Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


usajili wa Messi mtihani kwa Chelsea-BBC

Lionel Messi na furaha ya ushindi
Kocha wa Timu ya Chelsea Jose Mourinho amesema kwa sasa hawana nafasi ya kumsaini mchezaji Lionel Messi kwa kuwa hakuna Fedha ya kutosha kumsajili mchezaji huyo .

Mourinho amesisitiza kuwa hawana uwezo wa kuvunja rekodi ya kumsajili mshindi huyo wa Ballon d'Or Messi, ambaye anahitaji ofa ya pauni milioni 205 kutolewa kutoka klabu ya Barcelona, na kwenda Stamford Bridge katika siku za hivi karibuni .

Mwezi Novemba Messi aligusia kwa mara ya kwanza kuwa angependa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

usajili wa Messi mtihani kwa Chelsea

Kocha wa Timu ya Chelsea Jose Mourinho amesema hawana nafasi ya kumsaini mchezaji Lionel Messi .

 

10 years ago

Mwananchi

USAJILI : Simba yaweweseka kwa Messi

Kimya kingi kina mshindo! Ndicho unachoweza kusema baada ya uongozi wa Simba kuibuka na kueleza kuwa utaishtaki Azam FC kutokana na kumshawishi kwa lengo la kumsajili Ramadhani Singano ‘Messi’ pamoja na kuponda usajili uliofanywa na wapinzani wao kwa Malimi Busungu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea yamtaka Messi kwa £200m

Lionel Messi ameambiwa kwamba kuna mkataba wa miaka sita kutoka kwa kilabu ya Chelsea unaomngojea.

 

5 years ago

Mirror Online

Lionel Messi makes prediction about Chelsea star Mason Mount

Lionel Messi makes prediction about Chelsea star Mason Mount  Mirror OnlineWhat Barcelona star Lionel Messi has said about Chelsea’s Mason Mount  Football.LondonOne of the worlds greatest ever players heaps praise on Mason Mount  Chelsea NewsLionel Messi heaps praise on Chelsea and England star Mason Mount as he tips him to reach the top  Daily MailView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Vijimambo

Mtihani mgumu kwa Ukawa .... isome makala hii kwa makini na mwishowe utoe maoni yako

Dar es Salaam. Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), George Masaju amesema madai ya wadau ya kutaka Tume Huru ya Uchaguzi, mgombea binafsi na haki ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa urais mahakamani, yatafanyiwa kazi iwapo Katiba Inayopendekezwa itapitishwa kwenye Kura ya Maoni Aprili 30.Jambo hilo ni mtihani mgumu kwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ambao umetangaza kususia kuipigia kura Katiba Inayopendekezwa huku ikitaka mambo hayo matatu yafanyiwe kazi kabla ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka...

 

9 years ago

Mtanzania

Ni mtihani wa Kerr kwa Azam

simba-vs-azamMSHAMU NGOJWIKE

KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerr, leo atakuwa na mtihani mgumu wakati timu yake itakapokabiliana na Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Hata hivyo, Kerr mwenyewe ameingiwa na wasiwasi ambapo amesema Azam FC ni timu nzuri, lakini atahakikisha timu yake inapata ushindi kwenye mchezo huo.

Simba imerejea juzi ikitokea Zanzibar ilipoweka kambi ya wiki mbili kujiandaa na ligi hiyo na jana ilifanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa...

 

9 years ago

Raia Mwema

Ni mtihani wa kwanza kwa Chadema

BAADA ya kuruhusu ujenzi holela kuendelea kwa zaidi ya miongo miwili, Jiji la Mbeya sasa kuanza u

Felix Mwakyembe

 

9 years ago

Vijimambo

RATIBA YA LOWASSA MTIHANI KWA DK MAGUFULI


Ratiba za kampeni za wagombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wanaoonekana kuchuana vikali, Edward Lowassa kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kuungwa mkono na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na Dk. John Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), zimeibua mgongano.Hali hiyo imelalamikiwa na CCM ambayo imeitupia lawama Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) kwamba imeshirikiana na Chadema kupanga njama hizo.Kufuatia hali hiyo, jana Nec iliingilia kati na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani