WAZIRI WA MAZINGIRA DKT. BINILITH MAHENGE AKANUSHA KUTUMIA FACEBOOK YENYE JINA LAKE
Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa rais Mazingira Dkt Binilith Mahenge amewataka wananchi kupuuza taarifa zozote zinazotolewa kwa jina lake kupitia mtandao wa facebook kwa kuwa yeye hatumii mtandao huo.
Waziri Mahenge ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Makete mkoani Njombe ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na mwandishi wetu wilayani hapo na kusema kumekuwa na baadhi ya watu wanaoitumia mitandao hiyo vibaya kwa kufungua akaunti yenye jina lake ilihali yeye hajawahi kujiunga na facebook na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5vBx3EI3-TGtSAOHXUOq0yabQxhCqFiKRwUC-tCACTaAQwaLLESsb7XCHY-622lcPSlioVaR3zck7K2wXKoDd7DinXxU1nD9/ImageProxy.mvc.jpg?width=650)
WAZIRI WA MAZINGIRA AKANUSHA KUTUMIA FACEBOOK YENYE JINA LAKE
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wM_zhUQ6Fgs/Vg8Biq20OVI/AAAAAAAH8d4/lHRAQA0FTg0/s72-c/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira Mh. Dk. Binilith Mahenge akutana na mabalozi wa Uswisi na Ufaransa
![](http://2.bp.blogspot.com/-wM_zhUQ6Fgs/Vg8Biq20OVI/AAAAAAAH8d4/lHRAQA0FTg0/s640/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
9 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS-MAZINGIRA BINILITH MAHENGE ATEMBELEWA NA MABALOZI WA UTURUKI LEO
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-e_bMpOMDcPk/U9CvPhxLdoI/AAAAAAAF5cE/62x8wPYJXV8/s72-c/unnamed+(10).jpg)
Sitowachekea wachafuzi wa Mazingira - Dkt. Mahenge
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dzJVcnA3Xm0*MSulWnb28nT0WdaiFZjITBOe6hGgJxugDtn2QGcEOI6J-Nk7OohxqEDUJCXT3yAV7B7oFylm3ZgQjih4D2ny/AMVCATrophy1.jpg)
LULU ALIA NA MATAPELI WANAOTUMIA JINA LAKE FACEBOOK
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-EON2CuxRDFo/VWgrWIaaVTI/AAAAAAAHajc/k4nHroEH2-w/s72-c/PIX-1-2.jpg)
Tanzania kukabiliana na Uharibifu wa Mazingira - Waziri Mahenge
![](http://1.bp.blogspot.com/-EON2CuxRDFo/VWgrWIaaVTI/AAAAAAAHajc/k4nHroEH2-w/s400/PIX-1-2.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais ( Mazingira), Dk. Binilith Mahenge amesema kuwa Serikali inaendelea kukabiliana na changamoto za uharibifu wa mazingira kwa kuhamasisha utekelezaji wa mipango ya kitaifa ya kuhifadhi mazingira pamoja na miongozo yake.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam wakati wa maandalizi ya maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani ambayo hufanyika tarehe 5 Juni kila mwaka ambapo mwaka huu maadhimisho...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fqn5o34Nwlc/VQLvoQchQ0I/AAAAAAAHKF4/d6IjqlA1ato/s72-c/Untitled1.png)
Mh. Binilith Mahenge aendelea na ziara yake Mkoani Mbeya
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Dk. Binilith Mahenge ameishauri Halmashauri ya Jiji la Mbeya kutafuta wawekezaji watakaotumia taka kama malighafi katika shughuli uzalishaji viwandani ili kukabiliana na uchafuzi wa mazingira jijini humo.
Ushauri huo aliutoa, akiwa katika ziara ya siku mbili mkoani humo wakati alipotembelea Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Mbeya na kuzungumza na Idara ya Usafishaji na Mazingira jiji humo jana.
Aliongeza...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-MLURyF2V5G0/VEpXeg1inNI/AAAAAAAGtJg/yBTnTtU5XsA/s72-c/unnamed%2B(25).jpg)
Waziri Mahenge akutana na Wabunge wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira
![](http://3.bp.blogspot.com/-MLURyF2V5G0/VEpXeg1inNI/AAAAAAAGtJg/yBTnTtU5XsA/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rWr07F5d70t5Gfmf2UtW*r6yHYOXBpNl7Ouoti56Gw-a-FRcIO1j*eywF8n-YLBUePNJoR7IfIYloSWMtjH6uPrkprExtgos/Pichayawazirimahengeakitoatamkokuhusuwikiyamzingira.jpg)
WAZIRI MAHENGE ATOA TAMKO LA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI, TAREHE 5 JUNI 2015