MKUTANO WA KUJENGA UELEWA JUU YA MIPANGO YA SERIKALI WAFUNGWA
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Profesa Adolf Mkenda ( wa pili kushoto ) akimkabidhi cheti Msafiri Mpendu muda mfupi mara baada ya kufunga ya siku tatu yaliyolenga kujenga uelewa juu ya mpango wa serikali wa kushirikisha sekta binafsi kushiriki katika miradi mikubwa kupitia ubia kati ya sekta ya umma na binafsi (kushoto ) ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi Nchini Godfrey Simbeye, ( wa tatu kushoto ) ni Kamishna wa PPP Frank Mhilu.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-oWhYz04d9Ws/VREwo1GRNrI/AAAAAAAAAvk/bz7rgmqMq-4/s72-c/DSC09035.jpg)
WAZIRI WA UCHUKUZI MHE. SAMUEL SITTA AWATAKA VIONGOZI WA SERIKALI KUISHAWISHI JAMII JUU YA UELEWA WA TAARIFA ZA HALI YA HEWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-oWhYz04d9Ws/VREwo1GRNrI/AAAAAAAAAvk/bz7rgmqMq-4/s640/DSC09035.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0bXDXjhk0zE/VREwpCtBSRI/AAAAAAAAAvo/rJwRHtKExeM/s640/DSC09038.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yqrNPc-0gX4/VREwo7IYCTI/AAAAAAAAAvs/uj0eqFD_SXo/s640/DSC09051.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lQb2C5hODEw/VREwp8Df90I/AAAAAAAAAv4/t1dNYIrGbNc/s640/DSC09052.jpg)
Waziri wa Uchukuzi, Mhe. Samuel Sitta (MB) akiongea na wanahabari kwenye maadhimisho ya Siku ya Hali ya Hewa Duniani yanayofanyika kila ifikapo Tarehe 23 Machi, yenye kauli mbiu isemayo 'Uelewa wa hali ya hewa kwa maamuzi stahiki'. Pembeni ni Mkurugenzi Mkuu TMA, Dkt. Agnes...
11 years ago
KwanzaJamii13 Aug
Serikali kujenga barabara nne za juu Dar
9 years ago
VijimamboMKUTANO KATI YA SERIKALI YA TANZANIA NA YA JAPANI JUU YA MIRADI YA MAENDELEO
10 years ago
Michuzi30 Oct
Uelewa juu ya Brand na Product / Huduma na tofauti zake
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/NMk7NMCrjArIPU24WBaOseFfygzeVKeZuRU2Yi5fzPo0nqL53BsKY0mnDuHMsNGi_Qt7ye06uWI-zzXgJmm2RuY11MtanQ=s0-d-e1-ft#https://dudumizi.com/images/product-vs-brand.jpg)
Makampuni yanatengeneza / toa bidhaa/huduma, wateja wanatengeneza brandiMakampuni yanatengeneza bidhaa au kutoa huduma zenye majina ambazo hununuliwa na wateja, ila brandi huja kutokana na muono, matarajio na hata uzoefu wa wateja.Mfano, bidhaa za Toyota ni magari, brandi kuu wanayotumia ni Toyota, na kwenye kila bidhaa zao huwa na brandi nyingine zinazotofautiana kulingana na mifumo yake, mfano Toyota Hiece, Toyota Prado nk, hivyo Prado ni brandi ndogo ya brandi kubwa Toyota. Toyota...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pt0rwz7BXb0/VRFlPV86sNI/AAAAAAAHM5g/y826K-wOCyQ/s72-c/DSC09035.jpg)
WAZIRI SITTA AZUNGUMZA NA WANAHABARI JUU YA UELEWA WA TAARIFA ZA HALI YA HEWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-pt0rwz7BXb0/VRFlPV86sNI/AAAAAAAHM5g/y826K-wOCyQ/s1600/DSC09035.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-e_AwphtVF2w/VRFlPGzbSZI/AAAAAAAHM5c/qORlneXHA0k/s1600/DSC09051.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Cmfzt1go4so/U0RaIIozD9I/AAAAAAACeUs/ZywYt_awK7Y/s72-c/New+Picture+(1).png)
UFUNGUZI WA WARSHA YA KUJENGA UELEWA WA WADAU KUHUSU MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI — TASAF AWAMU YA TATU MKOANI KATAVI
![](http://4.bp.blogspot.com/-Cmfzt1go4so/U0RaIIozD9I/AAAAAAACeUs/ZywYt_awK7Y/s1600/New+Picture+(1).png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-mzdqVN2ywXo/U0RaIihFpoI/AAAAAAACeUw/PP79uIsd4yI/s1600/New+Picture+(2).png)
Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Dkt. Rajabu Rutengwe akihutubia washiriki wa Warsha ya kujenga uelewa wa wadau kuhusu mpango wa kunusuru Kaya maskini – TASAF awamu ya tatu Mkoani Katavi .
![](http://3.bp.blogspot.com/-QdbNOGaS4ik/U0Ralibx5DI/AAAAAAACeVQ/AgUHlrQQ-zw/s1600/New+Picture+(5).png)
10 years ago
Habarileo31 Dec
Wataka mkutano wa kitaifa uelewa Katiba pendekezwa
JUKWAA la Katiba Tanzania (JUKATA) limesema ipo haja ya serikali kuitisha mkutano mkuu wa kitaifa wa kikatiba utakaoleta uelewa wa kutosha wa masuala yote katika Katiba pendekezwa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-J9sGHm9GYJo/Xo3OCvcvtNI/AAAAAAAC88E/vLSv_9Q9RxodJ1buVdYT9Pcnft5bTAZfQCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha%2B1.jpg)
WATUMISHI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI WAPEWA ELIMU YA UELEWA JUU YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19)
![](https://1.bp.blogspot.com/-J9sGHm9GYJo/Xo3OCvcvtNI/AAAAAAAC88E/vLSv_9Q9RxodJ1buVdYT9Pcnft5bTAZfQCLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-w7tuscuS3pI/Xo3OCk-mqzI/AAAAAAAC878/gA_nnJJFS24-HH2T_WU0K-3rRi3OwoTowCLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-3ESuESaSkNQ/Xo3OCqKlAEI/AAAAAAAC88A/7o0HHkWnp_oqTW4bBxMmlDQA4EY-sN8nwCLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B3.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kpqze0HdxkU/XuccCosWCWI/AAAAAAALt3U/YlFkJtQerHQAZeLcrVjTaHbz6s55aLxfACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B12.56.24%2BAM%2B%25281%2529.jpeg)
BASATA YAKUTANA NA WADAU WA SANAA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA KUJENGA MIPANGO YA PAMOJA
Lengo ni kuimarisha ushirikiano kati ya taasisi hizi mbili kwa kuweka mipango ya pamoja ya utendaji kazi katika mwaka wa fedha 2020/2021.
Katika kikao hiki taasisi hizi mbili zimekubaliana kufanya kazi kwa pamoja katika maeneo ya kuwajengea uwezo wasanii na wadau wa sanaa...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10