MTEULE WA CCM JIMBO LA MBEYA MJINI AKABILIWA NA KESI YA JINAI
![](http://3.bp.blogspot.com/-mZjvG0V9hfs/VdXNqI5Ry2I/AAAAAAAATXw/tNB92yfb2_k/s72-c/shitambala.jpg)
Mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM Mbeya Sambwee Shitambala
Na Mwandishi wetu,Mbeya
KESI ya kuingia kwa jinai inayomkabili mgombea ubunge kupitia chama cha mapinduzi Jimbo la Mbeya mjini, Sambwee Shitambala, imeendelea kusikilizwa leo katika Mahakama ya Wilaya ya Mbeya.
Shitambala ambaye ni Mwenyekiti wa zamani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, anatuhumiwa kwa kosa la kuingia kwa jinai baada ya kuvamia na kujenga kwenye eneo la mtu kinyume na sheria katika kiwanja kilichopo eneo la Gombe...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziSOPHIA SIMBA AMNADI MGOMBEA UBUNGE CCM JIMBO LA MBEYA MJINI SAMBWEE SHITAMBALA.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_L-w3V54RZY/VjUfiRKVO0I/AAAAAAAID0Y/CbFu5tZnZUA/s72-c/unnamed%2B%252816%2529.jpg)
Mbunge Mteule wa jimbo la Mafinga Mjini Cosato Chumi ashukuru wananchi kwa kumchagua
![](http://3.bp.blogspot.com/-_L-w3V54RZY/VjUfiRKVO0I/AAAAAAAID0Y/CbFu5tZnZUA/s640/unnamed%2B%252816%2529.jpg)
Mbunge Mteule wa jimbo la Mafinga Mjini Ndugu Cosato Chumi akiwa amebebwa na wananchi wa Kijiji cha Isalavanu wakati wa ziara yake ya kuwashukuru wananchi kwa kumpa kura za wingi.Ndugu Chumi ametembelea jumla ya Vijiji 15 kwa muda wa siku mbili katika kata za Bumilayinga, Sao Hill, Isalavanu na Rungemba. Baada ya kuapishwa ataendelea katika kata zilizosalia ambazo ziko katikati ya Mji wa Mafinga. Mhe. Chumi amesema yeye sasa ni mbunge wa wote waliompa kura na hata ambao hawakumpa kura,...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-LfPjCd5M218/Vf6R70A6MtI/AAAAAAAH6PU/cK4YaPQ9QxE/s72-c/20150920_090324.jpg)
Mbaraka wa Askofu Mteule Mchungaji Kenan Salim Panja, Kanisa La Moravian Jimbo la Kusini mjini Tukuyu Leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-LfPjCd5M218/Vf6R70A6MtI/AAAAAAAH6PU/cK4YaPQ9QxE/s640/20150920_090324.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lC1tY4_0F-o/Vf6SmebWLII/AAAAAAAH6Pc/Fk5kR8OssfQ/s640/20150920_084121.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GjpNfyecck8/Vf6Q9e9DHiI/AAAAAAAH6PI/WjCo9czJucU/s640/unnamed%2B%252820%2529.jpg)
Picha na Mpeli Nsekela
11 years ago
BBCSwahili26 Jun
Gavana akabiliwa na kesi ya mauaji Kenya
9 years ago
Dewji Blog02 Nov
Mbunge mteule katika jimbo la Manonga mkoani Tabora, Seif Khamis Gulamali (CCM) awashukuru wananchi kwa kumchagua
![](http://4.bp.blogspot.com/-Jl2Pp1hhvZ0/VjXjPo8rf1I/AAAAAAABYZ8/BRDvaJVsAfk/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-JG7d6BNnYDE/VjXjQOQAOfI/AAAAAAABYZ4/YeZV95gh_Pw/s640/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-I6G8QLUhxrk/VjXjRlwHAVI/AAAAAAABYaI/yiwIv0wO6Ks/s640/4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-l3wJtp8Ip0Y/VjXjUoat1PI/AAAAAAABYao/bCirDFiafEA/s640/7.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IImj5ORIEU0/VjXozS5cWOI/AAAAAAABYbE/OdX272f0dS0/s72-c/11.jpg)
MBUNGE MTEULE KATIKA JIMBO LA MANONGA MKOANI TABORA , SEIF KHAMIS GULAMALI (CCM) AWASHUKURU WANANCHI KWA KUMCHAGUA
![](http://2.bp.blogspot.com/-IImj5ORIEU0/VjXozS5cWOI/AAAAAAABYbE/OdX272f0dS0/s640/11.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VQq_Osx7Pf4/VjXjVLAlOTI/AAAAAAABYaw/NCGhU5kP0Yg/s640/9.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0Vhz7Q19jPw/VjXjP5_sSmI/AAAAAAABYZ0/XM7uCFH5xP4/s640/10.jpg)
9 years ago
MichuziMgombea Ubunge Jimbo la Mbeya Mjini Sambwee Shitambala ajinadi
10 years ago
GPLKESI YA JINAI YA SHEIKH PONDA YAAHIRISHWA
11 years ago
Habarileo20 Mar
CCM yapania kurejesha Jimbo la Iringa Mjini
BAADA ya kupata ushindi wa kishindo katika uchaguzi mdogo wa ubunge Jimbo la Kalenga, Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesema kinajiimarisha zaidi kirejeshe mikononi mwake, Jimbo la Iringa mjini mikononi mwake. Jimbo la Iringa Mjini linaloongozwa na Mchungaji Peter Msigwa aliyechaguliwa mwaka 2010 kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).