Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Stars wakimbia dengue Dar

Kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars. Martha Mboma na Mohamed Mdose
TAYARI timu ya taifa, Taifa Stars, ipo kwenye harakati za mwisho za kuanza kambi yake leo huko Tukuyu, Mbeya kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wao dhidi ya Msumbiji huku sababu ya kuwapeleka mkoani humo ikitajwa ni kuyaepuka magonjwa ya malaria na dengue. Stars inatarajiwa kuvaana na Msumbiji Julai 20, mwaka huu kwa ajili ya kutafuta tiketi ya kufuzu...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

'Dar inasambaza Dengue mikoani'

UGONJWA wa homa ya dengue umeanza kusambaa kwa kasi mikoani ambapo sasa wagonjwa wapya 50 wamegundulika huku ikielezwa wengi ni waliotoka nao mkoani Dar es Salaam. Hayo yalisemwa jana mjini hapa na Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Afya na Dharura, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dk Elias Kessy.

 

11 years ago

Mwananchi

Homa ya Dengue yatikisa Dar

>Ugonjwa wa homa ya dengue umezidi kusambaa mkoani Dar es Salaam na sasa umeathiri wilaya zake tatu na kuzua hofu kwa wananchi.

 

11 years ago

Daily News

Dengue fever attacks 21 people in Dar


Dengue fever attacks 21 people in Dar
Daily News
A TOTAL of 21 people have been admitted to different hospitals in Dar es Salaam following an outbreak in dengue fever, it has been learnt. The Ministry of Health and Social Welfare Spokesperson, Mr Nsachris Mwamwaja said in the city on Friday that 18 ...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Nabii wa dengue’ aibuka Dar, ataka kumwona JK

>Wakati homa ya dengue ikizidi kusambaa nchini, tayari watu 60 wamebainika kuwa na dalili za ugonjwa huo mkoani Lindi, lakini jijini Dar es Salaam ameibuka kiongozi wa dini anayejiita nabii na kwamba anatibu ugonjwa huo kwa kutumia juisi.

 

11 years ago

TheCitizen

Medical body issues warning as dengue kills more in Dar

>The Medical Association of Tanzania (MAT) yesterday raised the alarm over dengue fever in Dar es Salaam, warning that the disease could spread to neighbouring regions and trigger an unprecedented public health crisis in the country.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanaume wakimbia vipimo

WANAWAKE wengi wa Tarafa ya Mwese katika Halmashauri ya Wilaya ya  Mpanda mkoani  Katavi, wanalazimika kujifungulia nyumbani kutokana na kunyimwa huduma kwenye kliniki baada ya  kushindwa  kwenda na waume zao kupimwa afya. Hayo yalielezwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mamia wakimbia vita Bor

Wakaazi wa mji wa Bor nchini Sudan Kusini wanaendelea kuukimbia mji huo wakihofia maisha yao.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wapalestina wakimbia Gaza kaskazini

Umoja wa Mataifa wasema baadhi ya Wapalestina wahama Gaza kaskazini wakiogopa mashambulio yajayo yatayowalenga wao

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani