Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MUINGILIANO WA MASAFA YA EATV NA ITV KUPITIA KING’AMUZI CHA KAMPUNI YA STAR MEDIA/PUBLIC NOTICE ON THE ISSUE OF ITV AND EATV SIGNALS DISTRIBUTED BY STAR MEDIA AND SATELLITE DOWNLINK FREQUENCY (3.644 GHz)

  

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Taarifa kwa umma kuhusu muingiliano wa masafa EATV na ITV

tcra2

Taarifa Kwa Umma Muingliano Wa Masafa Final by moblog

 

10 years ago

IPPmedia

ITV tops in media sector tax compliance


IPPmedia
ITV tops in media sector tax compliance
IPPmedia
IPP Executive Chairman Dr Reginald Mengi (L) receives a trophy and certificate to recognize ITV�s performance as best national compliant taxpayer in the Media sector from Finance Deputy Minister Adam Malima. The trophy presentation took place during ...
Need to harmonise taxes stressedDaily News

all 3

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA KWA UMMA: UDASA na ITV Kuandaa Midahalo ya Wagombea Urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2015

Mkurugenzi Mtendaji wa ITV na Radio One, Joyce Mhavile (kushoto) na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Udasa), Dk Kitila Mkumbo wakikabidhiana nyaraka za makubaliano ya kuandaa midahalo kwa wagombea wa urais katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu. Katikati ni Mhadhiri Mwandamizi wa Shule Kuu ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano, Dk Ayoub Rioba.
Picha na Venance Nestory.  


1. Katika nchi za kidemokrasia, midahalo ya wagombea imekuwa ni sehemu muhimu katika...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Star media yazindua madishi

KAMPUNI ya Star Media Tanzania ambao ni wasamabazaji wa ving’amuzi vya dijitali vya Star Times imezindua madishi ya DTH, ili kuboresha upatikanaji wa huduma zake. Madishi ya DTH yatawasaidia watu...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Star Media yafungua duka Samora

KATIKA kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja duniani kampuni ya Star Media inayosambaza ving’amuzi vya Star Times imezindua duka jipya Mtaa wa Samora jijini Dar es Salaam. Akizungumza na Waandishi...

 

10 years ago

Habarileo

Star Media yaajiri mamia ya wazawa

KAMPUNI ya Star Media Tanzania imesema itaendelea kuwa mstari wa mbele kuhakikisha inatoa fursa za ajira mbalimbali nchini, ambapo tangu kuanzishwa kwake 2010 tayari ina wafanyakazi 300 kipaumbele kikiwa kwa wazawa.

 

10 years ago

Michuzi

ITV sasa kuonekana kupitia DStv

MultiChoice Africa, kampuni inayoongoza katika kutoa burudani ya kulipiwa ya dijitali pamoja na IPP Media wamesaini makubaliano yatakayoleta chaneli maarufu zaidi Tanzania, ITV, kuwa sehemu ya jukwaa la DStv.
Ushirikiano huu wa kusisimua utawapa watazamaji wa Tanzania kote nchini fursa ya kuangalia vipindi vilivyotengenezwa hapa hapa nchini vikiwa na ubora mkubwa kidijitali. Chaneli hii itapatikana kwenye vifurushi vyote vya DStv ikiwemo kifurushi kilichozinduliwa hivi karibuni cha Bomba,...

 

9 years ago

Michuzi

Hukumu Ya Kukiukwa kwa Kanuni za Utangazaji Kituo Cha Utangazaji Cha ITV - vyapewa onyo kali


1.0   Utangulizi:


Mnamo tarehe 10/08/2015, kituo cha ITV kilikiuka Kanuni za Huduma ya Utangazaji (Maudhui), 2005 kupitia kipindi cha Habari Zilizotufikia Hivi Punde kilichorushwa hewani kati ya saa 2.30 asubuhi hadi saa 5.30 asubuhi. Kipindi hiki kilikiuka Kanuni za Utangazaji kwa kutoa taarifa zisizo za kweli na za kichochezi zilizotangaza kwamba Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limepiga marufuku maandamano ya mgombea wa CHADEMA Mheshimiwa Edward Lowassa. Taarifa hiyo ilikuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani