Makandarasi 900 kukutana Dar
BODI ya Makandarasi Nchini (CRB), imeandaa mkutano wa wadau wa sekta ya ujenzi ambao unatarajiwa kuhudhuriwa na wanataaluma wa fani ya ujenzi wapatao 900 kutoka mikoa mbalimbali nchini na nje...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi10 Dec
Makandarasi Dar matatani kwa kushindwa kufanya usafi wa mazingira
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Abiria 900 wakwama Dar baada ya treni ya mzigo kupata ajali
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-c4xqjOitljc/VoPjhCdv_OI/AAAAAAAIPZ4/svU04gDl3Dg/s72-c/1.jpg)
WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI ZANZIBAR YASAINI MIKATABA MIWILI YA UJENZI NA MAKANDARASI M/S.HUMPHREY CONTRUCTION LIMITED YA ARUSHA NA MINDSET TECHIES (T) YA DAR ES SALAAM.
![](http://1.bp.blogspot.com/-c4xqjOitljc/VoPjhCdv_OI/AAAAAAAIPZ4/svU04gDl3Dg/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-rbAYyVX_gus/VoPjg3E_g0I/AAAAAAAIPaA/galPCZaqkNs/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pjHaSAYotOM/VoPjhgiz-rI/AAAAAAAIPaI/tzqEzJ1VIVk/s640/4.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima12 Sep
TRA, ATAF kukutana Dar
MAKAMU wa Rais Dk. Mohammed Gharib Billal anatajiwa kufungua mkutano mkuu wa Taasisi za Kodi Afrika (ATAF) utakaanza Septemba 16 hadi 19 mwaka huu. Mkutano huo umeandaliwa na Mamlaka ya...
11 years ago
Tanzania Daima08 May
Wahitimu Kibasila 1998 kukutana Dar
WANAFUNZI waliosoma Shule ya Sekondari Kibasila na kuhitimu mwaka 1998, wanatarajia kukukutana na kufanya hafla fupi jijini Dar es Salaam, Mei 10 mwaka huu. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar...
10 years ago
Tanzania Daima09 Oct
Wauzaji mafuta ya petroli kukutana Dar
CHAMA cha vituo vya mafuta ya Petroli nchini, Tanzania Petrol Stations Operators (TAPSOA), kimepanga kukutana na wanachama wake kujadili mambo mbalimbali yanayokihusu na kubadilishana mawazo katika changamoto mbalimbali zinazowaandama wanachama...
9 years ago
Bongo505 Jan
Wasanii wa Bongo kukutana Dar leo
![20160104202229](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/20160104202229-300x194.jpg)
Wasanii wa Tanzania Jumanne hii wanakutana jijini Dar es Salaam kuzungumza masuala mbalimbali kuhusu mustakabali wa tasnia yao.
Mkutano huu utafanyika kwenye ukumbi wa Little Theater uliopo Oysterbay jijini Dar es Salaam.
Wasanii wote wamealikwa kushiriki.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
Habarileo10 Nov
Maaskofu, wachungaji kukutana Dar wiki hii
MAASKOFU pamoja na wachungaji wa madhehebu mbalimbali ya Kikristo wanatarajia kushiriki katika mkutano wa kitaifa wiki hii jijini Dar es Salaam, ambao timu ya wataalamu 15 wa masuala ya biashara kutoka Nigeria, watazungumza.
9 years ago
Vijimambo04 Sep
DR SLAA AKIRI KUKUTANA NA MWAKYEMBE SIKU MOJA KABLA YA KUKUTANA NA WAANDISHI WA HABARI, AMWAMBIA LISSU AONYESHE VOCHA YA YEYE KUCHUKUA MSHAHARA CHADEMA
![](http://jewajua.com/wp-content/uploads/2015/09/Dr-Wilbroad-Slaa-Akitangaza-Kuachana-na-Sisa-za-Vyama-741x486.jpg)
SIKU moja baada ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, kutangaza kuachana na siasa na kushusha tuhuma kwa chama chake, maaskofu wa Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), imebainika kuwa kabla ya kuzungumza na waandishi wa habari alikutana na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), akiwamo Dk. Harison Mwakyembe.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Dk. Slaa ambaye alimshambulia mgombea...