LULU ALIA NA MATAPELI WANAOTUMIA JINA LAKE FACEBOOK

Msanii wa filamu Elizabeth Michael ‘Lulu’. Msanii wa filamu Elizabeth Michael ‘Lulu’.amesikitishwa na watu wanaotumia akaunti fake za mitandao ya kijamii yenye jina lake na kuchangisha michango kwaajili ya mfuko wa marehemu Steven Kanumba kwa madai kuwa wanasaidia wasiojiweza. Kupitia Instagram, Lulu amesema: “Dah sijui niseme vipi…hizi facebook accounts sio zangu…kama huyu anaomba...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
WAZIRI WA MAZINGIRA AKANUSHA KUTUMIA FACEBOOK YENYE JINA LAKE
11 years ago
Michuzi11 Jul
WAZIRI WA MAZINGIRA DKT. BINILITH MAHENGE AKANUSHA KUTUMIA FACEBOOK YENYE JINA LAKE

Waziri Mahenge ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Makete mkoani Njombe ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na mwandishi wetu wilayani hapo na kusema kumekuwa na baadhi ya watu wanaoitumia mitandao hiyo vibaya kwa kufungua akaunti yenye jina lake ilihali yeye hajawahi kujiunga na facebook na...
10 years ago
Bongo Movies15 Jan
Wolper Alia na Wolper “FEKI” Kwa Kuwachuna Watu Kwa Kutumia Jina Lake!!
"Jacq fake huyu anaomba pesa sana na kajisajili Jacq Massawe na na mie jina langu ni Jacq Wolper Massawe so kuweni makini na kama mkiweza nisaidieni kumwambia chochote kwani inaniweka pabaya sana mimi kiukweli naweza kujakutana na mtu akanikaba kwakumchuna bila mafanikio hahahha aichekeshi ila huo ndo ukweli kwamba ananitafutia matatizo huyu binadam naukimpigia nisaut i yangu kabisa na ananijua kuliko navyojijua yani kila napoenda anajua.
Huyu jamani anaomba sana pesa tigo pesa na whatsap...
11 years ago
Michuzi
PSPF YATAHADHARISHA UMMA DHIDI YA MATAPELI WANAOTUMIA SMS ZA UWONGO

10 years ago
GPL
MATAPELI WAMTUMIA DAVINA FACEBOOK
10 years ago
Michuzi
TAARIFA KWA UMMA:MATAPELI KUTUMIA JINA LA KAMPUNI

Kufuatia wimbi la Matapeli kutumia jina la kampuni wakidai kuwa wao ni wafanyakazi wa STAMIGOLD wenye uwezo wa kutoa ajira katika mgodi wa Biharamulo , kampuni ingependa kuchukua fursa hii kuutahadharisha Umma wa Watanzania kama ifuatavyo:
1. Nafasi zote za ajira zilizopo au zinazotokea katika kampuni hutangazwa kupitia magazeti ya Serikali hususani Daily news.
2. Kampuni haina utaratibu wa kufanya usaili (Interview) kwa njia ya simu.
3. Maeneo...
11 years ago
GPL
AUNTY LULU ALIA KUTENDWA
11 years ago
GPLETI AUNT LULU ALIA KUKOSA BWANA!
11 years ago
Tanzania Daima20 Jul
Dogo Aslay alikataa jina lake
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Asilahi Isihaka ‘Dogo Aslay’, amesema kutokana na umri wake kusogea, angependa kuitwa Aslay. Aslay anayetamba na wimbo wa ‘Ya Moto’ ambao umeimbwa na...