Ngetich apigana hadi mwisho marathon
Ujasiri wa mwanariadha wa Kenya katika mbio za marathon huko Texas, Hyvon Ngetich umemzawadia
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
MKENYA HYVON NGETICH AMALIZIA MARATHON KWA KUTAMBAA
Mwanariadha wa mbio ndefu Hyvon Ngetich alimaliza mita 50 za mwisho kwa kutambaa baada ya kuishiwa na nguvu akiwa karibu na mstari wa kumalizia.Ingawa mwanariadha wa masafa marefu kutoka Kenya Hyvon Ngetich hakufanikiwa kushinda mbio za masafa marefu za Austin mwaka huu bila shaka alifanikiwa kuteka nyoyo za watu kutokana na ujasiri wake wa kutambaa na kuhakikisha kuwa amemaliza mbio hizo.
Hyvon Ngetich mwenye umri wa miaka 29, aliishiwa na nguvu akiwa mita 50 kutoka kwenye mstari wa...
11 years ago
GPL
Okwi: Nitapambana na Yanga hadi tone la mwisho
Mwenyekiti wa Yanga Yusuph Manji. Na Sweetbert Lukonge
YETU macho katika hili; Hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi, ambaye juzi jioni alijiunga na Simba kudai kuwa atapambana na Wanajangwani hao kuhakikisha haki yake inapatikana. Maneno hayo ya Okwi yamekuja baada ya kudai kuwa Yanga imevunja naye mkataba kisha kumfungulia mashtaka katika Shirikisho la Soka Tanzania...
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Kesi ya IPTL yapigwa kalenda hadi mwisho wa mwaka
Kesi ya kupinga maazimio ya Bunge iliyokuwa ianze kusikilizwa leo imeahirishwa hadi siku ya kufunga mwaka Desemba 31, 2014.
5 years ago
CCM Blog
SAMATTA ACHEZA HADI MWISHO ASTON VILLA YATOA SARE YA 1-1 NA NEWCASTLE ST. JAMES' PARK
Na Mwandshi Wetu, NEWCASTLEMSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta jana amecheza muda wote, Aston Villa ikitoa sare ya 1-1 na Newcastle United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa St. James' Park.
Wenyeji, Newcastle United walitangulia kwa bao la Dwight Gayle dakika ya 68 kabla ya Ahmed Elmohamady kuisawazishia Newcastle United dakika ya 83.
Kwa sare hiyo, Aston Villa inafikisha pointi 27 baada ya kucheza mechi 31, ingawa inabaki nafasi ya 19 mbele ya Norwich City...
Wenyeji, Newcastle United walitangulia kwa bao la Dwight Gayle dakika ya 68 kabla ya Ahmed Elmohamady kuisawazishia Newcastle United dakika ya 83.
Kwa sare hiyo, Aston Villa inafikisha pointi 27 baada ya kucheza mechi 31, ingawa inabaki nafasi ya 19 mbele ya Norwich City...
10 years ago
Mwananchi23 Feb
Maajabu ya mwanariadha Hyvon Ngetich wa Kenya
“Nchi yangu haikunituma maili zaidi ya 5,000 kuanza mbio, bali ilinituma zaidi ya maili 5,000 kumaliza mbio,†hiyo ilikuwa ni kauli ya mwanariadha wa Tanzania, John Steven Akwari aliyoitoa mwaka 1968 baada ya kumaliza mbio za marathon katika michezo ya Olimpiki.
5 years ago
LetsRun.Com21 Feb
Ethiopia's Ababel Yeshaneh Upsets Brigid Kosgei and Smashes Half Marathon World Record at 2020 RAK Half Marathon
Ethiopia's Ababel Yeshaneh Upsets Brigid Kosgei and Smashes Half Marathon World Record at 2020 RAK Half Marathon LetsRun.comBrihane shatters half marathon world record, Kandie triumphs Daily NationView Full coverage on Google News
11 years ago
MichuziULIPO TUPO NA BENKI YA CRDB HADI HADI VIWANJA VYA SABASABA
Ofisa wa Benki ya CRDB...
10 years ago
Vijimambo
Dkt Mwele: Kutoka binti mwenye ndoto kuwa mtafiti hadi mwanasayansi wa kimataifa hadi mwania #Urais2015

Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania