Anaswa na kete 71 Uwanja wa Ndege Dar
 Polisi Kikosi cha Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), wamemkamata mkazi wa Temeke, Mwanahamisi Salim (27) kwa tuhuma za kumeza kete 71 za dawa za kulevya aina ya heroini zenye thamani ya zaidi ya Sh60 milioni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi23 May
Bibi anaswa amebeba ‘unga’ Uwanja wa Ndege Dar
Bibi mmoja raia wa Nigeria, Olabisi Ibidun Cole (65) amevunja rekodi ya umri wa watu wanaokamatwa wakiwa na dawa za kulevya katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA).
10 years ago
Vijimambo05 Mar
NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK
10 years ago
Mwananchi25 Jun
Akamatwa uwanja wa ndege Dar na kobe 173
Jeshi la Polisi, Uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Nyerere (JNAI), linamshikilia, raia wa Kuwait, Hussein Mansoor, kwa kukutwa na kobe hai 173 aliokuwa akiwasafirisha kueleka nchini kwake.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vo9EGgQ9N6Y/VkNWCJb_8OI/AAAAAAAIFVc/QWrpnS8WHd0/s72-c/MMGL0012.jpg)
10 years ago
Mwananchi03 Nov
Uwanja wa ndege Dar washika nafasi ya nne kwa uduni
Mkurugenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Moses Malaki amesema uwanja wake umechakaa kiasi cha kukosa sifa za kuwa uwanja wa kisasa barani Afrika na dunia.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-vtvPFzpymo0/VYvIGdxo4VI/AAAAAAABQnI/weTzVNninS0/s72-c/uwanja%2Bwa%2Bndege%2Bwa%2Bmwalimu%2Bnyerere.jpg)
RAIA WA KUWAIT AKAMATWA UWANJA WA NDEGE DAR NA KOBE 173
![](http://2.bp.blogspot.com/-vtvPFzpymo0/VYvIGdxo4VI/AAAAAAABQnI/weTzVNninS0/s640/uwanja%2Bwa%2Bndege%2Bwa%2Bmwalimu%2Bnyerere.jpg)
9 years ago
Mwananchi15 Aug
Meno ya tembo yalivyopitishwa uwanja wa ndege Dar na kunaswa Uswisi
Ilikuwa kama sinema. Inasemekana kwamba ilichukua takribani dakika 10 kati ya saa 1:30 hadi saa 1:40 usiku wa Julai 5 mwaka huu, kwa raia watatu wa China kupitisha mabegi nane yenye meno ya tembo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/H*dtEOwOyyB0t*jcoxW-cQ5W1FykI9zmQHreg8S47CdeMjrfsjm3DlV**WatM5dy6M3lrSb2L3fUXQteD9gTtgrGRRtfB-G4/IMG20140929WA0014.jpg)
WANACHUO WATEMBELEA KITUO CHA HALI YA HEWA UWANJA WA NDEGE DAR
Wanachuo wa Chuo cha Ualimu Vikindu wakiwa katika Kituo cha Mamlaka ya Hali ya Hewa ndani ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar leo kujifunza kwa vitendo somo la utabiri wa hali ya hewa. Mtaalam kutoka kituo cha utabiri wa hali ya hewa akianza kuwapa darasa wanachuo hao. …
10 years ago
GPLMAKOMANDOO WA NEPAL WAONYESHA NYUMBA YA MNYARWANDA WALIYOKUWA WAKILINDA UWANJA WA NDEGE DAR
Komandoo Sidhee Bahadurkatuwal (kulia) kutoka Nepal akionesha nyumba ya Mrwanda aliyokuwa akiilinda kupitia kampuni ya Ulinzi ya Advanced Security karibu na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam, akiwa na makomandoo wenzake kutoka Nepal. Maofisa wa Uhamiaji wakimhoji mama wa…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania