Al-Shabaab wafanya mauaji ya kutisha Kenya
Kundi la Al-shabaab
MANDELA, Kenya
MAUAJI ya kutisha yameendelea kutikisa nchini Kenya baada ya jana asubuhi kundi la wanamgambo la Al-Shabaab kuua watu 36 katika machimbo ya mawe huko Koromey, Kaunti ya Mandera.
Watu waliouawa wote hawakuwa Waislamu na wengi wao wanatoka eneo la Chaka, Kiganjo katika Kaunti ya Nyeri.
Shambulio hilo baya lililotokea karibu na mpaka wa Somalia limekuja ikiwa ni wiki moja tu baada ya kundi hilo kuua watu wengine 28 kwenye kaunti hiyo.
Watu hao waliuawa baada...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi15 Jul
Mauaji ya kutisha
11 years ago
Tanzania Daima27 Jan
Mauaji ya kutisha Musoma
WATU watano wameuawa kikatili kwa kuchinjwa, kukatwa mapanga katika mfululizo wa matukio ya mauaji ya kinyama yanayoendelea kutokea katika wilaya za Musoma, Butiama na Rorya mkoani Mara. Kibaya zaidi, mauaji...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dm99ly9wi65SKh-uTMMzRHiUUPFwoYS52jMwDhWkZsh8nsyeZrTTRHAysxzn0NLGADZFFt9nVhyzWUksL2d3w6RRQ60ZDlfb/Bakwata.gif?width=650)
MAUAJI YA KUTISHA BAKWATA
11 years ago
Mwananchi10 Feb
Mauaji ya kutisha dhidi ya wanawake
11 years ago
Tanzania Daima02 May
Mauaji ya kutisha yazuka tena Geita
MAUAJI ya kikatili yameibuka tena mkoani Geita baada ya watu wasiojulikana kuvamia maeneo matatu usiku wa Aprili 27 na kuwaua kwa kuwachinja na kutenganisha viungo vyao watu watatu kwa imani...
10 years ago
Mwananchi10 Oct
Mauaji ya kutisha Kigoma, saba wateketezwa
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-69ZEnctRvmI/VZU_irfwd5I/AAAAAAAHmcI/HcmRLh5It7U/s72-c/sabas-may10-201328.jpg)
MUTUHUMIWA WA MAUAJI YA KUTISHA YALIYOTOKEA MKOANI ARUSHA AKAMATWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-69ZEnctRvmI/VZU_irfwd5I/AAAAAAAHmcI/HcmRLh5It7U/s640/sabas-may10-201328.jpg)
Na Woinde Shizza,
wa libeneke la kaskazini blog
Mtuhumiwa mauaji ya kutisha ya kumkata viungo vya mwili marehemu zikiwemo sehemu za siri, viganja vya mikono na matiti mauaji yaliotokea kwenye hotel ya A Square Belmot amekamatwa na jeshi la polisi mkoani Arusha.
Akiongea na vyombo vya habari ofisini kwake kamanda wa polisi, Naibu kamishna wa jeshi la polisi mkoani hapa Liberatus Sabas (pichani) alisema kuwa mtuhumiwa alikamatwa juzi majira ya asubuhi katika eneo la TRA House jijini hapa....
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6rYIJZ9kmEY/VeloXU5D-CI/AAAAAAAC-eA/icSQwmYIR_Y/s72-c/sabas-may10-201328.jpg)
MTUHUMIWA WA MAUAJI YA KUTISHA YALIYOTOKEA MKOANI ARUSHA AKAMATWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-6rYIJZ9kmEY/VeloXU5D-CI/AAAAAAAC-eA/icSQwmYIR_Y/s640/sabas-may10-201328.jpg)
Akiongea na vyombo vya habari ofisini kwake kamanda wa polisi, Naibu kamishna wa jeshi la polisi mkoani hapa Liberatus Sabas alisema kuwa mtuhumiwa alikamatwa juzi majira ya asubuhi katika eneo la TRA House jijini Arusha.
Sabas ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLadPkBmjBOvf3uP3diX7LV78B9S04sPXz9LunPfV45jsAbKru*v9DXf8PWBJ7g6NWDh82YkiIy3jViosVo-oy*Ug/1.jpg)
ISIS WAENDELEA KUFANYA MAUAJI YA KUTISHA HUKO SYRIA NA IRAQ