Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Galaxy adai jina lake lilimgombanisha na familia yake

Kila msanii anaweza akawa na stori kubwa kupitia jina lake analolitumia kwenye sanaa – Lakini kwa Galaxy jina hilo huwa linamtoa machozi kwa kukumbuka jinsi ilivyosambaratisha.

Muimbaji huyo wa Top In My Heart, ameiambia Bongo5 kuwa alipewa jina hilo na baba yake mzazi, ambaye alitengana na mama yake baada ya na baadaye alilazimishwa kubadili jina hilo.

“Jina la Galaxy nilipewa na baba yangu mzazi ambaye alilipenda jina hilo kutokana na rafiki yake aliyeishi Uingereza kutumia jina hilo....

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Hapa na Pale:Wolper Amshukia “Bidada” Anaetumia Jina Lake Picha na Sauti Yake Kutapeli Watu

Dunia ya Utandawazi, watu wanavipaji jamani!!!!. Wolper amempasha huyu kama ifuatavyo;

“why why why unanichafulia jina we shuwainiiii mpumbavu mmoja maana kama unajua paka napokaa inamaana utakua ata insta uona kila kitu Mungu niokoe nilichokipanga kisifanikiwe nikakukamata mikononi mwangu nitafungwa kifungo cha maisha.. Alafu unaweka na picha yangu whatsup na sauti unageza yani sauti yangu kabisa muawaji mkubwa wewe fisi ,mende,peremende.Mungu akulaani wewe na kizazi chako tena kizazi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais akataa jina lake kutumiwa

Rais wa Korea kazkazini awataka wananchi wake kutotumia jina lake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dogo Aslay alikataa jina lake

MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Asilahi Isihaka ‘Dogo Aslay’, amesema kutokana na umri wake kusogea, angependa kuitwa Aslay. Aslay anayetamba na wimbo wa ‘Ya Moto’ ambao umeimbwa na...

 

10 years ago

Bongo5

Frank Ocean abadili jina lake kisheria

Frank Ocean amelifanya jina hilo kuwa lake kisheria. Kwa mujibu wa TMZ, Ocean amebadili jina lake kutoka Christopher Edwin Breaux ambalo ndilo alilozaliwa nalo na sasa atajulikana kwa jina la muziki, Frank Ocean. Ocean alikuwa abadili jina lake tangu mwaka jana lakini jaji wa Los Angeles alichelewesha mchakato hadi pale aliposhughulikia kusitishwa kwa leseni yake […]

 

9 years ago

Bongo5

Mr Blue adai jina ‘Simba’ analotumia Diamond sasa alilianzisha yeye!

10576220_206062963068992_1265041402_n

Mr Blue anadai chake.. kwa mujibu wa Kabayser, jina ‘Simba’ analotumia Diamond sasa kwenye post zake kwenye mitandao ya kijamii alilianzisha yeye wiki kadhaa zililopita baada ya kupewa na mashabiki wake.

10576220_206062963068992_1265041402_n

“Naikumbuka hii post niliipost miezi saba iliyopita pale watu waliponiita jina la simba…ila inanishangaza kuona baada ya muda watu wengi wakijiita jina hili …hiii inanionesha kuwa mi ni mbunifu wa hali ya juu..na watu husubiri mimi nifanye ili waige….#mfanowakuigwa$,” Blue ameandika kwenye...

 

9 years ago

Bongo5

Mabeste adai hawezi kujuta kujichora tattoo ya jina la mpenzi wake

Rapper Mabeste amesema ataendelea kubaki na tattoo ya jina la mpenzi wake Lisa hata kama wataachana. Akizungumza na kipindi cha XXL, Mabeste alisema hata akiachana na mpenzi wake Lisa ataendelea kubaki na tattoo hiyo kama kumbukumbu kwenye maisha yake. “Hata kama let say mfano tumeachana, nitakuja kuanzisha maisha mengine na mke mwingine, yeye ataendelea kuwepo […]

 

9 years ago

Bongo5

Aslay adai asilimia 60 ya mafanikio yake yametokana na marehemu mama yake

Muibaji wa kundi la Yamoto Band, Aslay Isihaka aliyefiwa na mama yake mzazi hivi karibuni, amesema mafaniko aliyopata katika muziki wake yametokana na mama yake. Aslay ameiambia Bongo5 kuwa mama yake ndio alikuwa akimsihi na kumtia moyo katika muziki wake. “Wakati naanza muziki kabisa nafikiri mama yangu ndio alikuwa ani-support kwa kusema ‘mwanangu nenda huku […]

 

11 years ago

GPL

LULU ALIA NA MATAPELI WANAOTUMIA JINA LAKE FACEBOOK

Msanii wa filamu Elizabeth Michael ‘Lulu’. Msanii wa filamu Elizabeth Michael ‘Lulu’.amesikitishwa na watu wanaotumia akaunti fake za mitandao ya kijamii yenye jina lake na kuchangisha michango kwaajili ya mfuko wa marehemu Steven Kanumba kwa madai kuwa wanasaidia wasiojiweza. Kupitia Instagram, Lulu amesema:
“Dah sijui niseme vipi…hizi facebook accounts sio zangu…kama huyu anaomba...

 

9 years ago

Bongo5

Keko aitaka lebo yake, Sony Music Africa imwachie aende, adai imekwamisha mambo yake

21362c1c39-KEKO-NU

Rapper wa Uganda, Keko anaitaka lebo yake, Sony Music Africa imwachie aende zake.

21362c1c39-KEKO-NU

Rapper huyo Ijumaa hii ametoa malalamiko yake kupitia Twitter kwa madai kuwa hajawahi kuwa na furaha kwenye mkataba huo wa miaka minne sasa.

Amedai kuwa Sony wamekuwa wazito kuachia nyimbo zake na hivyo kuwaangusha mashabiki wake.

“Nadhani ni bora kwa mashabiki niondoke Sony,” ameandika.

Hivi ndivyo alivyoandika:

I want @SonyMusicAfrica to release me from that contract because I’ve clearly been unhappy close...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani