Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAZIRI WA MAZINGIRA DKT. BINILITH MAHENGE AKANUSHA KUTUMIA FACEBOOK YENYE JINA LAKE

Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa rais Mazingira Dkt Binilith Mahenge amewataka wananchi kupuuza taarifa zozote zinazotolewa kwa jina lake kupitia mtandao wa facebook kwa kuwa yeye hatumii mtandao huo. 
Waziri Mahenge ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Makete mkoani Njombe ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na mwandishi wetu wilayani hapo na kusema kumekuwa na baadhi ya watu wanaoitumia mitandao hiyo vibaya kwa kufungua akaunti yenye jina lake ilihali yeye hajawahi kujiunga na facebook na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WAZIRI WA MAZINGIRA AKANUSHA KUTUMIA FACEBOOK YENYE JINA LAKE‏

Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa rais Mazingira, Dkt Binilith Mahenge. Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa rais Mazingira Dkt Binilith Mahenge amewataka wananchi kupuuza taarifa zozote zinazotolewa kwa jina lake kupitia mtandao wa facebook kwa kuwa yeye hatumii mtandao huo.  Waziri Mahenge ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Makete mkoani Njombe ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na mwandishi wetu wilayani hapo na kusema...

 

9 years ago

Michuzi

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira Mh. Dk. Binilith Mahenge akutana na mabalozi wa Uswisi na Ufaransa

Waziri wa  Nchi  Ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira, Mh. Dk. Binilith Mahenge (wa kwanza kushoto), akijadiliana  na Balozi wa Uswisi  nchini, Bi Florence Tinguely Mattli (katikati),  kuhusu Mkataba wa Mazingira wa Minamata unaohusu matumizi ya Kemikali ya Zebaki na Madhara yake katika Mazingira, Majadilaino hayo yamefanyika katika Ofisi ya Waziri Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Mazingira jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na  Katibu Mkuu wa Ofis hiyo Bw. Sazi Salula (kulia), jijini Dar es...

 

9 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS-MAZINGIRA BINILITH MAHENGE ATEMBELEWA NA MABALOZI WA UTURUKI LEO

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Mazingira Mheshimiwa Binilith Mahenge akiukaribisha ujumbe wa Mabalozi waliotembelea Ofisini kwake wakiongozwa na Balozi wa Sweden Bi. Katarina Rangnitt Ujumbe huo ulifika kwa ajili ya kuzungumzia maswala ya mabadiliko ya Tabia Nchi kwa Nchi za zinazoendelea.Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Mazingira Mheshimiwa Binilith Mahenge akiongea jambo na Balozi wa Sweden Bi. Katarina Rangnitt   aliyeongoza Ujumbe wa Mabalozi waliofika Ofisini kwake...

 

11 years ago

Michuzi

Sitowachekea wachafuzi wa Mazingira - Dkt. Mahenge

 Na Rashda Swedi- VPOViwanda vitakavyokiuka masharti na kanuni za kulinda mazingira havina budi kufungiwa mpaka vitakapofuata taratibu na sheria za utunzaji wa Mazingira, ameseme jijini Dar es Salaam Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Mzingira Mh. Dkt. Injinia Binilith Mahenge alipofanya ziara fupi ya kutembelea kiwanda cha kuzalisha mafuta (Murza Oil Mills Limited) kilichopo Vingunguti. Dkt Mahenge alisema hayo baada ya kutoridhishwa na mfumo wa maji taka ya kiwanda hicho na...

 

11 years ago

GPL

LULU ALIA NA MATAPELI WANAOTUMIA JINA LAKE FACEBOOK

Msanii wa filamu Elizabeth Michael ‘Lulu’. Msanii wa filamu Elizabeth Michael ‘Lulu’.amesikitishwa na watu wanaotumia akaunti fake za mitandao ya kijamii yenye jina lake na kuchangisha michango kwaajili ya mfuko wa marehemu Steven Kanumba kwa madai kuwa wanasaidia wasiojiweza. Kupitia Instagram, Lulu amesema:
“Dah sijui niseme vipi…hizi facebook accounts sio zangu…kama huyu anaomba...

 

10 years ago

Michuzi

Tanzania kukabiliana na Uharibifu wa Mazingira - Waziri Mahenge



Na Victor Mariki - Ofisi ya Makamu wa Rais
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais ( Mazingira), Dk. Binilith Mahenge amesema kuwa Serikali inaendelea  kukabiliana na changamoto za uharibifu  wa mazingira kwa kuhamasisha utekelezaji  wa mipango  ya kitaifa ya kuhifadhi mazingira pamoja na miongozo yake.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam wakati wa maandalizi ya  maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani ambayo hufanyika  tarehe 5 Juni kila mwaka ambapo mwaka huu maadhimisho...

 

10 years ago

Michuzi

Mh. Binilith Mahenge aendelea na ziara yake Mkoani Mbeya

Na Victor Mariki – Ofisi ya Makamu wa Rais.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Dk. Binilith Mahenge ameishauri Halmashauri ya Jiji la Mbeya kutafuta wawekezaji watakaotumia taka kama malighafi katika shughuli uzalishaji viwandani ili kukabiliana na uchafuzi wa mazingira jijini humo.
Ushauri huo aliutoa, akiwa katika ziara ya siku mbili mkoani humo wakati alipotembelea Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Mbeya na kuzungumza na Idara ya Usafishaji na Mazingira jiji humo jana.
Aliongeza...

 

10 years ago

Michuzi

Waziri Mahenge akutana na Wabunge wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira Mhe. Dkt. Injinia Binilith Satano Mahenge (aliyesimama), akizungumza na Wabunge wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, kuhusu Utekelezaji wa Sheria ya Mazingira katika Migodi ya Bulyankulu, North Mara, Geita na Buzwagi, wa kwanza kushoto ni Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe. Ummy Mwalimu, akiwa pamoja na Mbunge wa Mafia, Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira Mhe. Abdulkarim Hassan Shaha...

 

10 years ago

GPL

WAZIRI MAHENGE ATOA TAMKO LA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI, TAREHE 5 JUNI 2015

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira Mhe. Dkt. Injinia Binilith Satano Mahenge akitoa tamko kuhusu wiki ya mzingira kwa waandishi wa habari (hawapo pichani). Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira, Dkt. Binillith S.Mahenge amesema Tarehe 5 Juni ya kila mwaka watanzania tunaungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha Siku ya Mazingira Duniani. Kitaifa Maadhimisho haya yataadhimishwa katika viwanja vya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani