Mbaroni kwa kuua mwanafunzi kwa moto
Jeshi la Polisi mkoani hapa linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kumjeruhi kwa moto na kusababisha kifo cha mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Ruaha mkoani Iringa (RUCO), Daniel Lema (25).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo14 Feb
6 mbaroni kwa kushambulia, kuua
WATU sita akiwemo Mwenyekiti wa Mtaa, wanashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kushambulia mtu mmoja kwa fimbo na mawe hadi kumuua. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi alisema miongoni mwa watuhumiwa hao, pia wamo ndugu watatu wa familia moja.
11 years ago
Habarileo27 Mar
Mbaroni kwa tuhuma za kuua mke
POLISI wilayani Igunga mkoani Tabora inamshikilia Athuman Kiula (49) kwa tuhuma za kumuua mke wake.
10 years ago
Tanzania Daima11 Oct
Mbaroni kwa tuhuma za kuua askari
JESHI la Polisi mkoani hapa, linawashikiliwa watu wawili wakazi wa Murubona Wilayani Kasulu kwa tuhuma za mauaji ya watu wawili akiwemo askari. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma, Jaffar Mohamed,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*6ZFuLsTz61FF4nSLKmNtZYiH38QQGZthG2WrjvZV1EWb236ZpajuXHCOoxFgin74XVrv71GKQFfN3kysPtnfxKdOR8FGYWJ/mtangazaji.jpg)
MTANGAZAJI MBARONI KWA KUTAKA KUUA
11 years ago
Tanzania Daima05 Apr
Dereva basi la Muro mbaroni kwa kuua
JESHI la Polisi mkoani Iringa linamshikilia dereva wa basi la Prince Muro, Said Mtatifikolo kwa tuhuma za kumuua mtembea kwa miguu baada ya kumgonga. Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa...
11 years ago
Tanzania Daima12 Jul
Mwanamke mbaroni kwa kujeruhi kwa maji ya moto
JESHI la Polisi mkoani Singida linamshikilia mkazi wa Misuna, katika Manispaa ya Singida, Mary Muna (31) kwa tuhuma ya kumuunguza kwa maji ya moto mwilini mwanamke mwenzake kutokana na wivu...
10 years ago
Habarileo04 Mar
4 mbaroni kwa kuua wazee 3 wakidaiwa kuzuia mvua
WATU wanne akiwemo Mwenyekiti wa Kijiji cha Ihanda na wazee wawili wa kimila wa kijiji hicho wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kuhusu kuuawa kwa wazee wawili mtu na mkewe.
11 years ago
KwanzaJamii06 Aug
INSPEKTA WA POLISI MBARONI KWA TUHUMA ZA KUUA MWANAYE
11 years ago
Mwananchi07 Aug
UKATILI: Inspekta wa Polisi mbaroni kwa tuhuma za kuua mwanaye