Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wenje abadili upepo mkutano wa JK

Mbunge wa Nyamagana, Ezekia Wenje jana amebadilisha upepo kwenye mkutano wa Rais Jakaya Kikwete, kwa kueleza kuwa miradi yote ya Serikali ni fedha za wananchi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Pinda abadili upepo urais CCM

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ameingia rasmi katika mbio za kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), hatua ambayo imebadili mwelekeo wa kinyang’anyiro cha nafasi hiyo kubwa ya uongozi nchini kuelekea Uchaguzi Mkuu 2015.

 

9 years ago

Habarileo

Mgombea abadili jina

MGOMBEA ubunge Jimbo la Sumbawanga Mjini kwa tiketi ya Chadema, Shadrack Mmalila ametangaza rasmi kuwa ameapa mahakamani kubadili jina ambapo sasa ataitwa Ikuwo Shadrack Mmalila.

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete abadili mawaziri

Rais Jakaya Kikwete.RAIS Jakaya Kikwete, amefanya mabadiliko muhimu katika Baraza la Mawaziri, kuziba pengo lililoachwa na mawaziri wawili, kutokana na kashfa ya utoaji wa fedha katika iliyokuwa Akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa Benki Kuu (BoT).

 

9 years ago

Mwananchi

Ngoma abadili mfumo wa ushambuliaji Yanga

Kocha wa Yanga, Hans Van Pluijm amelazimika kubadili mbinu za ushambuliaji wake ili kumlinda mshambuliaji Donald Ngoma dhidi ya mabeki wa timu pinzani.

 

10 years ago

GPL

RAIS ABADILI MAWAZIRI NA MANAIBU WAO

Waziri wa Nishati na Madini mpya, George Simbachawene. Waziri wa Afrika Mashariki, Dk. Harrison Mwakyembe.…

 

10 years ago

GPL

TONTO DIKEH AOLEWA, ABADILI JINA INSTAGRAM

Muigizaji kiwango kutoka Nigeria, Tonto Dikeh. Lagos ,NIgeria
MUIGIZAJI kiwango kutoka Nigeria, Tonto Dikeh ameolewa rasmi na aliyekuwa mpenzi wake, Churchill Olakunle Oladunni wiki iliyopita.Tarifa za kuolewa zilianza kuzagaa mapema wiki iliyopita baada ya staa huyo kubadili jina lake kwenye Mtandao wa Kijamii wa Instagram na kujiita, Mrs Tonto Wigo Dikeh-Churchill. Lakini wikiendi iliyopita zilizagaa picha mitandaoni...

 

10 years ago

Bongo5

Frank Ocean abadili jina lake kisheria

Frank Ocean amelifanya jina hilo kuwa lake kisheria. Kwa mujibu wa TMZ, Ocean amebadili jina lake kutoka Christopher Edwin Breaux ambalo ndilo alilozaliwa nalo na sasa atajulikana kwa jina la muziki, Frank Ocean. Ocean alikuwa abadili jina lake tangu mwaka jana lakini jaji wa Los Angeles alichelewesha mchakato hadi pale aliposhughulikia kusitishwa kwa leseni yake […]

 

9 years ago

Mwananchi

YALIYOJIRI 2015: Jakaya Kikwete abadili mawaziri 13

Januari 2015. Ilianza na kiporo cha matukio mengi ya 2014, yakiwamo ya uchaguzi wa viongozi wa serikali za mitaa, mchakato wa Katiba mpya na kashfa ya escrow ambayo yalitikisa nchi na haikuwa ajabu wakati Rais alipotangaza Baraza la Mawaziri lililokuwa na mabadiliko 13 ambayo yaliwaweka nje makada watatu.

 

10 years ago

Mwananchi

Maalim Seif ‘abadili taratibu’ kortini Kisutu

Ulinzi uliimarishwa jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Kisutu na watu waliofika kusikiliza kesi zao walilazimika kukaguliwa kwa vifaa vya kutambua vitu hatari kutokana na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad kwenda kusikiliza kesi ya wafuasi wa CUF.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani