wa vitendo vya ujambazi kutoka Kijiji cha Masangura, Wilaya ya Kurya West nchi jirani ya Kenya, Chacha Marwa Gibai maarufu kama Mapengo anashikiliwa na polisi katika Kanda Maalumu ya Tarime/Rorya akituhumiwa kuua mtu kwa kumchoma kisu na kujeruhi mwingine kwa kisu katika vurugu aliyoianzisha baa mjini hapa.
10 years ago
Vijimambo23 Nov
MAUAJI YA KENYA YANALENGA KUZUA UHASAMA WA KIDINI
Kwenye mahojiano na BBC Abdikadir Mohammed alitoa wito kwa Wakenya kutoka madhehebu yote kuungana pamoja dhidi ya kile alichokitaja kuwa vitendo vya uhalifu.
Wapiganaji wa kundi la Al-Shabaab waliwapiga risasi wasafiri ambao walishindwa kukariri Koran.
Al-Shabaab ilisema kuwa shambulizi hilo lilikuwa la...