Jela kwa kutumia jina la Nape kutapeli
MAHAKAMA ya Wilaya ya Geita imemhukumu Selemani Nkwenda (36) kwenda jela mwaka mmoja baada ya kumtia hatiani kwa kutapeli watu kwa kutumia jina la Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima09 Jul
Watumia jina Halima Mdee kutapeli
MBUNGE wa Kawe jijini Dar es Salaam, Halima Mdee (CHADEMA) amewatahadharisha wananchi kuwaepuka watu wanaotumia jina lake katika mitandao ya kijamii wakidai wanatoa mikopo bila riba. Alisema kuwa kadhia hiyo...
5 years ago
BBCSwahili27 May
Idris Sultan ashitakiwa kwa kutumia namba ya simu isiyosajiliwa kwa jina lake
11 years ago
Habarileo22 Jan
Anadaiwa kutapeli mil.40/- jela miaka 3
MKAZI wa Kijitonyama jijini Dar es Salaam, Asha Mbaraka (54) aliyekuwa anakabiliwa na mashitaka ya kujipatia Sh milioni 40 kwa njia ya udanganyifu, amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela bila kuwepo mahakamani.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FZCJJNchPhQ/VfGWLitLS7I/AAAAAAAH33U/Jy5u9XyrYqQ/s72-c/images.jpg)
TAARIFA KWA UMMA:MATAPELI KUTUMIA JINA LA KAMPUNI
![](http://2.bp.blogspot.com/-FZCJJNchPhQ/VfGWLitLS7I/AAAAAAAH33U/Jy5u9XyrYqQ/s1600/images.jpg)
Kufuatia wimbi la Matapeli kutumia jina la kampuni wakidai kuwa wao ni wafanyakazi wa STAMIGOLD wenye uwezo wa kutoa ajira katika mgodi wa Biharamulo , kampuni ingependa kuchukua fursa hii kuutahadharisha Umma wa Watanzania kama ifuatavyo:
1. Nafasi zote za ajira zilizopo au zinazotokea katika kampuni hutangazwa kupitia magazeti ya Serikali hususani Daily news.
2. Kampuni haina utaratibu wa kufanya usaili (Interview) kwa njia ya simu.
3. Maeneo...
10 years ago
Bongo Movies09 Jan
Hapa na Pale:Wolper Amshukia “Bidada” Anaetumia Jina Lake Picha na Sauti Yake Kutapeli Watu
Dunia ya Utandawazi, watu wanavipaji jamani!!!!. Wolper amempasha huyu kama ifuatavyo;
“why why why unanichafulia jina we shuwainiiii mpumbavu mmoja maana kama unajua paka napokaa inamaana utakua ata insta uona kila kitu Mungu niokoe nilichokipanga kisifanikiwe nikakukamata mikononi mwangu nitafungwa kifungo cha maisha.. Alafu unaweka na picha yangu whatsup na sauti unageza yani sauti yangu kabisa muawaji mkubwa wewe fisi ,mende,peremende.Mungu akulaani wewe na kizazi chako tena kizazi...
10 years ago
Bongo Movies15 Jan
Wolper Alia na Wolper “FEKI” Kwa Kuwachuna Watu Kwa Kutumia Jina Lake!!
"Jacq fake huyu anaomba pesa sana na kajisajili Jacq Massawe na na mie jina langu ni Jacq Wolper Massawe so kuweni makini na kama mkiweza nisaidieni kumwambia chochote kwani inaniweka pabaya sana mimi kiukweli naweza kujakutana na mtu akanikaba kwakumchuna bila mafanikio hahahha aichekeshi ila huo ndo ukweli kwamba ananitafutia matatizo huyu binadam naukimpigia nisaut i yangu kabisa na ananijua kuliko navyojijua yani kila napoenda anajua.
Huyu jamani anaomba sana pesa tigo pesa na whatsap...
10 years ago
Mwananchi28 Dec
Afungwa jela miaka 30 kwa unyang’anyi wa kutumia silaha
9 years ago
MillardAyo28 Dec
Alichokisema Mr. Blue kuhusu Diamond kutumia jina la Simba…(+Audio)
Hivi karibuni Msanii Diamond Platnumz amekuwa akilitumia jina la Simba kama moja ya a.k.a katika maeneo mbalimbali hasa akiwa kwenye stage, Lakini hapa nakukutanisha na Msanii Mr. Blue akielezea watu wanaotumia jina hilo. Unaweza kubonyeza Play hapa chini na ukapata full stori Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na […]
The post Alichokisema Mr. Blue kuhusu Diamond kutumia jina la Simba…(+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5vBx3EI3-TGtSAOHXUOq0yabQxhCqFiKRwUC-tCACTaAQwaLLESsb7XCHY-622lcPSlioVaR3zck7K2wXKoDd7DinXxU1nD9/ImageProxy.mvc.jpg?width=650)
WAZIRI WA MAZINGIRA AKANUSHA KUTUMIA FACEBOOK YENYE JINA LAKE