Mbaroni kwa kuzuia bintiwe mtihani la 7
WAKATI wanafunzi wa darasa la saba juzi na jana walifanya mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi, mzazi mmoja mkazi wa hapa, amejikuta akiingia matatani na vyombo vya dola kutokana na kumzuia binti wake asifanye mtihani, kwa kile kinachoelezwa alihofia akifaulu angekwamisha mpango wake wa kutaka kumuozesha.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo04 Mar
4 mbaroni kwa kuua wazee 3 wakidaiwa kuzuia mvua
WATU wanne akiwemo Mwenyekiti wa Kijiji cha Ihanda na wazee wawili wa kimila wa kijiji hicho wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kuhusu kuuawa kwa wazee wawili mtu na mkewe.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-OT3wME3oOKQ/VRGCSog4UMI/AAAAAAAAAtc/QIzsmi1VC2A/s72-c/ukawa%2Bpicha.jpg)
Mtihani mgumu kwa Ukawa .... isome makala hii kwa makini na mwishowe utoe maoni yako
![](http://3.bp.blogspot.com/-OT3wME3oOKQ/VRGCSog4UMI/AAAAAAAAAtc/QIzsmi1VC2A/s640/ukawa%2Bpicha.jpg)
9 years ago
Mtanzania12 Dec
Ni mtihani wa Kerr kwa Azam
MSHAMU NGOJWIKE
KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerr, leo atakuwa na mtihani mgumu wakati timu yake itakapokabiliana na Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Hata hivyo, Kerr mwenyewe ameingiwa na wasiwasi ambapo amesema Azam FC ni timu nzuri, lakini atahakikisha timu yake inapata ushindi kwenye mchezo huo.
Simba imerejea juzi ikitokea Zanzibar ilipoweka kambi ya wiki mbili kujiandaa na ligi hiyo na jana ilifanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa...
9 years ago
Raia Mwema23 Dec
Ni mtihani wa kwanza kwa Chadema
BAADA ya kuruhusu ujenzi holela kuendelea kwa zaidi ya miongo miwili, Jiji la Mbeya sasa kuanza u
Felix Mwakyembe
10 years ago
BBCSwahili24 Dec
usajili wa Messi mtihani kwa Chelsea
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Nhef_GytxQU/VbYiypb9zwI/AAAAAAAAWsM/4QyH2yItbbM/s72-c/EL%2528CDM%2529%2BVS%2BJM%2528CCM%2529%2B210%2BGE.jpg)
RATIBA YA LOWASSA MTIHANI KWA DK MAGUFULI
![](http://4.bp.blogspot.com/-Nhef_GytxQU/VbYiypb9zwI/AAAAAAAAWsM/4QyH2yItbbM/s640/EL%2528CDM%2529%2BVS%2BJM%2528CCM%2529%2B210%2BGE.jpg)
10 years ago
Vijimambo24 Dec
usajili wa Messi mtihani kwa Chelsea-BBC
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/11/26/141126135721_lionel_messi_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Kocha wa Timu ya Chelsea Jose Mourinho amesema kwa sasa hawana nafasi ya kumsaini mchezaji Lionel Messi kwa kuwa hakuna Fedha ya kutosha kumsajili mchezaji huyo .
Mourinho amesisitiza kuwa hawana uwezo wa kuvunja rekodi ya kumsajili mshindi huyo wa Ballon d'Or Messi, ambaye anahitaji ofa ya pauni milioni 205 kutolewa kutoka klabu ya Barcelona, na kwenda Stamford Bridge katika siku za hivi karibuni .
Mwezi Novemba Messi aligusia kwa mara ya kwanza kuwa angependa...
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
Prof. Shivji alisoma kwa ajili ya mtihani?
PROFESA Issa Shivji msomi nguli, mwanasheria mahiri, mwanaharakati na mchambuzi makini wa masuala ya kisiasa na kijamii, hivi karibuni ameingia katika malumbano na wasomi, wanasiasa na makundi mengine ambayo amekinzana...
9 years ago
Mwananchi27 Sep
Mtihani kwa Mbeya City, African Sports