Mcolombia mbaroni kwa Cocaine
KIKOSI cha Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini kinamshikilia Andres Filipe Ballesteros Uribe (28) raia wa Colombia kwa tuhuma za kuingiza dawa hizo nchini kinyume cha sheria. Akizungumza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi03 Feb
Mkenya mbaroni kwa cocaine JNIA
10 years ago
Habarileo15 Aug
Mcolombia kortini kwa kuingiza kokeni
RAIA wa Colombia, Andres Uribe (38), amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka ya kuingiza nchini dawa za kulevya aina ya kokeni zenye thamani ya Sh milioni 45.2.
11 years ago
BBCSwahili03 Aug
Polisi akamatwa kwa wizi wa Cocaine
5 years ago
BBCSwahili11 Jun
Polisi mbaroni kwa kumburuza mwanamke umbali wa mita 200 kwa tuhuma za wizi
11 years ago
Tanzania Daima12 Jul
Mwanamke mbaroni kwa kujeruhi kwa maji ya moto
JESHI la Polisi mkoani Singida linamshikilia mkazi wa Misuna, katika Manispaa ya Singida, Mary Muna (31) kwa tuhuma ya kumuunguza kwa maji ya moto mwilini mwanamke mwenzake kutokana na wivu...
11 years ago
Mwananchi03 Jul
Mbaroni kwa kuua mwanafunzi kwa moto
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Fti2MBZBnhk/XrqJ7R9j9UI/AAAAAAAAJVc/rP7f8gDFR5csyDd_VFfpx7dfdD2g5FowQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200512_121139_693.jpg)
WAWILI MBARONI KWA KUJARIBU KUINGIA MBUGA ZA WANYAMA KWA UJANGILI HUKU WENGINE WAKIMBILIA NCHI JIRANI YA KENYA Inbox x
![](https://1.bp.blogspot.com/-Fti2MBZBnhk/XrqJ7R9j9UI/AAAAAAAAJVc/rP7f8gDFR5csyDd_VFfpx7dfdD2g5FowQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200512_121139_693.jpg)
Bunduki ya kivita aina ya AK47 ambayo imekamatwa wilayani Ngorongoro na Jeshi la polisi wakishirikiana pamoja na kikosi cha ujangili kanda ya Ziwa huko Oloshoo Kata ya Enguserosambu picha Zote na Ahmed Mahmoud Arusha.
![](https://1.bp.blogspot.com/-kF7ADwejNSQ/XrqJ6wo15hI/AAAAAAAAJVY/vJ8T8dL1jfMi6ZBfpk5PKehi5EChsGLAQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200512_121206_549.jpg)
Sehemu ya risasi zilizokutwa kwenye magazine ya bunduki hiyo baada ya msako mkali wilayani Ngorongoro
![](https://1.bp.blogspot.com/-EuYjl9UP5CM/XrqJ6urwQ4I/AAAAAAAAJVU/6EP41pjeNvgqFVNLpdpfzbiSbaO9VsCPQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200512_121228_443.jpg)
Askari wa kikosi kazi cha Jeshi la Polisi akijaribu Silaha hiyo mbele ya waandishi wa habari kabla kamanda wa Jeshi hilo hajaongea nao leo jijini hapa
![](https://1.bp.blogspot.com/-RlT6LsGqBrg/XrqJ-uGDhEI/AAAAAAAAJVk/XE2kMqs5mb8Ne8ApERrqF-GH8n0ZSjQnwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200512_121409_797.jpg)
Kamanda Shana akiwa na...
11 years ago
Michuzi34 MBARONI KWA KUFANYA FUJO NA KUHARIBU MALI KIBAIGWA NA WENGINE WATATU KWA KULIMA BANGI HEKARI SITA NA NUSU MKOANI DODOMA
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikilia watu 34 wakazi wa Mji mdogo wa Kibaigwa Kata ya Kibaigwa Wilaya ya Kongwa Mkoa wa Dodoma kwa makosa ya kufanya fujo na kuharibu mali tukio lililotokea tarehe 05/05/2014 majira ya saa 13:30Hrs. Kamanada wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP (pichani)amesema Vijana wanaokadiriwa kuwa zaidi ya 300 wakishirikiana na Wabeba mizigo wa Soko Kuu la Mazao...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-gArkKqgBaiI/U2lDXBJdBOI/AAAAAAAFf78/6HbREOmldu4/s72-c/POLISI+LOGO+-+Copy.jpg)
34 MBARONI KWA KUFANYA FUJO NA KUHARIBU MALI KIBAIGWA NA WENGINE WATATU (3) KWA KULIMA BANGI HEKARI SITA NA NUSU MKOANI DODOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-gArkKqgBaiI/U2lDXBJdBOI/AAAAAAAFf78/6HbREOmldu4/s1600/POLISI+LOGO+-+Copy.jpg)
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikilia watu 34 wakazi wa Mji mdogo wa Kibaigwa Kata ya Kibaigwa Wilaya ya Kongwa Mkoa wa Dodoma kwa makosa ya kufanya fujo na kuharibu mali tukio lililotokea tarehe 05/05/2014 majira ya saa 13:30Hrs.
Kamanada wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema Vijana wanaokadiriwa kuwa zaidi ya miatatu wakishirikiana na Wabeba mizigo wa Soko Kuu la Mazao la...