TAARIFA KWA UMMA:MATAPELI KUTUMIA JINA LA KAMPUNI
![](http://2.bp.blogspot.com/-FZCJJNchPhQ/VfGWLitLS7I/AAAAAAAH33U/Jy5u9XyrYqQ/s72-c/images.jpg)
KAMPUNI YA STAMIGOLD MGODI WA BIHARAMULO
Kufuatia wimbi la Matapeli kutumia jina la kampuni wakidai kuwa wao ni wafanyakazi wa STAMIGOLD wenye uwezo wa kutoa ajira katika mgodi wa Biharamulo , kampuni ingependa kuchukua fursa hii kuutahadharisha Umma wa Watanzania kama ifuatavyo:
1. Nafasi zote za ajira zilizopo au zinazotokea katika kampuni hutangazwa kupitia magazeti ya Serikali hususani Daily news.
2. Kampuni haina utaratibu wa kufanya usaili (Interview) kwa njia ya simu.
3. Maeneo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BIYYbwD8fT8/VhiUV65ruVI/AAAAAAAApvA/0FnoBGrSqrQ/s72-c/1.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima07 Mar
Jela kwa kutumia jina la Nape kutapeli
MAHAKAMA ya Wilaya ya Geita imemhukumu Selemani Nkwenda (36) kwenda jela mwaka mmoja baada ya kumtia hatiani kwa kutapeli watu kwa kutumia jina la Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama...
5 years ago
BBCSwahili27 May
Idris Sultan ashitakiwa kwa kutumia namba ya simu isiyosajiliwa kwa jina lake
10 years ago
Michuzi08 Aug
TAARIFA KWA UMMA: KUHAKIKI TAARIFA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
07/08/201511/08/20152Pwani na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-kLHUD_9IwnQ/VbClMoPMGlI/AAAAAAAHrQw/KjdyDSyZfOE/s72-c/fbs.jpg)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSIANA NA TAARIFA ZISIZO NA UKWELI DHIDI YA WASHIRIKI WA TMT 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-kLHUD_9IwnQ/VbClMoPMGlI/AAAAAAAHrQw/KjdyDSyZfOE/s1600/fbs.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dzJVcnA3Xm0*MSulWnb28nT0WdaiFZjITBOe6hGgJxugDtn2QGcEOI6J-Nk7OohxqEDUJCXT3yAV7B7oFylm3ZgQjih4D2ny/AMVCATrophy1.jpg)
LULU ALIA NA MATAPELI WANAOTUMIA JINA LAKE FACEBOOK
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-hBmt2I0IwwM/VcWf1c2IDvI/AAAAAAABTRg/f8ibKkz59OM/s72-c/CL3WowIUcAEVYWv.jpg)
10 years ago
Bongo Movies15 Jan
Wolper Alia na Wolper “FEKI” Kwa Kuwachuna Watu Kwa Kutumia Jina Lake!!
"Jacq fake huyu anaomba pesa sana na kajisajili Jacq Massawe na na mie jina langu ni Jacq Wolper Massawe so kuweni makini na kama mkiweza nisaidieni kumwambia chochote kwani inaniweka pabaya sana mimi kiukweli naweza kujakutana na mtu akanikaba kwakumchuna bila mafanikio hahahha aichekeshi ila huo ndo ukweli kwamba ananitafutia matatizo huyu binadam naukimpigia nisaut i yangu kabisa na ananijua kuliko navyojijua yani kila napoenda anajua.
Huyu jamani anaomba sana pesa tigo pesa na whatsap...