Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Prof. Shivji alisoma kwa ajili ya mtihani?

PROFESA Issa Shivji msomi nguli, mwanasheria mahiri, mwanaharakati na mchambuzi makini wa masuala ya kisiasa na kijamii, hivi karibuni ameingia katika malumbano na wasomi, wanasiasa na makundi mengine ambayo amekinzana...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Warioba amshukia Prof Shivji

>Mjadala wa Mabadiliko ya Katiba jana ulihamia nje ya Bunge wakati Jaji Joseph Warioba alipomchambua mhadhiri maarufu nchini, Profesa Issa Shivji akimueleza kuwa si mkweli bali mpotoshaji wa Rasimu ya Katiba.

 

11 years ago

IPPmedia

Lissu, others question Prof Shivji's stand


Daily News
Lissu, others question Prof Shivji's stand
IPPmedia
Renowed lawyer, Prof Issa Shivji has been faulted by several of his colleagues of the Constituent Assembly for allegedly advocating a two tire government structure a move they say is against what he stands for and also contravenes his various publications ...
Don adds weight to 2-tier UnionDaily News

all 2

 

10 years ago

Tanzania Daima

Prof. Shivji: Mchakato Katiba umeniacha na maswali

MHADHIRI Mwandamizi Mstaafu na mchambuzi maarufu nchini, Profesa Issa Shivji, amesema kuwa mchakato wa kupata Katiba Mpya unaoendelea nchini umemuacha na maswali mengi yasiyo na majibu. Profesa Shivji, alitoa kauli...

 

10 years ago

Mwananchi

Prof Shivji: Katiba Mpya si suluhisho la migogoro ya ardhi

Mhadhiri maarufu nchini, Profesa Issa Shivji amesema Katiba Mpya haiwezi kuwa dawa ya kumaliza migogoro ya ardhi inayolikabili Taifa.

 

5 years ago

Michuzi

Katibu Mkuu Maji, Prof. Mkumbo awatoa hofu wanafunzi wanaojiandaa kwa mtihani shule ya Sekondari Tumaini, wapewa vitakasa mikono vya kutumia kwa siku 60



Katibu Mkuu, Wizara ya Maji Prof. Kitila Mkumbo akizindua eneo la kunawa mikono katika kukabiliana na maambukizi ya Virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID-19) katika shule ya sekondari ya Tumaini, mkoani Singida ambapo wanafunzi zaidi ya 100 wanajiandaa kwa mtihani wa kidato cha Sita. Kulia kwake anayeshuhudia ni Mkuu wa wilaya ya...

 

10 years ago

Vijimambo

Mtihani mgumu kwa Ukawa .... isome makala hii kwa makini na mwishowe utoe maoni yako

Dar es Salaam. Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), George Masaju amesema madai ya wadau ya kutaka Tume Huru ya Uchaguzi, mgombea binafsi na haki ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa urais mahakamani, yatafanyiwa kazi iwapo Katiba Inayopendekezwa itapitishwa kwenye Kura ya Maoni Aprili 30.Jambo hilo ni mtihani mgumu kwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ambao umetangaza kususia kuipigia kura Katiba Inayopendekezwa huku ikitaka mambo hayo matatu yafanyiwe kazi kabla ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka...

 

9 years ago

Raia Mwema

Ni mtihani wa kwanza kwa Chadema

BAADA ya kuruhusu ujenzi holela kuendelea kwa zaidi ya miongo miwili, Jiji la Mbeya sasa kuanza u

Felix Mwakyembe

 

9 years ago

Mtanzania

Ni mtihani wa Kerr kwa Azam

simba-vs-azamMSHAMU NGOJWIKE

KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerr, leo atakuwa na mtihani mgumu wakati timu yake itakapokabiliana na Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Hata hivyo, Kerr mwenyewe ameingiwa na wasiwasi ambapo amesema Azam FC ni timu nzuri, lakini atahakikisha timu yake inapata ushindi kwenye mchezo huo.

Simba imerejea juzi ikitokea Zanzibar ilipoweka kambi ya wiki mbili kujiandaa na ligi hiyo na jana ilifanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani