Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mr Blue adai jina ‘Simba’ analotumia Diamond sasa alilianzisha yeye!

10576220_206062963068992_1265041402_n

Mr Blue anadai chake.. kwa mujibu wa Kabayser, jina ‘Simba’ analotumia Diamond sasa kwenye post zake kwenye mitandao ya kijamii alilianzisha yeye wiki kadhaa zililopita baada ya kupewa na mashabiki wake.

10576220_206062963068992_1265041402_n

“Naikumbuka hii post niliipost miezi saba iliyopita pale watu waliponiita jina la simba…ila inanishangaza kuona baada ya muda watu wengi wakijiita jina hili …hiii inanionesha kuwa mi ni mbunifu wa hali ya juu..na watu husubiri mimi nifanye ili waige….#mfanowakuigwa$,” Blue ameandika kwenye...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Alichokisema Mr. Blue kuhusu Diamond kutumia jina la Simba…(+Audio)

Hivi karibuni Msanii Diamond Platnumz amekuwa akilitumia jina la Simba kama moja ya a.k.a katika maeneo mbalimbali hasa akiwa kwenye stage, Lakini hapa nakukutanisha na Msanii Mr. Blue akielezea watu wanaotumia jina hilo. Unaweza kubonyeza Play hapa chini na ukapata full stori Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na […]

The post Alichokisema Mr. Blue kuhusu Diamond kutumia jina la Simba…(+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Mr. Blue bado analalamikia jina la ‘Simba’? Vipi ana tatizo na Diamond Platnumz? Hii hapa.. #UHeard (+Audio)

Ishu ilianza kwenye mtandao wa Instagram ambapo Mr. Blue alipost kwamba amesikia kuna watu wanajiita simba akati yeye alijiita jina hilo kwa sababu ya style yake ya kuchana. Blue amesema hana kinyongo kwa kuigwa lakini aliona aweke wazi ili watu wajue kwamba anaigwa na wengi na anajivunia kwa kuwa mfano wa kuigwa… Kuhusu ishu ya […]

The post Mr. Blue bado analalamikia jina la ‘Simba’? Vipi ana tatizo na Diamond Platnumz? Hii hapa.. #UHeard (+Audio) appeared first on...

 

9 years ago

Bongo5

Afande Sele kumaliza kesi ya neno ‘Simba’ kati ya Diamond na Mr Blue kwa style hii

Simba

Mfalme wa Rhymes, Afande Sele ameingilia kati malumbano kati ya Diamond Platnumz na Mr Blue juu ya umiliki halali wa jina ‘Simba.’

Simba

Ikumbukwe kuwa Blue ndiye aliyelalamika kuhusu jina hilo lakini Diamond bado hajajibu kitu.

Afande anajipanga kurudia wimbo wake ‘Simba Dume’ ambao anataka awashirikishe Diamond na Mr Blue ili kila mmoja ajieleze yeye ni Simba wa aina gani! Patamu hapo…

Akizungumza katika kipindi cha XXL cha Clouds FM Jumanne hii, Afande alisema hatua hiyo itawafanya wasanii...

 

9 years ago

MillardAyo

Mr Blue kwenye headlines za kuanzisha idea ya jina la Simba analolitumia Diamond Platnumz….

Itakuwa sio mara yako ya kwanza kuona jina la Simba likitumika katika post za Diamond Platnumz hasa kupitia mtandao wa instagram, sasa leo Dec 28 Mr Blue kupitia ukurasa wake wa instagram ameandika madai na kusema kuwa ndio mwanzilishi wa idea wa jina la Simba. Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram aliandika madai hayo kwa […]

The post Mr Blue kwenye headlines za kuanzisha idea ya jina la Simba analolitumia Diamond Platnumz…. appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Wanaomtaka Joh Makini kimataifa? Diamond na Nahreel kuhusu ‘Nana’? Simba ya Mr. Blue na Diamond? (+Audio)

Kama ulipitwa na stori kubwa tatu kwenye 255 iliyosikika kwenye show ya XXL Clouds FM, ninazo hapa za Joh Makini, Diamond na Afande Sele. Joh Makini kwenye level za kimataifa sasahivi… rapper huyo amesema kuna majina makubwa ya wanaotaka collabo ila hawezi kuyataja japo kwenye majina hayo yupo Davido pia kutoka Nigeria. Nahreel aliwahi kuzungumzia […]

The post Wanaomtaka Joh Makini kimataifa? Diamond na Nahreel kuhusu ‘Nana’? Simba ya Mr. Blue na Diamond? (+Audio) appeared first on...

 

11 years ago

Michuzi

GODFREY MGIMWA AANZA KUPANGUA MAKOMBORA YA CHADEMA ADAI YEYE NI RAIA MZALENDO WA TANZANIA

Mgimwa wa pili kulia, akifurahi pamoja na wana CCM wenzake, siku ya kwanza ya kampeni zake kuwania ubunge jimbo la Kalenga iliyofanyika katika kijiji cha Mseke  -------------------------------- Na Francis Godwin
MGOMBEA ubunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM) jimbo la Kalenga, Godfrey Mgimwa amesema hana chembechembe yoyote ya uzungu na amekishangaa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa kumtuhumu kwamba sio mtanzania..
"Kama kila mtanzania anayekwenda nje ya nchi kusoma anapoteza...

 

5 years ago

Bongo5

Galaxy adai jina lake lilimgombanisha na familia yake

Kila msanii anaweza akawa na stori kubwa kupitia jina lake analolitumia kwenye sanaa – Lakini kwa Galaxy jina hilo huwa linamtoa machozi kwa kukumbuka jinsi ilivyosambaratisha.

Muimbaji huyo wa Top In My Heart, ameiambia Bongo5 kuwa alipewa jina hilo na baba yake mzazi, ambaye alitengana na mama yake baada ya na baadaye alilazimishwa kubadili jina hilo.

“Jina la Galaxy nilipewa na baba yangu mzazi ambaye alilipenda jina hilo kutokana na rafiki yake aliyeishi Uingereza kutumia jina hilo....

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Harmonize achora tattoo ya picha ya boss wake Diamond na kuandika ‘Simba’

h n d

Msanii wa label ya WCB anayekuja juu kwa sasa, Harmonize ameamua kuuthibitishia ulimwengu kuwa anajivunia kuwa mtoto wa kimuziki wa staa wa Tanzania, Diamond Platnumz kwa kuchora tattoo yenye picha yake na kuandika a.k.a ya Boss wake iliyozua utata hivi karibuni ‘Simba’.

h n d

Hiki ndicho alichokiandika Harmonize kwenye picha aliyoipost Instagram kuelezea sababu za kuchora tattoo hiyo:

Harmonize tattoo

“Katika Maisha Yangu Sikuwahi Kuwaza Kuwa Itatokea Siku Nikajichora Tatoo But Diamond Nimtu Mwenye Mchango...

 

10 years ago

CloudsFM

Nora Awananga Wanaodai Ameshazeeka..Adai yeye Ajagalagazwa Ovya Kama Hao Wengine wa Bongo Movies

Nora Bongo Movies

Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram, mkali wa sanaa ya uigizaji hapa Bongo, Nora amefunguka haya kwa wale wote wanaomponda eti amezeeka

Hivi nyinyi mnaoniambia mzee amuoni aibu loooo..hahahahhaaa mana mnafanya siku yangu iwe nzuri ni jinsi gani nawaumiza mpaka mnalopoka kama mmetoka usingizini.Hivi mimi mnaweza kujifananisha na nyinyi, hoooo ninamiaka mingi kweli na nimewazidi vingi sana, tabia, muonekano…haaaa mi sijagalagazwa ovyo nilijiheshimu tangu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani