Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makandarasi 900 kukutana Dar

BODI ya Makandarasi Nchini (CRB), imeandaa mkutano wa wadau wa sekta ya ujenzi ambao unatarajiwa kuhudhuriwa na wanataaluma wa fani ya ujenzi wapatao 900 kutoka mikoa mbalimbali nchini na nje...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Makandarasi Dar matatani kwa kushindwa kufanya usafi wa mazingira

Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan ameziagiza manispaa za Dar es Salaam kuwachukulia hatua za kisheria makandarasi waliopewa  zabuni za kufanya usafi wa mazingira katika maeneo ya jiji hilo na kushindwa kutekeleza wajibu wao.

 

9 years ago

Mwananchi

Abiria 900 wakwama Dar baada ya treni ya mzigo kupata ajali

Watu zaidi ya 900 wamekwama katika stesheni ya Pugu jijini Dar es Salaam tangu jana usiku baada ya treni ya mizigo kuangusha mabehewa na kuzuia njia.

 

9 years ago

Michuzi

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI ZANZIBAR YASAINI MIKATABA MIWILI YA UJENZI NA MAKANDARASI M/S.HUMPHREY CONTRUCTION LIMITED YA ARUSHA NA MINDSET TECHIES (T) YA DAR ES SALAAM.

 Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Khadija Bakari Juma akitoa ufafanuzi kwa Wadau waliohudhuria hafla ya Utiaji Saini wa Mikataba miwili ya Ujenzi baina ya Wizara yake na Makandarasi kutoka M/S. Hamphrey Construction Limited ya Arusha na Mindset Teches (T) ya Dar es Salaam Hafla hiyo ilifanyika katika ukumbi wa Wizara ya Elimu Zanzibar. Wadau mbalimbali waliohudhuria katika sherehe za kutiliana saini mikataba hiyo. Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali...

 

10 years ago

Tanzania Daima

TRA, ATAF kukutana Dar

MAKAMU wa Rais Dk. Mohammed Gharib Billal anatajiwa kufungua mkutano mkuu wa Taasisi za Kodi Afrika (ATAF) utakaanza Septemba 16 hadi 19 mwaka huu. Mkutano huo umeandaliwa na Mamlaka ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wahitimu Kibasila 1998 kukutana Dar

WANAFUNZI waliosoma Shule ya Sekondari Kibasila na kuhitimu mwaka 1998, wanatarajia kukukutana na kufanya hafla fupi jijini Dar es Salaam, Mei 10 mwaka huu. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wauzaji mafuta ya petroli kukutana Dar

CHAMA cha vituo vya mafuta ya Petroli nchini, Tanzania Petrol Stations Operators (TAPSOA), kimepanga kukutana na wanachama wake kujadili mambo mbalimbali yanayokihusu na kubadilishana mawazo katika changamoto mbalimbali zinazowaandama wanachama...

 

9 years ago

Bongo5

Wasanii wa Bongo kukutana Dar leo

20160104202229

Wasanii wa Tanzania Jumanne hii wanakutana jijini Dar es Salaam kuzungumza masuala mbalimbali kuhusu mustakabali wa tasnia yao.

20160104202229

Mkutano huu utafanyika kwenye ukumbi wa Little Theater uliopo Oysterbay jijini Dar es Salaam.

Wasanii wote wamealikwa kushiriki.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Habarileo

Maaskofu, wachungaji kukutana Dar wiki hii

MAASKOFU pamoja na wachungaji wa madhehebu mbalimbali ya Kikristo wanatarajia kushiriki katika mkutano wa kitaifa wiki hii jijini Dar es Salaam, ambao timu ya wataalamu 15 wa masuala ya biashara kutoka Nigeria, watazungumza.

 

9 years ago

Vijimambo

DR SLAA AKIRI KUKUTANA NA MWAKYEMBE SIKU MOJA KABLA YA KUKUTANA NA WAANDISHI WA HABARI, AMWAMBIA LISSU AONYESHE VOCHA YA YEYE KUCHUKUA MSHAHARA CHADEMA

NA ELIZABETH HOMBO, DAR ES SALAAM

SIKU moja baada ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, kutangaza kuachana na siasa na kushusha tuhuma kwa chama chake, maaskofu wa Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), imebainika kuwa kabla ya kuzungumza na waandishi wa habari alikutana na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), akiwamo Dk. Harison Mwakyembe.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Dk. Slaa ambaye alimshambulia mgombea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani