usajili wa Messi mtihani kwa Chelsea
Kocha wa Timu ya Chelsea Jose Mourinho amesema hawana nafasi ya kumsaini mchezaji Lionel Messi .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo24 Dec
usajili wa Messi mtihani kwa Chelsea-BBC
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/11/26/141126135721_lionel_messi_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Kocha wa Timu ya Chelsea Jose Mourinho amesema kwa sasa hawana nafasi ya kumsaini mchezaji Lionel Messi kwa kuwa hakuna Fedha ya kutosha kumsajili mchezaji huyo .
Mourinho amesisitiza kuwa hawana uwezo wa kuvunja rekodi ya kumsajili mshindi huyo wa Ballon d'Or Messi, ambaye anahitaji ofa ya pauni milioni 205 kutolewa kutoka klabu ya Barcelona, na kwenda Stamford Bridge katika siku za hivi karibuni .
Mwezi Novemba Messi aligusia kwa mara ya kwanza kuwa angependa...
10 years ago
Mwananchi03 Jun
USAJILI : Simba yaweweseka kwa Messi
10 years ago
BBCSwahili08 Jan
Chelsea yamtaka Messi kwa £200m
5 years ago
Mirror Online31 Mar
Lionel Messi makes prediction about Chelsea star Mason Mount
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-OT3wME3oOKQ/VRGCSog4UMI/AAAAAAAAAtc/QIzsmi1VC2A/s72-c/ukawa%2Bpicha.jpg)
Mtihani mgumu kwa Ukawa .... isome makala hii kwa makini na mwishowe utoe maoni yako
![](http://3.bp.blogspot.com/-OT3wME3oOKQ/VRGCSog4UMI/AAAAAAAAAtc/QIzsmi1VC2A/s640/ukawa%2Bpicha.jpg)
9 years ago
Mtanzania12 Dec
Ni mtihani wa Kerr kwa Azam
MSHAMU NGOJWIKE
KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerr, leo atakuwa na mtihani mgumu wakati timu yake itakapokabiliana na Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Hata hivyo, Kerr mwenyewe ameingiwa na wasiwasi ambapo amesema Azam FC ni timu nzuri, lakini atahakikisha timu yake inapata ushindi kwenye mchezo huo.
Simba imerejea juzi ikitokea Zanzibar ilipoweka kambi ya wiki mbili kujiandaa na ligi hiyo na jana ilifanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa...
9 years ago
Raia Mwema23 Dec
Ni mtihani wa kwanza kwa Chadema
BAADA ya kuruhusu ujenzi holela kuendelea kwa zaidi ya miongo miwili, Jiji la Mbeya sasa kuanza u
Felix Mwakyembe
10 years ago
Habarileo12 Sep
Mbaroni kwa kuzuia bintiwe mtihani la 7
WAKATI wanafunzi wa darasa la saba juzi na jana walifanya mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi, mzazi mmoja mkazi wa hapa, amejikuta akiingia matatani na vyombo vya dola kutokana na kumzuia binti wake asifanye mtihani, kwa kile kinachoelezwa alihofia akifaulu angekwamisha mpango wake wa kutaka kumuozesha.