Kwa nini pembe za ndovu zinapita kirahisi JNIA?
Katika tovuti ya The Citizen toleo la jana kulikuwa na habari kuhusu wanajeshi wawili wanaofanya kazi ya ukaguzi wa mizigo kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), kuhusika na utoroshaji wa pembe za ndovu zenye uzito wa kilo 262 na thamani ya Sh826 milioni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo509 Oct
Mwanamke wa Kichina maarufu kama ‘Malkia wa Pembe za Ndovu’ akamatwa nchini akisafirisha pembe zenye thamani ya £1.62m
11 years ago
Tanzania Daima25 Jun
Kortini kwa pembe za ndovu
WAKAZI wawili wa Tabata, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam kwa makosa ya kukutwa na meno ya tembo ya sh. milioni 275.5 bila kibali. Mbele...
11 years ago
Mwananchi04 Jun
Kizimbani kwa pembe za ndovu za Sh5 bilioni
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-TBplvLPVm0M/VAgMenYcRhI/AAAAAAAGdXI/MHkMfpebRJ8/s72-c/1.jpg)
MMOJA NA WENZAKE WAWILI MBARONI KWA KUKUTWA NA PEMBE ZA NDOVU MKOANI DODOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-TBplvLPVm0M/VAgMenYcRhI/AAAAAAAGdXI/MHkMfpebRJ8/s1600/1.jpg)
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linamshikilia mtu mmoja aliyefahamika kw ajina la DOUGLAS S/O MNYEKE, Miaka 46, Mkaguru Mukulima na Mkazi wa kijiji cha Silwa Kata ya Pandambili, Wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma akiwa na pembe za ndovu vipande vitatu vyenye uzito wa jumla ya kilo 12 na gramu 30 vyenye thamani ya Tshs. 11, 162, 250/= vikiwa nyumbani kwake.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME –...
11 years ago
BBCSwahili06 Feb
Ufaransa kuteketeza pembe za Ndovu
9 years ago
Mtanzania01 Oct
JK: Fungeni masoko ya pembe za ndovu
Na Mwandishi Maalumu, New York
RAIS Jakaya Kikwete, ametoa changamoto kwa wabunge wa Bunge la Marekani kufunga masoko ya pembe za ndovu na faru duniani, kama njia ya kukomesha ujangili dhidi ya wanyamapori katika nchi za Afrika.
Rais Kikwete, amewataka wabunge hao kuzisaidia nchi za Afrika kifedha ili kukomesha ujangili huo, kwa sababu wabunge hao tayari wameitangazia dunia kuwa wanazo fedha za kutosha kwa ajili ya kukabiliana na ujangili.
Rais Kikwete alitoa changamoto hiyo juzi usiku,...
9 years ago
BBCSwahili19 Sep
Pembe za ndovu: TZ yaishtaki Malawi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bQfOv76fsJd9w3C1Zd0w1gd-byvnAkboPRX1nbGzdKe*YRG47q8PiUUyqY9GT01D5f-5bMfeyGwmS0npQQKRm-ZXP2xZUP24/breakingnews.gif)
WATUHUMIWA PEMBE ZA NDOVU KIZIMBANI
11 years ago
BBCSwahili29 Jan
Wakamatwa na pembe za Ndovu Togo