Galaxy adai jina lake lilimgombanisha na familia yake
Kila msanii anaweza akawa na stori kubwa kupitia jina lake analolitumia kwenye sanaa – Lakini kwa Galaxy jina hilo huwa linamtoa machozi kwa kukumbuka jinsi ilivyosambaratisha.
Muimbaji huyo wa Top In My Heart, ameiambia Bongo5 kuwa alipewa jina hilo na baba yake mzazi, ambaye alitengana na mama yake baada ya na baadaye alilazimishwa kubadili jina hilo.
“Jina la Galaxy nilipewa na baba yangu mzazi ambaye alilipenda jina hilo kutokana na rafiki yake aliyeishi Uingereza kutumia jina hilo....
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies09 Jan
Hapa na Pale:Wolper Amshukia “Bidada” Anaetumia Jina Lake Picha na Sauti Yake Kutapeli Watu
Dunia ya Utandawazi, watu wanavipaji jamani!!!!. Wolper amempasha huyu kama ifuatavyo;
“why why why unanichafulia jina we shuwainiiii mpumbavu mmoja maana kama unajua paka napokaa inamaana utakua ata insta uona kila kitu Mungu niokoe nilichokipanga kisifanikiwe nikakukamata mikononi mwangu nitafungwa kifungo cha maisha.. Alafu unaweka na picha yangu whatsup na sauti unageza yani sauti yangu kabisa muawaji mkubwa wewe fisi ,mende,peremende.Mungu akulaani wewe na kizazi chako tena kizazi...
10 years ago
BBCSwahili03 Dec
11 years ago
Tanzania Daima20 Jul
Dogo Aslay alikataa jina lake
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Asilahi Isihaka ‘Dogo Aslay’, amesema kutokana na umri wake kusogea, angependa kuitwa Aslay. Aslay anayetamba na wimbo wa ‘Ya Moto’ ambao umeimbwa na...
10 years ago
Bongo524 Apr
Frank Ocean abadili jina lake kisheria
9 years ago
Bongo528 Dec
Mr Blue adai jina ‘Simba’ analotumia Diamond sasa alilianzisha yeye!
![10576220_206062963068992_1265041402_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/10576220_206062963068992_1265041402_n-300x194.jpg)
Mr Blue anadai chake.. kwa mujibu wa Kabayser, jina ‘Simba’ analotumia Diamond sasa kwenye post zake kwenye mitandao ya kijamii alilianzisha yeye wiki kadhaa zililopita baada ya kupewa na mashabiki wake.
“Naikumbuka hii post niliipost miezi saba iliyopita pale watu waliponiita jina la simba…ila inanishangaza kuona baada ya muda watu wengi wakijiita jina hili …hiii inanionesha kuwa mi ni mbunifu wa hali ya juu..na watu husubiri mimi nifanye ili waige….#mfanowakuigwa$,” Blue ameandika kwenye...
9 years ago
Bongo521 Oct
Mabeste adai hawezi kujuta kujichora tattoo ya jina la mpenzi wake
9 years ago
Bongo513 Oct
Aslay adai asilimia 60 ya mafanikio yake yametokana na marehemu mama yake
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dzJVcnA3Xm0*MSulWnb28nT0WdaiFZjITBOe6hGgJxugDtn2QGcEOI6J-Nk7OohxqEDUJCXT3yAV7B7oFylm3ZgQjih4D2ny/AMVCATrophy1.jpg)
LULU ALIA NA MATAPELI WANAOTUMIA JINA LAKE FACEBOOK
9 years ago
Bongo504 Dec
Keko aitaka lebo yake, Sony Music Africa imwachie aende, adai imekwamisha mambo yake
![21362c1c39-KEKO-NU](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/21362c1c39-KEKO-NU-300x194.jpg)
Rapper wa Uganda, Keko anaitaka lebo yake, Sony Music Africa imwachie aende zake.
Rapper huyo Ijumaa hii ametoa malalamiko yake kupitia Twitter kwa madai kuwa hajawahi kuwa na furaha kwenye mkataba huo wa miaka minne sasa.
Amedai kuwa Sony wamekuwa wazito kuachia nyimbo zake na hivyo kuwaangusha mashabiki wake.
“Nadhani ni bora kwa mashabiki niondoke Sony,” ameandika.
Hivi ndivyo alivyoandika:
I want @SonyMusicAfrica to release me from that contract because I’ve clearly been unhappy close...