Gavana akabiliwa na kesi ya mauaji Kenya
Gavana wa kaunti ya Lamu Pwani ya Kenya amefikishwa mahakamani na kushtakiwa kwa mauaji ya zaidi ya watu 60 mjini mpeketoni.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-mZjvG0V9hfs/VdXNqI5Ry2I/AAAAAAAATXw/tNB92yfb2_k/s72-c/shitambala.jpg)
MTEULE WA CCM JIMBO LA MBEYA MJINI AKABILIWA NA KESI YA JINAI
![](http://3.bp.blogspot.com/-mZjvG0V9hfs/VdXNqI5Ry2I/AAAAAAAATXw/tNB92yfb2_k/s640/shitambala.jpg)
Na Mwandishi wetu,Mbeya
KESI ya kuingia kwa jinai inayomkabili mgombea ubunge kupitia chama cha mapinduzi Jimbo la Mbeya mjini, Sambwee Shitambala, imeendelea kusikilizwa leo katika Mahakama ya Wilaya ya Mbeya.
Shitambala ambaye ni Mwenyekiti wa zamani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, anatuhumiwa kwa kosa la kuingia kwa jinai baada ya kuvamia na kujenga kwenye eneo la mtu kinyume na sheria katika kiwanja kilichopo eneo la Gombe...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lTlQOVXQOgs/VDpSXNLxQKI/AAAAAAAGpeo/Vq5W_DCCJik/s72-c/fuime_2.jpg)
GABRIEL FUIME AFUTIWA KESI YA MAUAJI NA KUWA MAUAJI BILA KUKUSUDIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-lTlQOVXQOgs/VDpSXNLxQKI/AAAAAAAGpeo/Vq5W_DCCJik/s1600/fuime_2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JwljluxxjSY/XnxdytJg3TI/AAAAAAAAI28/S4tUS1___xke5qsSadGjkIN8VGdBmU5bACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200326_100557_001.jpg)
MSHUKIWA WA MAUAJI YA BINTI WA KAZI KIZIMBANI KWA KESI YA MAUAJI NA MADAWA YA KULEVYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-JwljluxxjSY/XnxdytJg3TI/AAAAAAAAI28/S4tUS1___xke5qsSadGjkIN8VGdBmU5bACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200326_100557_001.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-BL7ffa8fjoc/Xnxd-8PWteI/AAAAAAAAI3A/rPPCQICNfIMspYar5UxMxC29Jk4Xe-JYwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200326_101415_806.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-j0lTGQFCnYo/XnylgUVdMQI/AAAAAAAAI3g/4jj4AoCrXuE8KdlcgYiEGDqvsdWTDT8pQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200326_100557_001.jpg)
11 years ago
Mwananchi08 Jul
KESI: ‘Ushahidi kesi ya mauaji kikwazo’
>Upande wa mashtaka katika kesi ya mauaji ya raia eneo la Magomeni Mikumi, jijini Dar es Salaam, umekiri kuwa hauna ushahidi huru kwa baadhi ya washtakiwa katika kesi hiyo.
11 years ago
BBCSwahili26 Jun
Gavana wa Lamu Kenya amekamatwa
Serikali ya Kenya imekamata gavana wa jimbo lililokumbwa na mapigano yaliyosababisha vifo vya watu 65
11 years ago
BBCSwahili05 Feb
Gavana awaomba radhi wanawake Kenya
Mwanasiasa mashuhuri nchini Kenya amewaomba radhi wanawake kwa matamshi yake kuwa wanawake ambao hawajaolewa hawapaswi kushikilia nyadhifa za kisiasa.
10 years ago
BBCSwahili13 Mar
Al-Shabaab:Gavana anusurika kifo Kenya
Mwanasiasa mmoja wa Kenya amenusurika shambulizi lililotekelezwa na kundi la Al shabaab.
10 years ago
BBCSwahili17 Jun
Gavana wa Benki kuu ya Kenya ''Hajaoa''
Wabunge nchini Kenya wazua kihoja baada ya Gavana mteule wa benki kuu ya Kenya kukiri kuwa hajao licha ya kuwa na umri wa miaka 54
10 years ago
BBCSwahili08 Jul
Gavana wa benki kuu akataa anasa Kenya
Gavana wa Benki kuu ya Kenya Patrick Njoroge amekataa jumba la kifahari baada ya kuteuliwa kuchukua wadhifa huo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania