Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Gavana wa benki kuu akataa anasa Kenya

Gavana wa Benki kuu ya Kenya Patrick Njoroge amekataa jumba la kifahari baada ya kuteuliwa kuchukua wadhifa huo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Gavana wa Benki kuu ya Kenya ''Hajaoa''

Wabunge nchini Kenya wazua kihoja baada ya Gavana mteule wa benki kuu ya Kenya kukiri kuwa hajao licha ya kuwa na umri wa miaka 54

 

10 years ago

Michuzi

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania awasilisha mada kwa Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Prof. Benno Ndulu akiwasilisha mada kuhusu  "Exchange Rate Developments in Tanzania and Implications for the Economy"  kwa Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wakati wa Semina fupi iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC), Dar es Salaam tarehe 18 Machi, 2015.  Katika mada yake Prof. Ndulu  alielezea pamoja na mambo mengine umuhimu wa Tanzania kuuza zaidi bidhaa zake nje ili kudhibiti mfumuko wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Gavana wa benki Nigeria atimuliwa

Gavana Lamido Sanusi amesimamishwa kazi akisubiri uchunguzi wa kile kinachosemekana kuwa makosa makubwa katika rekodi za benki.

 

10 years ago

StarTV

Chenge akata rufaa mahakama kuu, akataa kuhojiwa.

Na Josephine Mwaiswaga,

Dar Es Salaam.

 

Baada ya Mbunge wa Bariadi Magharibi Andrew Chenge kugoma kuhojiwa na sekratarieti ya maadili ya viongozi wa umma kuhusiana na tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka, Mbunge huyo sasa amekimbilia mahakama kuu ili kukata rufaa dhidi ya uamuzi wa sekretarieti hiyo wa kutaka kumhoji.

Chenge ambaye ni kiongozi wa kwanza kuitwa kuhojiwa na tume hiyo kwa tuhuma za kuhusishwa kwenye kashfa ya akaunti ya Tegeta Escrow amehoji pia uwezo wa wanasheria wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Gavana wa Lamu Kenya amekamatwa

Serikali ya Kenya imekamata gavana wa jimbo lililokumbwa na mapigano yaliyosababisha vifo vya watu 65

 

11 years ago

BBCSwahili

Gavana awaomba radhi wanawake Kenya

Mwanasiasa mashuhuri nchini Kenya amewaomba radhi wanawake kwa matamshi yake kuwa wanawake ambao hawajaolewa hawapaswi kushikilia nyadhifa za kisiasa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Gavana akabiliwa na kesi ya mauaji Kenya

Gavana wa kaunti ya Lamu Pwani ya Kenya amefikishwa mahakamani na kushtakiwa kwa mauaji ya zaidi ya watu 60 mjini mpeketoni.

 

10 years ago

BBCSwahili

Al-Shabaab:Gavana anusurika kifo Kenya

Mwanasiasa mmoja wa Kenya amenusurika shambulizi lililotekelezwa na kundi la Al shabaab.

 

9 years ago

Michuzi

MFUMO WA KIMTANDAO UNAOWEZESHA KUPOKEA NA KUHAMISHA MIAMALA YA KIFEDHA KUTOKA BENKI MOJA KWENDA NYINGINE UNAORATIBIWA NA BENKI KUU YA TANZANIA (BOT)

 MFUMO WA KIMTANDAO UNAOWEZESHA KUPOKEA NA KUHAMISHA MIAMALA YA KIFEDHA KUTOKA BENKI MOJA KWENDA NYINGINE UNAORATIBIWA NA BENKI KUU YA TANZANIA (BOT)  YAANI ‘TANZANIA INTER-BANK SETTLEMENT SYSTEM’ (TISS) WAONGEZA UFANISI KATIKA BANDARI YA DAR ES SALAAM Kaimu Meneja wa Bandari ya Dar es Salaam, Bw. Hebel Mhanga, akibadilishana mawazo na Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Bw. Gabriel Migire, leo asubuhi kabla Kaimu Katibu Mkuu hajaongea na waandishi wa habari pamoja na wadau kuhusu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani