Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ni mtihani wa Kerr kwa Azam

simba-vs-azamMSHAMU NGOJWIKE

KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerr, leo atakuwa na mtihani mgumu wakati timu yake itakapokabiliana na Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Hata hivyo, Kerr mwenyewe ameingiwa na wasiwasi ambapo amesema Azam FC ni timu nzuri, lakini atahakikisha timu yake inapata ushindi kwenye mchezo huo.

Simba imerejea juzi ikitokea Zanzibar ilipoweka kambi ya wiki mbili kujiandaa na ligi hiyo na jana ilifanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Bahati yao Azam -Kerr

KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerr amesema Azam walikuwa na bahati juzi ndio maana hawakuwafunga. Timu hizo zilicheza mechi ya Ligi Kuu kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam na kutoka sare ya mabao 2-2.

 

10 years ago

Habarileo

Yanga, Azam hazinisumbui -Kerr

KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Dlyan Kerr amesema ameziona Yanga na Azam na anahisi kwake hazitamsumbua katika ligi.

 

9 years ago

Mtanzania

Kerr hawazi chochote ni Azam

dylanker-haiphongKOCHA Mkuu wa klabu ya Simba, Dylan Kerr, amesema kuwa kwa sasa akili yake ameielekeza kwenye mchezo wao dhidi ya Azam FC unaotarajiwa kuchezwa Desemba 12, mwaka huu, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Kabla ya kusimama kwa ligi kuu, Kerr alishuhudia dakika 90 za mchezo kati ya Azam na Toto Africa katika Uwanja wa Chamazi, ambapo vinara hao wa ligi kuu waliibuka na ushindi wa mabao 5-0.

Katika mchezo huo, Kerr aliisifia Azam, akidai kuwa kwa mchezo wanaouonyesha wanastahili kuwa katika nafasi...

 

9 years ago

TheCitizen

Kerr upbeat as Azam clash looms

Simba SC head coach Dylan Kerr is unfazed by the threat Azam FC poses, exuding confidence that his team will carry the day come Saturday.

 

10 years ago

Vijimambo

Yanga, Azam zapewa mtihani Afrika

Mabingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) Azam FC wamepangwa kucheza dhidi ya El Merrikh ya Sudan katika Ligi ya Klabu Bingwa Afrika mwakani huku Yanga wakipewa timu ya BDF XI ya Botswana katika michuano ya Kombe la Shirikisho mwakani.

Kwa mujibu wa taarifa iliyowekwa kwenye mtandao rasmi wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF) jana, droo ya michuano ya 19 ya Klabu Bingwa Afrika mwakani na michuano ya 12 ya Kombe la Shirikisho barani ilichezeshwa kwenye makao makuu ya CAF jijini Cairo,...

 

9 years ago

Mwananchi

Kerr aziombea dua mbaya Yanga, Azam

Adui yako mwombee njaa! Ndivyo ilivyo kwa kocha wa Simba, Dylan Kerr aliposhangilia sare ya 1-1 baina ya Yanga na Azam juzi akisema imenogesha mbio zake kusaka ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu.

 

10 years ago

Mtanzania

Azam, Yanga katika mtihani mwingine VLP

yangAzamABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom, Azam FC na Yanga leo wanatarajia kuendeleza vita ya ubingwa kwenye ligi hiyo.

Yanga watakuwa kwenye Uwanja wa Sokoine, jijini Mbeya kuvaana na Tanzania Prisons ya huko, huku Azam ikipepetana na Ruvu Shooting katika Uwanja wa Mabatini, Pwani.

Kitu kinachonogesha mechi hizo ni vita ya ubingwa iliyopo baina ya Yanga na Azam, ambazo zote zinakabana koo kileleni zikiwa na pointi 25.

Lakini Azam ipo kileleni kutokana na...

 

10 years ago

Vijimambo

Mtihani mgumu kwa Ukawa .... isome makala hii kwa makini na mwishowe utoe maoni yako

Dar es Salaam. Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), George Masaju amesema madai ya wadau ya kutaka Tume Huru ya Uchaguzi, mgombea binafsi na haki ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa urais mahakamani, yatafanyiwa kazi iwapo Katiba Inayopendekezwa itapitishwa kwenye Kura ya Maoni Aprili 30.Jambo hilo ni mtihani mgumu kwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ambao umetangaza kususia kuipigia kura Katiba Inayopendekezwa huku ikitaka mambo hayo matatu yafanyiwe kazi kabla ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka...

 

9 years ago

Raia Mwema

Ni mtihani wa kwanza kwa Chadema

BAADA ya kuruhusu ujenzi holela kuendelea kwa zaidi ya miongo miwili, Jiji la Mbeya sasa kuanza u

Felix Mwakyembe

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani