Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Viongozi wanapalilia uhasama, chuki

Na Enzi T. Aboud KAMA aliyoyasema Balozi Seif Ali Iddi, Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa kampeni wa CCM Zanzibar, yalitoka moyoni mwake kuwa viongozi wa CUF na UKAWA kupitia cha CHADEMA, […]

The post Viongozi wanapalilia uhasama, chuki appeared first on Mzalendo.net.

Mzalendo Zanzibar

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Chuki:Viongozi waonywa Afrika Kusini

Waziri wa masuala ya ndani nchini Afrika kusini ametoa wito kwa viongozi kukoma kutoa matamshi yanayoweza kusababisha maafa.

 

10 years ago

Mwananchi

Mwisho wa uhasama

Baada ya miongo ya miaka ya kutokuwepo uhusiano wa kibalozi, Marekani sasa imetangaza kuwa inataka irejeshe uhusiano wake na Cuba uwe wa kawaida.

 

9 years ago

Mwananchi

Miaka 85 ya uhasama Real, Barca

Ni miaka 85 tangu Real Madrid na Barcelona zikutane kwa mara ya kwanza katika mchezo baina yao, ambao umepewa jina la El- Clasico.

 

11 years ago

Mwananchi

Tido Mhando:Uhasama zaidi

Kama kulikuwa na mwaka ambao labda ungeelezewa kuwa ndiyo kilele cha uhasama uliokuwepo baina ya Tanzania na Kenya, basi ulikuwa ni mwaka huo wa 1982.

 

11 years ago

BBCSwahili

Maafikiano kukomesha uhasama Ukraine

Wawakilishi wa Marekani Urusi na Umoja wa Ulaya wakubaliana kusitisha uhasama nchini Ukraine

 

9 years ago

Habarileo

Mkuu wa mkoa apinga siasa za uhasama

WANANCHI wa mkoa wa kaskazini Uguja wametakiwa kuimarisha amani na utulivu na vijana kuacha kujiingiza katika siasa za ushabiki wa uhasama wa kisiasa ili kutoa nafasi kwa wananchi kushiriki vizuri katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 25.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mauaji yanalenga kuzua uhasama wa kidini

Mshauri wa rais wa kenya Abdulkadir Mohammed amesema muaji yanalenga kuzua uhasama wa kidini kenya

 

11 years ago

BBCSwahili

Uhasama baada ya Tohara ya lazima Kenya

Uhasama waibuka Magharibi mwa Kenya baada ya watu wa jamii ambazo haziwapashi tohara kulazimika kupitia kisu cha ngariba

 

9 years ago

BBCSwahili

Saudia na Iran zaombwa kuondoa uhasama

Waziri wa mambo ya nje wa Marekani John Kerry amezungumza na wenzake kutoka Saudia na Iran, katika hatua ya kutatua mzozo wa sasa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani