4 mbaroni kwa kuua wazee 3 wakidaiwa kuzuia mvua
WATU wanne akiwemo Mwenyekiti wa Kijiji cha Ihanda na wazee wawili wa kimila wa kijiji hicho wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kuhusu kuuawa kwa wazee wawili mtu na mkewe.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo14 Feb
6 mbaroni kwa kushambulia, kuua
WATU sita akiwemo Mwenyekiti wa Mtaa, wanashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kushambulia mtu mmoja kwa fimbo na mawe hadi kumuua. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi alisema miongoni mwa watuhumiwa hao, pia wamo ndugu watatu wa familia moja.
11 years ago
Tanzania Daima28 Jan
Mbaroni wakidaiwa kumuua kikongwe
JESHI la Polisi mkoani Mbeya linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za kumuua Edna Kajinga (70) mkazi wa Kijiji cha Katobe, wilayani Rungwe. Kamanda wa Polisi mkoani Mbeya, Ahmed Msangi, alisema...
10 years ago
Habarileo12 Sep
Mbaroni kwa kuzuia bintiwe mtihani la 7
WAKATI wanafunzi wa darasa la saba juzi na jana walifanya mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi, mzazi mmoja mkazi wa hapa, amejikuta akiingia matatani na vyombo vya dola kutokana na kumzuia binti wake asifanye mtihani, kwa kile kinachoelezwa alihofia akifaulu angekwamisha mpango wake wa kutaka kumuozesha.
11 years ago
Habarileo27 Mar
Mbaroni kwa tuhuma za kuua mke
POLISI wilayani Igunga mkoani Tabora inamshikilia Athuman Kiula (49) kwa tuhuma za kumuua mke wake.
10 years ago
Tanzania Daima11 Oct
Mbaroni kwa tuhuma za kuua askari
JESHI la Polisi mkoani hapa, linawashikiliwa watu wawili wakazi wa Murubona Wilayani Kasulu kwa tuhuma za mauaji ya watu wawili akiwemo askari. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma, Jaffar Mohamed,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*6ZFuLsTz61FF4nSLKmNtZYiH38QQGZthG2WrjvZV1EWb236ZpajuXHCOoxFgin74XVrv71GKQFfN3kysPtnfxKdOR8FGYWJ/mtangazaji.jpg)
MTANGAZAJI MBARONI KWA KUTAKA KUUA
11 years ago
Habarileo03 Feb
Wauawa kwa tuhuma ya kuzuia mvua kunyesha
WATU wawili wa familia moja wameuawa wilayani Maswa mkoani Simiyu, kwa kupigwa na wananchi waliojichukulia sheria mikononi, wakiwatuhumu kuzuia mvua kunyesha hivyo kusababisha ukame kwenye eneo lao.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/NILch8FjIRE/default.jpg)
Wakazi wa mkoa wa Iringa wagundua dawa ya kuzuia mvua za mawe pamoja na mvua za upepo mkali
Waumi ni wa pentekoste mkoani Singida wamefanya ibada maalumu ya kumuombea Rais Magufuli ili aendelee kutumbua majipu: https://youtu.be/1dRmKUcqGHg
Waumini wa dini ya kiislamu wajitoa kusaidia wasiojiweza katika kuadhimisha sikukuu ya kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W) https://youtu.be/-sI1j96PQ4E
Viongozi wa kamati ya Shehia visiwani Unguja...
11 years ago
Tanzania Daima05 Apr
Dereva basi la Muro mbaroni kwa kuua
JESHI la Polisi mkoani Iringa linamshikilia dereva wa basi la Prince Muro, Said Mtatifikolo kwa tuhuma za kumuua mtembea kwa miguu baada ya kumgonga. Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa...