Makandarasi waagizwa kujenga barabara bora
MAKANDARASI walioko chini ya Wakala wa Taifa wa Barabara (TANROADS) mkoani Kagera wameshauriwa kufanya kazi kwa viwango ili barabara walizokabidhiwa kujenga ziweze kupitika kwa urahisi ikiwa ni njia ya kukuza uchumi wa wananchi wa mkoa huo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo04 May
Makandarasi waagizwa kufuata utaratibu
NAIBU Waziri wa Maji, Amos Makalla amewataka makandarasi wanaofanya kazi katika wilaya ya Mvomero kufuata utaratibu uliowekwa na Baraza la Madiwani la kuwataka wapitie Serikali za vijiji kabla ya kuanza kazi .
11 years ago
Michuzi27 Mar
UONGOZI WA DAMPO WAAGIZWA KUREKEBISHA MIUNDOMBINU YA BARABARA
![DSC_0458](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0458.jpg)
Na. Damas Makangale, MOblog.
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick ametoa agizo mara moja kwa uongozi wa Dampo nje kidogo la jiji la Dar, Pugu Kinyamwezi, kurekebisha miundombinu ya barabara pamoja na taa ili kurahisisha umwagaji wa taka katika dampo...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0458.jpg?width=640)
UONGOZI WA DAMPO WAAGIZWA KUREKEBISHA MIUNDOMBINU YA BARABARA
10 years ago
Uhuru NewspaperMabilioni kujenga barabara za juu
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, amesema ujenzi wa barabara za juu katika jiji la Dar es Salaam, utagharimu sh. bilioni 78.Ujenzi huo wenye lengo la kupunguza msongamano wa magari huku serikali ya Japan ikichangia sh. bilioni 26 kusaidia ujenzi huo.
Akichangia majibu ya swali lililoelekezwa Wizara ya Uchukuzi, Dk. Magufuli alisema tayari mchakato wa ujenzi huo umeanza.Kauli hiyo ilitokana na maswali ya Mariam Kisangi (Viti Maalum –CCM), kuhoji mpango wa ujenzi wa mji mpya wa Kigamboni...
11 years ago
KwanzaJamii13 Aug
Serikali kujenga barabara nne za juu Dar
10 years ago
CloudsFM12 Feb
Shyrose,Halima Mdee wajitolea kujenga barabara ya Mbweni
Wabunge Shyrose Bhanji na Halima Mdee(Kawe) wamejitolea kujenga barabara ya Mbweni Malindi iliyopo nje ya jiji la Dar Es Salaam baada ya barabara hiyo kuwa kero kwa wakazi wa eneo hilo akiwemo mh.Shyrose Bhanji mwenyewe.
Shyrose alisema kuwa barabara hiyo ilikuwa kero kiasi kwamba alikuwa akilazimika wakati mwingine kulala mjini kutokana na ubovu wa barabara hiyo .
10 years ago
Mwananchi10 Jan
Mkandarasi lawamani kujenga barabara chini ya kiwango Mtwara
10 years ago
StarTV29 Dec
Wakazi Singida wahimizwa kujenga nyumba bora.
Na, Mustapha Kapalata,
Singida
SHIRIKA la Umeme Nchini Tanesco kwa kushirikiana na wakala wa usambazaji umeme vijijini awamu ya pili limewataka baadhi ya wananchi wa mkoa wa Singida kujenga Nyumba Bora ili kupata fursa ya huduma ya umeme.
TANESCO imesema hiyo ni hatua mojawapo ya kuimarisha usalama wa Nyumba na matumizi ya Nishati hiyo.
Mradi huo mubwa unajumuisha ujenzi wa lain kubwa ya usambazaji yenye urefu wa kilometa 659, uwekaji wa mashine umba 107 na Ujenzi wa lain ndogo...
10 years ago
Mwananchi04 Jun
Mikakati inayopaswa kuzingatiwa na Serikali ijayo ili kujenga uchumi bora