Okwi: Nitapambana na Yanga hadi tone la mwisho
Mwenyekiti wa Yanga Yusuph Manji. Na Sweetbert Lukonge YETU macho katika hili; Hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi, ambaye juzi jioni alijiunga na Simba kudai kuwa atapambana na Wanajangwani hao kuhakikisha haki yake inapatikana. Maneno hayo ya Okwi yamekuja baada ya kudai kuwa Yanga imevunja naye mkataba kisha kumfungulia mashtaka katika Shirikisho la Soka Tanzania...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili17 Feb
Ngetich apigana hadi mwisho marathon
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Kesi ya IPTL yapigwa kalenda hadi mwisho wa mwaka
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Yanga kumshtaki Okwi
11 years ago
GPLOkwi asaini Yanga SC
11 years ago
GPLOKWI ATUA YANGA SC
10 years ago
Uhuru Newspaper10 Mar
Okwi aituliza Yanga
NA VICTOR MKUMBO BAO pekee lililofungwa dakika ya 51 na Emmanuel Okwi, limeiwezesha Simba kuibuka na ushindi wa bao 1-0, katika mchezo wa Ligi Kuu ulioikutanisha timu hiyo na Yanga. Okwi alipachika bao hilo kwa shuti kali la mbali baada ya kumchungulia Bartez aliyetoka nje ya lango na mpira huo kujaa moja kwa moja wavuni. Ushindi huo unaipa jeuri Simba ya kuendelea kuwatambia mahasimu wao ambao wamekuwa wakiibeza Simba baada ya kufanya vibaya katika baadhi ya michezo yake ya ligi. Katika...
11 years ago
GPLOkwi ayeyuka Yanga SC
5 years ago
CCM BlogSAMATTA ACHEZA HADI MWISHO ASTON VILLA YATOA SARE YA 1-1 NA NEWCASTLE ST. JAMES' PARK
Wenyeji, Newcastle United walitangulia kwa bao la Dwight Gayle dakika ya 68 kabla ya Ahmed Elmohamady kuisawazishia Newcastle United dakika ya 83.
Kwa sare hiyo, Aston Villa inafikisha pointi 27 baada ya kucheza mechi 31, ingawa inabaki nafasi ya 19 mbele ya Norwich City...
11 years ago
TheCitizen08 Mar
Okwi, Kiiza link up with Yanga