Frank Ocean abadili jina lake kisheria
Frank Ocean amelifanya jina hilo kuwa lake kisheria. Kwa mujibu wa TMZ, Ocean amebadili jina lake kutoka Christopher Edwin Breaux ambalo ndilo alilozaliwa nalo na sasa atajulikana kwa jina la muziki, Frank Ocean. Ocean alikuwa abadili jina lake tangu mwaka jana lakini jaji wa Los Angeles alichelewesha mchakato hadi pale aliposhughulikia kusitishwa kwa leseni yake […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo04 Sep
Mgombea abadili jina
MGOMBEA ubunge Jimbo la Sumbawanga Mjini kwa tiketi ya Chadema, Shadrack Mmalila ametangaza rasmi kuwa ameapa mahakamani kubadili jina ambapo sasa ataitwa Ikuwo Shadrack Mmalila.
10 years ago
GPLTONTO DIKEH AOLEWA, ABADILI JINA INSTAGRAM
11 years ago
GPLAMINI AANIKA SIRI NDOA YA FASTA, ABADILI JINA
10 years ago
BBCSwahili03 Dec
11 years ago
Tanzania Daima20 Jul
Dogo Aslay alikataa jina lake
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Asilahi Isihaka ‘Dogo Aslay’, amesema kutokana na umri wake kusogea, angependa kuitwa Aslay. Aslay anayetamba na wimbo wa ‘Ya Moto’ ambao umeimbwa na...
11 years ago
GPLLULU ALIA NA MATAPELI WANAOTUMIA JINA LAKE FACEBOOK
5 years ago
Bongo514 Feb
Galaxy adai jina lake lilimgombanisha na familia yake
Kila msanii anaweza akawa na stori kubwa kupitia jina lake analolitumia kwenye sanaa – Lakini kwa Galaxy jina hilo huwa linamtoa machozi kwa kukumbuka jinsi ilivyosambaratisha.
Muimbaji huyo wa Top In My Heart, ameiambia Bongo5 kuwa alipewa jina hilo na baba yake mzazi, ambaye alitengana na mama yake baada ya na baadaye alilazimishwa kubadili jina hilo.
“Jina la Galaxy nilipewa na baba yangu mzazi ambaye alilipenda jina hilo kutokana na rafiki yake aliyeishi Uingereza kutumia jina hilo....
9 years ago
BBCSwahili25 Nov
Phuc Dat Bich akiri kufanya mzaha kuhusu jina lake
11 years ago
GPLWAZIRI WA MAZINGIRA AKANUSHA KUTUMIA FACEBOOK YENYE JINA LAKE