Rais wa Gabon ametoa urithi wake kwa umma
Rais wa Gabon Ali Bongo Ondimba ameahidi kutoa urithi wake wote kwa vijana nchini humo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania19 Aug
Rais wa Gabon atoa urithi kwa umma
Na Mwandishi Wetu, Mashirika ya Habari
RAIS wa Gabon, Ali Bongo Ondimba ameahidi kutoa sehemu kubwa ya urithi alioachiwa na marehemu baba yake, Omar Bongo kwa vijana wa taifa hilo.
“Kwa macho yangu, sote tu warithi wa Omar Bongo,” Rais alisema wakati akilihutubia taifa jana ikiwa sehemu ya maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa nchi hiyo.
Kiasi rasmi cha urithi wa baba yake ambaye alitawala taifa hilo kwa miaka 41 hadi alipofia madarakani mwaka 2009, bado hakijajulikana, lakini ameripotiwa...
10 years ago
Bongo528 Dec
Picha: Ludacris amchumbia girlfriend wake raia wa Gabon kwa ‘style’
9 years ago
Bongo531 Dec
David Moyes ametoa mtazamo wake kuhusu kocha Louis van Gaal
![2FAFDCED00000578-3379123-David_Moyes_has_placed_his_support_behind_Manchester_United_bele-a-108_1451493821789](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/2FAFDCED00000578-3379123-David_Moyes_has_placed_his_support_behind_Manchester_United_bele-a-108_1451493821789-300x194.jpg)
Kocha wa zamani wa Everton na Manchester United, David Moyes ameeleza mtazamo wake kuhusu kocha wa sasa wa United Louis van Gaal. David Moyes amesema Van Gaal anastahili kupewa muda zaidi huku akiamini kuwa Manchester United inaweza kuzoa mafanikio chini ya Mdachi huyo.
Mashabiki wa United tayari wamepoteza imani kwa Van Gaal huku wakishuhudia klabu yao iliyokosa soka la kuburudisha ikifunga magoli 13 tu msimu huu kwenye Premier League. Lakini licha ya shutuma za mashabiki na wachambuzi wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jbaar29oQX4ZQ2sxZJKX5Vgzf*YhoYIp2UfKlttxoq2UiO86n5B35XMrLPDxrQhilB4DXm9lHzmM0SfHSt8h019Z*j3wbl*o/Luda1.jpg?width=650)
LUDACRIS AFUNGA NDOA NA MPENZI WAKE RAIA WA GABON
10 years ago
Vijimambo07 Jan
LUDACRIS AFUNGA NDOA NA FAB MPENZI WAKE RAIA WA GABON
![](http://api.ning.com/files/jbaar29oQX4ZQ2sxZJKX5Vgzf*YhoYIp2UfKlttxoq2UiO86n5B35XMrLPDxrQhilB4DXm9lHzmM0SfHSt8h019Z*j3wbl*o/Luda1.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/jbaar29oQX6xKj8MmUNoAFoIDv8rz4bBJCvoKNB9QhWq46xACqqhuKezVKlulKrFkZRPrH3CS*W3l8fL9RlK3ONO1W3E7Bpd/Luda3.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/jbaar29oQX6rKjGPoiP4qIg4FGLoFzTkil2*d7iTeCq9gOixoX-Zt6ZGq4PgVRtGmHSrBERvUg1TL4TNBaWroTzNQxdt-Ddp/Luda4.jpg)
![](http://api.ning.com/files/jbaar29oQX4odC*nhDu21nhxcFVibiztJMrWWwCmf38aXhGJTTn3Bih0mNfHVboA2ooD4HGpiSNqe0vK2RSuaI8rZKBxaZu3/Luda5.jpg?width=600)
MWANAMUZIKI na mwigizaji Ludacris (37) sasa ni mume wa mtu, alifunga ndoa kwa siri katika msimu wa Sikukuu za Krismasi mwaka jana. Jumanne ya wiki hii wanandoa hao wameshare...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lu7fZBLnWM0/VdzP08A2dNI/AAAAAAAHz_0/jiVDwEF4Sd4/s72-c/tume1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5kDjWxyMdYA/XsQ6husb3BI/AAAAAAALq2I/926AWrfVwp00puOc-SZTSZmSC1x6MtgogCLcBGAsYHQ/s72-c/s1.jpg)
SIMBACHAWENE AMUAGA MPAMBE WAKE ALIYEMALIZA MUDA WAKE KATIKA UTUMISHI WA UMMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-5kDjWxyMdYA/XsQ6husb3BI/AAAAAAALq2I/926AWrfVwp00puOc-SZTSZmSC1x6MtgogCLcBGAsYHQ/s1600/s1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-HO15na99VMw/XsQ6hToLEFI/AAAAAAALq2A/AuVYcDHme90zKRmJQ4n8AwjDoo-JsGKugCLcBGAsYHQ/s1600/s2.jpg)
9 years ago
BBCSwahili14 Sep
Rais wa Gabon aishtumu Ufaransa