'Dar inasambaza Dengue mikoani'
UGONJWA wa homa ya dengue umeanza kusambaa kwa kasi mikoani ambapo sasa wagonjwa wapya 50 wamegundulika huku ikielezwa wengi ni waliotoka nao mkoani Dar es Salaam. Hayo yalisemwa jana mjini hapa na Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Afya na Dharura, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dk Elias Kessy.
habarileo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania