Pinda abadili upepo urais CCM
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ameingia rasmi katika mbio za kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), hatua ambayo imebadili mwelekeo wa kinyang’anyiro cha nafasi hiyo kubwa ya uongozi nchini kuelekea Uchaguzi Mkuu 2015.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Oct
Wenje abadili upepo mkutano wa JK
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jDT15tkIj-k/VXspc0_pSWI/AAAAAAAHfEA/rFOTipnNZQg/s72-c/unnamed%2B%252829%2529.jpg)
PINDA ACHUKUWA FOMU YA KUWANIA UTEUZI WA CCM KUGOMBEA URAIS
![](http://3.bp.blogspot.com/-jDT15tkIj-k/VXspc0_pSWI/AAAAAAAHfEA/rFOTipnNZQg/s640/unnamed%2B%252829%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-f_qv60V5T60/VXspe6YzoMI/AAAAAAAHfEI/7t-Y8dfh-Sw/s640/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-SYfUjMt7RaM/VXsph_tSYoI/AAAAAAAHfEY/slPOKpVCnq0/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo12 Jun
WAZIRI MKUU MH. MIZENGO PINDA ACHUKUA FOMU ZA KUWANIA UTEUZI WA CCM KUGOMBEA URAIS
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/1145.jpg)
![3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/387.jpg)
10 years ago
Mtanzania05 Nov
JK avumisha upepo mpya urais 2015
Na Elias Msuya
WIKI chache baada ya Rais Jakaya Kikwete kusema anatamani kurithiwa na kijana mwenye haiba yake alipokuwa akigombea urais mwaka 2005, sasa amebadili upepo na kusema vijana wajitokeze kugombea urais kama alivyofanya yeye mwaka 1995, lakini hawatapitishwa.
Katika maadhimisho ya Siku ya Mwalimu Nyerere Oktoba 14, akiwa mkoani Tabora, Rais Kikwete alisema vijana ndio chachu ya maendeleo ya taifa lolote, hivyo washiriki katika kugombea nafasi mbalimbali za uongozi na kushiriki...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-yhhd3_k0tSk/VX5rHFEVBLI/AAAAAAAAvww/Cn717LOxw2c/s72-c/migiro.png)
Dk Asha-Rose Migiro Ajitosa Kuwania Urais Kupitia CCM......Samuel Sitta Kurudisha Fomu ya Urais Leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-yhhd3_k0tSk/VX5rHFEVBLI/AAAAAAAAvww/Cn717LOxw2c/s640/migiro.png)
![](http://beacon.walmart.com/vm/ttap.gif?id=10694486&channel=WALMART&network=sraxopen_vhct&creative=SAL&destination=MICROSITE&size=728x90&idea=MOM&type=FLASH&device=DESKTOP)
Aidha, taarifa zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii, kuwa Waziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein kuwa atachukua fomu si za kweli kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka ndani ya CCM.Migiro, ambaye atachukua fomu kwenye makao makuu wa CCM mjini Dodoma saa tisa mchana, atakuwa mwanamke wa nne kuchukua fomu...
10 years ago
Tanzania Daima24 Aug
Pinda ataka urais
WAKATI makada watano wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakitumikia adhabu ya mwaka mmoja kwa kosa la kuanza kampeni za urais wa 2015 kabla ya muda, Waziri Mkuu Mizengo Pinda naye...
10 years ago
Mtanzania08 Sep
Pinda afunguka urais 2015
![Waziri Mkuu Mizengo Pinda](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Waziri-Mkuu-Mizengo-Pinda.jpg)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda
Fredy Azzah, Dar
BAADA ya jina lake kutajwa kuwa miongoni mwa watu watakaowania urais, Waziri Mkuu Mizengo Pinda, amesema zipo taratibu ndani ya chama chake za kutangaza kuwania nafasi hiyo na kusema kinachoendelea hivi sasa ni juhudi binafsi za watu.
Pinda alisema hayo jana nyumbani kwake jijini Dar es Salaam alipokutana na wahariri wa gazeti hili, kuzungumzia masuala mbalimbali yanayolikabili taifa.
Hivi karibuni vyombo vya habari viliripoti taarifa za Pinda...
10 years ago
Mtanzania27 Aug
Mapya yaibuka urais wa Pinda
![Waziri Mkuu Mizengo Pinda](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Waziri-Mkuu-Mizengo-Pinda.jpg)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda
NA MWANDISHI WETU, MWANZA
SAKATA la Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kutangaza nia ya kuwania urais, limeibua mapya baada ya makatibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kudai walipewa mafuta lita 60 na posho.
Wakizungumza jijini Mwanza jana kwa sharti la kutotajwa majina yao gazetini, baadhi ya makatibu hao walishangazwa na kauli ya Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza, Anthony Diallo, kudai kuwa hakukuwa na kikao hicho cha siri.
Walisema Diallo akiwa mwenyekiti wa CCM, anapaswa...
10 years ago
Mwananchi14 Sep
Pinda: Kutajwa urais ni vyema