Mabilioni kujenga barabara za juu
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, amesema ujenzi wa barabara za juu katika jiji la Dar es Salaam, utagharimu sh. bilioni 78.Ujenzi huo wenye lengo la kupunguza msongamano wa magari huku serikali ya Japan ikichangia sh. bilioni 26 kusaidia ujenzi huo.
Akichangia majibu ya swali lililoelekezwa Wizara ya Uchukuzi, Dk. Magufuli alisema tayari mchakato wa ujenzi huo umeanza.Kauli hiyo ilitokana na maswali ya Mariam Kisangi (Viti Maalum –CCM), kuhoji mpango wa ujenzi wa mji mpya wa Kigamboni...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
11 years ago
KwanzaJamii13 Aug
Serikali kujenga barabara nne za juu Dar
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s72-c/unnamed+(41).jpg)
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s1600/unnamed+(41).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8fuh6Rix_QE/U-j4eA1NJhI/AAAAAAAF-kA/noaS8n4dTZc/s1600/unnamed+(42).jpg)
11 years ago
Dewji Blog24 Jul
Kiasi cha zaidi ya shilingi Bilioni 128 zatolewa kwa ajili ya ujenzi wa barabara za juu kwa juu na Umeme
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) na Balozi wa Japan nchini Masaki Okada (kulia) wakisaini hati ya makubaliano ya mikataba miwili ya ujenzi wa barabara za juu kwa juu katika makutano ya TAZARA na usambazaji umeme jijini Dar es salaam leo zenye thamani ya zaidi ya bilioni 128.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) na Balozi wa Japan nchini Masaki Okada (kulia) wakibadilishana hati ya makubaliano ya mikataba miwili ya ujenzi wa...
9 years ago
Dewji Blog27 Nov
BREAKING NEWS: Serikali yatoa tamko juu ya mabilioni ya fedha za miradi ya MCC
Kamishna Mkuu wa bajeti kutoka Wizara ya Fedha na Uchumi, Johnny Cheyo (Picha ya Maktaba).
Na Rabi Hume, Modewjiblog
[DAR ES SALAAM] Kufuatia suala la Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC) wa Marekani kuonya juu ya hali ya kisiasa Zanzibar na matukio mengine yanayotokea hapa nchini huku ikielezwa kuwa inaweza kuathiri vigezo vya kuiwezesha Tanzania kupata msaada huo, Mapema leo Serikali ya Tanzania kupitia Wizara yake ya Fedha na Uchumi mbele ya waandishi wa habari, wamewatoa hofu watanzania...
10 years ago
Habarileo08 Jun
Makandarasi waagizwa kujenga barabara bora
MAKANDARASI walioko chini ya Wakala wa Taifa wa Barabara (TANROADS) mkoani Kagera wameshauriwa kufanya kazi kwa viwango ili barabara walizokabidhiwa kujenga ziweze kupitika kwa urahisi ikiwa ni njia ya kukuza uchumi wa wananchi wa mkoa huo.
10 years ago
CloudsFM12 Feb
Shyrose,Halima Mdee wajitolea kujenga barabara ya Mbweni
Wabunge Shyrose Bhanji na Halima Mdee(Kawe) wamejitolea kujenga barabara ya Mbweni Malindi iliyopo nje ya jiji la Dar Es Salaam baada ya barabara hiyo kuwa kero kwa wakazi wa eneo hilo akiwemo mh.Shyrose Bhanji mwenyewe.
Shyrose alisema kuwa barabara hiyo ilikuwa kero kiasi kwamba alikuwa akilazimika wakati mwingine kulala mjini kutokana na ubovu wa barabara hiyo .
10 years ago
Mwananchi10 Jan
Mkandarasi lawamani kujenga barabara chini ya kiwango Mtwara
9 years ago
MichuziMKUTANO WA KUJENGA UELEWA JUU YA MIPANGO YA SERIKALI WAFUNGWA
10 years ago
Habarileo12 Feb
Zabuni barabara za juu mwezi ujao
ZABUNI ya ujenzi wa barabara za juu jijini Dar es Salaam inatarajiwa kutangazwa mwezi ujao.